DODOMA: Leo ni siku ya Mkutano wa Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini(TFF) unaofanyika ktk Ukumbi wa St. Gasper.
Katika Uchaguzi huo nafasi zinazogombewa ni Urais wa TFF, Makamu...
TAKUKURU mko wapi?, Nikiwa kama mwandishi wa habari wa kujitegemea, nimepiga kambi hapa Dodoma kufuatilia kwa karibu uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania (TFF) tangu zilipoanza...
Mgombea Urais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ambaye pia ni Kaimu Rais wa Shirikisho hilo, leo amehojiwa na TBC1 na kuelezea. Kauli mbiu yake na kufafanua vipaumbele vyake endapo...
Habari ndo hiyo, Ni ngumu sana kuikatalia barca wakati inakutongoza!
Coutinho awasilisha ombi la kutaka kuhama liverpool fc, ni wazi anasafisha njia ya kwenda barca!
Source: SkySports.
BONYEZA...
Na: Pasco Nkololo
Huenda ikawa sio ajabu tena leo kusikia DRC Congo ipo nafasi ya 44 katika viwango vya ubora wa soka duniani wakati huo Tanzania ipo nafasi ya 114.
Hatushangai tena kwa kuwa...
Wadau habari,
Ukikaa chini ukatafakari na uhalisia wa mambo yanavyoenda unaona kichefuchefu kabisa, na kama una mimba changa unatapika kabisa.
Yaani timu kubwa bongo simba ya yanga ni uharo...
Kitu unachotakiwa kukifahamu ni kwamba Frederick Mwakalebela
amekua ni mjumbe wa kamati wa kusaidia kupandisha ligi kuu timu za Njombe Mji na Lipuli Fc
.
Jambo ambalo limefanikiwa kwani...
Mgombea wa nafasi ya urais katika Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania Frederick Mwakalebela kwamba endapo atachaguliwa kuwa Rais wa TFF,basi atahakikisha anajenga viwanja vipya vya kisasa...
Hbr wadau,
Naomba kuuliza, decoders za bein sport kwa Dar es Salaam nani anauza?
Hao jamaa naona wako vizuri sana mikoani kwa watoa huduma za cables, nilitaka kupata decoder yao hapa dsm
Bahari ni kiboko ya usafiri wa wachawi
[emoji115] [emoji115] uzi wa ndugu yetu mshana aliwahi sema bahari ni kiboko ya wachawi.
Uongozi wa Yanga umesema kikosi chao kitaweka kambi Pemba...
Nimepokea Maoni ya watu wengi sana wakiniambia kwann siongelei sana Uchaguzi wa Safari hii wa TFF wakati nlikuwa nampiga sana Malinzi na wakati ni Huu wa mabadiliko???
................... kwa...
Wadau wenzangu wa JF bila shaka hamjambo.
Ikiwa yamebaki masaa kwa mtanange wa ligi kuu ya mpira wa miguu uingereza yaani EPL kuanza naomba tulijadidili hili. hivi ni kxa nini wachambuzi wengi wa...
BINAFSI sitamsamehe Neymar. Katika umri wa miaka 25, nyakati unazotamani kuona akielekea juu kabisa ya kilele cha ubora duniani, anachagua kuondoka Barcelona na kwenda PSG.
Kwa mchezaji wa aina...
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu bara Yanga wameamua kufunga safari na kwenda Kisiwani Pemba Zanzibar kwa ajili ya maandalizi ya wiki moja kujipanga kuikabili klabu ya Simba katika mchezo wa Ngao ya...
Mchezaji wa zamani wa yanga Simon Msuva aliyetimkia kwa watabe wa soka barani Afrika klabu ya Difaa el Jadida ya nchini Morocco Leo pamoja na wachezaji wenzake wametimkia nchi jirani ya Hispania...
Kesho ndo siku ambayo mourinho na vijana wake watakapo kufa mbele ya vijana wa Zidane...
Sioni ni njia IPI Man U watapita kuweza twaa ubingwa wa UEFA Super Cup 2017.Balaa litawakuta kuleee ulaya...
Wakati wa fukuto la vilabu vya Simba na Yanga kugeuzwa kuwa Kampuni ama kumilikiwa na mtu mmoja, Katibu wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Mohamed Kiganja, alisema kwamba serikali haitaruhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.