Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kwa mashabiki wa klabu ya Barcelona huenda wasiamini tetesi za mshambuliaji wao Mbrazil, Neymar Jr kuwa ameitosa klabu yake na kuhamia kwa matajiri wa Ufaransa, Paris Saint-Germain, ukweli ni...
3 Reactions
115 Replies
17K Views
HISPANIA: Maafisa wa ligi ya Soka La Liga wayakataa maombi ya uhamisho wa mchezaji Neymarjr kutoka FC Barcelona kwenda kwa matajiri wa Jiji la Paris, PSG. La Liga wameigomea ofa hiyo kwa kuwa...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Neymar 2 PSG Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Simba kusajili wachezaji 13 hivi ni pendekezo la kocha au kama kawaida yenu kuingilia majukumu ya kocha.Sidhani kama kuna kocha duniani anaweza kusajili timu nzima wakati katoka kuchukua...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Kipa bora msimu uliopita (Aishi Manula) amesajiliwa Simba, Mchezaji bora wa kigeni msimu uliopita (Haruna Niyonzima) amesajiliwa Simba, Mchezaji bora ligi kuu msimu (Mohamed Hussein...
2 Reactions
57 Replies
9K Views
Huo ndiyo ukweli, yaani nikisema upenzi wa soka bila kutaja yanga sioni maana ya soka. Yanga ina mipango ya muda mrefu na ya mfupi, ina viongozi wenye shule na IQ kubwa tofauti na 7up fc...
10 Reactions
60 Replies
8K Views
bwayhermitTz
0 Reactions
1 Replies
915 Views
Uongozi wa Yanga umetaka Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB) kuwaomba radhi mara moja. Yanga wametaka kuombwa radhi kutokana na kitendo chao cha kutoalikwa katika zoezi la kukabidhi vifaa lililofanywa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Paris St-Germain wamekamilisha kumnunua mshambuliaji wa Brazil, Neymar, kwa ada iliyoweka rekodi mpya ya ununuzi wa mchezaji ya euro 222m (£200m) kutoka Barcelona. Ununuzi huo wa mchezaji huyo wa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wezi wa miwa juzi wamewafunga under 17 waitwao Moro kids goal tano tena kwa tabu wakati msamvu fc walishawahi kuwapiga goals 14_0
2 Reactions
4 Replies
958 Views
Baraza la Mpira wa Miguu kwa Nchi za Kusini mwa Afrika (Cosafa), limetoa zawadi ya dola 10,000 kwa Taifa Stars ya Tanzania baada ya kushinda na kushika nafasi ya tatu katika mashindano ya Castle...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Club ya soka ya nchini Ufarasa ya PSG umethibitisha usajili wa Neymar kutoka Barcelona kwa ada inayoaminika kuwa £198M. PSG imethibitisha uhamisho huo kupitia ukurasa wao wa Twitter
3 Reactions
21 Replies
7K Views
Afisa Habari wa klabu ya Simba amethibitisha kwamba Haruna Niyonzima ni mchezaji halali wa klabu hiyo mara baada ya kumaliza mkataba na klabu yake ya zamani Yanga ambayo aliichezea hadi msimu...
3 Reactions
65 Replies
21K Views
Nyota wa barcelona Neymar anataka kuiihama klabu yake ili kuelekea katika klabu ya PSG iliopo nchini Ufaransa ,lakini hatua hiyo inatarajiwa kuigharimu PSG rekodi ya uhamisho ya €222m Kwa bei...
4 Reactions
24 Replies
6K Views
Wadau wa soka la bongo naomba mwenye kukumbuka kikosi cha Majimaji Songea cha mwaka 1996-1998. Kikosi hiki kama sikosei kilikuwa bingwa wa bara na kucheza ile ligi ya iliyojulikana kama ligi ya...
1 Reactions
20 Replies
6K Views
Hii timu tumekuwa tukishuhudia kila Mara ikitembeza bakuri kuomba msaada hasa Wa kifedha kutoka kwa wadau ili kuweza kuisaidia kusukumasukuma klabu. Ukifuatilia zaidi umaskini Wa timu hii ni Wa...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Nyota wa Barcelona Neymar amepewa ruhusa ya kuondoka Barcelona akitarajiwa kujiunga na PSG katika kitita cha rekodi ya pauni milioni 198. Raia huyo wa Brazil amewaambia wachezaji wenzake wakati...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Kumbe mfumo wa vilabu vyetu ni mfumo wa kijamaa toka enzi Wana yanga Nguvu moja ushindi mbele daima.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Meneja wa Manchester City, Pep Guardiola amekiri wazi kuwa yupo katika vita nzito ya kuwania saini ya mshambuliaji kinda wa AS Monaco ya Ufaransa, Kylian Sanmi Mbappe Lottin dhidi ya Mabingwa...
1 Reactions
31 Replies
4K Views
With the announcement that ROman will Face Samoa Joe next week on Monday for the right to face Brock Lesnar at Summer Slam, what are you thoughts? Will Roman win? Or should they have just gone for...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom