Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Watanzania katika michezo tumekuwa wasindikizaji na wale wanaoshinda ni kwa juhudi binafsi,,,big up Simbu let us watch out for remaining Tanzania in London Marathon Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
3 Replies
710 Views
Sijui niko sawasawa lkn nijuavyo mimi mechi kama hii ya SIMBA na RAYON ni ya kimataifa sasa nisichokijua mbona hakuna bendera ya TAIFA wala ya RWANDA wala ya FIFA wala ya CAF,hii ni sahihi? Sent...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
NANUSA HARUFU YA DAMU.... MAN U vs REAL MADRID Baada ya Manchester United kupata matatizo ya "Munich Air Disaster", Real Madrid ilikua timu ya kwanza kujitoa kujaribu kuisaidia kifedha na kutaka...
12 Reactions
54 Replies
10K Views
Kikosi kikipata ''msosi wa kitaalam'' mda mchache kabla ya kuelekea Uwanja wa Taifa Wakuu kama ilivyoada leo ni siku iliyokuwa ikisubiriwa na kila mdau wa mpira bila kujali itikadi ya timu yake...
5 Reactions
46 Replies
20K Views
Wanajamvi njooni tumjadili kijana wa kifaransa mwenye asili ya Algeria.... a)Huyu jamaa ni kocha kweli au status yake kama mchezaji inambeba? b) Yale mafanikio ni ufundi wake au ni ile timu...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Maoni yangu haya By Deadbody
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Narudia tena kusema enyi Kaimu Viongozi wa Simba SC Salim Abdallah a.k.a try again na mwenzako ' Mtani ' wangu wa Kihaya Idi Kajuna a.k.a tajiri kijana nawapa muda wa Saa 24 au 48 tu zijazo...
2 Reactions
62 Replies
13K Views
Kumekua na taarifa nyingi Mitandaoni juu ya hawa miamba wa Catalan juu ya kutaka kuziba nafasi ya genius wa Mpira Neymar Jr alietimkia PSG... Hii ni ndoto ya mchana kweupe tena saa sita jua la...
7 Reactions
33 Replies
6K Views
Namba hazidanganyi Leo ni tar 6/8 Ars 1+18+19=38+6= 44 Che 3+8+5=16+6=22 Hii mechi Arsenal ndio mwenye nafasi kubwa ya kushinda , namba zake ni kubwa zaid ya chelsea ,pia ni shufwa japo wote...
8 Reactions
60 Replies
8K Views
Mashabiki wa Simba waliojitokeza kwenye Tamasha la Simba Day linalofanyika Kwenye Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salam .. Klabu ya Simba yenye maskani yake Msimbazi jijini Dar es Salaam ina...
2 Reactions
10 Replies
5K Views
Maoni yangu haya By Deadbody
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hakika inashangaza sana kwa mashabiki wa klabu ya Yanga kutaka kumfanyia vurugu mchezaji halali wa klabu ya simba Haruna Niyonzima jana uwanja wa ndege wakati akirejea jijini Dar es salama...
5 Reactions
14 Replies
3K Views
Kiungo Haruna Niyonzima ametua Dar usiku na taarifa za ndani zinasema baadhi ya mashabiki wa Yanga walikuwa wanamsubiria kumfanyia vurugu. Jamaa unaambiwa aliwakwepa na kuwaacha kwenye mataa...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Hbr wadau,naomba kwa anaejua application anayoi2miaga kwny betting na inamsaidia Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mchezaji machachari kichuia imethibitika kuwa mkataba wake umevunjika ijumaa baada ya team yake ya wekundu kushindwa kutimiza takwa muhimu kuwa mpaka ifikapo tarehe 3 wawe wamemkabidhi nyumba yake...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Hatimaye Yanga wamekabishiwa jezi zao za msimu ujao na wadhamini wao SportPesa. Yanga ilicharuka baada ya jezi zao kukabidhiwa na kampuni ya simu za mikononi ya Vodacom ambao ni wadhamini wa Ligi...
4 Reactions
12 Replies
7K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
537 Views
Kutokana na FIFA kuchelewesha majibu ya ponti 3 Simba inazodai,zikiwa hazija fika hadi siku hio hawato peleka timu uanjani.Kwani kwa kufanya hivyo ni kukubali moja kwa moja kama Yanga ndo mabingwa...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Hans Van pluijm mwalimu wa kidachi na inafahamika wadachi wanafahamika kwa mpira wa kuvutia wa total football. Babu Hans kiukweli yupo vizuri na soka la bongo analijua na sio Bongo tu hata Africa...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Ukifuatilia kipindi hiki cha usajili timu zilizoonekana kujiimarisha zaidi ni timu za EPL hasahasa timu mbili kutoka mji wa Manchester na timu moja kutoka Londoni. Nadhani unaweza kukubaliana na...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Back
Top Bottom