Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Nahodha wa Simba, Jonas Mkude ameungana na wachezaji wenzake na kufanya nao mazoezi pamoja nchini Afrika Kusini. Mkude alikuwa akifanya mazoeiz pekee taratibu lakini kuanzia leo ameanza mazoezi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hata kama ukifungwa na simba mechi zote unaweza kuwa bigwa, Simba wanalijua hilo?
1 Reactions
5 Replies
1K Views
AET Bayern Munich vs Arsenal Arsenal win 3-2 penalty shootout Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Vipi kuhusu usajili barani ulaya hasa wa chelsea
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Mshambuliaji wa Ruvu shooting na mfungaji bora wa ligi ya Tanzania bara 2016/2017 Abdulrahman Mussa amemjibu kocha wa Taifa stars kuwa hayupo sahihi kama alivyosema Jana kwenye utetezi wake dhidi...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari zenu wanajamnvi. Leo watani zangu wamenitumia picha ya kikosi chao kikiwa kinajifua vilivyo huko Johannesburg, South Africa. Wakijinasibu kuwa wako tayari kabisa kuwavaa Yanga ya...
1 Reactions
40 Replies
14K Views
Ngoja tusubiri kwanza....!
6 Reactions
23 Replies
4K Views
Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya mpira wa miguu Taifa Stars, Salum Mayanga amesikitishwa na uongo unaoendelea kusambazwa mitandao kuwa anawachukia wachezaji kutoka Yanga huku akiwabeba zaidi...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
ikiwa ww ndo kocha wa england na una nafasi 1 tu ya kiungo imebaki na una machaguo mawili tu aidha kumchezesha jack 10 au cleverly embu niambie nani utamuweka na kwa sababu gani
1 Reactions
64 Replies
5K Views
Kamati ya nidhamu TFF imemuachia huru mkuu wa kitengo cha Habari Simba Manara sasa kuendelea na majukumu yake.
1 Reactions
32 Replies
7K Views
London, England. Shabiki mmoja nchini Uingereza ameamua kuchora tattoo ya mchezaji, Alexander Lacazette kwenye mwili wake ikiwa ni kuonyesha furaha yake baada ya raia huyo wa Ufaransa kusajili...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Manji arejea Mjengoni mamia ya wanachama wampokea kwa fifijo na nderemo. Je Ajib na Mkude watasajiliwa ?
5 Reactions
15 Replies
4K Views
ALEXIS Sanchez bwana. Eti anataka mshahara wa pauni 400,000 kwa wiki ili aendelee kubaki Arsenal. Hivi anajua kuwa ligi nzima ya Ujerumani ‘Bundesliga’ hakuna mchezaji anayelipwa pauni 200,000...
10 Reactions
34 Replies
4K Views
Manchester Utd have Lukaku spearheading their attack. Enough said. Chelsea have the title winning team of last year plus one or two more. Tottenham are continuing with development and progress...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Nimeshangawa tu na hii coincidence ya hawa vigogo wawili, lakini yasiyotuhusu naomba tuyaache tu kama yalivyo, only God knows it all. Asante.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
1. Ni akina nani? 2. Walianzia wapi? 3. Malengo yao ni nini? Haya maswali yanatuvuruga wabara wengi. Tunashangaa tu matukio. Sasa hili la Everton limekua kubwa.
3 Reactions
51 Replies
13K Views
Hashtag ndo imenipa wasiwasi eti kama ipo ipo tu....kuna kitu hapa nadhani mmenielewa Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
0 Reactions
11 Replies
4K Views
TAIFA STARS VS RWANDA Leo nyasi za dimba la CCM Kirumba, Jijini Mwanza, zitawaka moto pale Timu ya Tanzania 'Taifa Stars' itakapowakaribisha Amavubi Timu ya Taifa ya Rwanda katika mechi ya...
0 Reactions
38 Replies
6K Views
2 Reactions
2 Replies
986 Views
Michael Martin asena utabiri wake kwa Arsenal haujahusisha usaili wa mtu yeyote. Mwingereza na mtu pekee aliyeitabiria ubingwa Leicister City msimu wa 2015/16 na Kuitabiria Chelsea 2016/17 na...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…