Naangalia game ya Timu ya Gor-Mahia ya Kenya dhidi ya Timu kali ya Everton kutoka Uingereza kupitia EATV hapa kwenye uwanja wa maonesho wa sabasaba , Hakika mna kila sababu ya kutembea kifua...
Chelsea wako katika hatua za mwisho za Kimsajili kitasa kutoka Roma Antonio Rudiger kwa Ada ya Pauni Million 34. Sababu moja wapo kubwa ya beki huyo wa kijerumani ni kwamba amepatwa na majanga ya...
Kama kichwa cha habari kinavojieleza kwa wale wapenda michezo hususani soka tunawaletea website mpya kwa Ajili ya habari za michezo zilizo jiri ndani na nje ya mipaka ya Tanzania.
Website hio...
Johanna Konta has failed in her bid to become the first British woman to reach the Wimbledon final since Virginia Wade won in 1977. Konta lost to her childhood idol and five-time Wimbledon...
Toa sifa za Wagombea na useme kwanini unadhani wanafaa.
Huyu Hapa Shija R Shija 'MSHUA'
KWANINI SHIJA R SHIJA 'MSHUA' AWE RAIS WA TFF?
Soka la Bongo linanuka rushwa
He is a Solution
Soka la...
Mpachika mabao wa Yanga aliyeongezewa mkataba hivi juzi kati,Donald Ngoma amerejea Afrika Kusini anako tibiwa!
Ngoma ambaye karibia msimu wote uliopita hakuwa fiti,amerejea tena kupata matibabu...
Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakeyembe akizungumza wakati wa kilele cha maadhimisho ya miaka 100 ya Klabu ya Dar es salaam Gymkhana yaliyofanyika jana jijini...
YANGA SC imekamilisha idadi ya makipa watatu baada ya kumsaini na kipa wa timu ya vijana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys, Ramadhani Awam Kabwili.
Mlinda mlango huyo atakayetimiza umri wa...
Nyota wa soka wa England Wayne Rooney, ambaye amekamilisha uhamisho wake kutoka Manchester United na kurejea Everton amesema anasubiri kwa hamu sana kuzuru Tanzania.
"Naisubiri sana kwa hamu na...
Baada ya kelele za wadau wa michezo ikiwa ni pamoja na wabunge hatimaye Waziri Mwakyembe amelivunja rasmi Baraza la Michezo Tanzania.
BMT ilikuwa chini ya uongozi wa Ndg.Dioniz Malinzi.
----
In...
Baada ya Chelsea kumkosa LUKAKU atakayeenda Man United mda wowote ni vizuri Chelsea kumuomba msamaha DIEGO COSTA na kumrudisha kwenye kikosi cha the blues mabingwa wa EPL Costa ndo mtambo wa mabao...
Kocha wa Mbao FC usihame club yako kwa kuhadaika na vilabu vikubwa ambavyo vimeshindikana hata kwa makocha wa kimataifa kutoka ulaya, haikufaa rangi wewe chokaa utafaa?. Kaa hapohapo utengeneze...
Ni Tanzania , Mchezaji anasajiliwa bila kufanyiwa vipimo; Tumeona Yanga Ajibu baada ya kusajiliwa ndo anafanyiwa vipimo;
Ngoma kasjiliwa baada ya usajili kapelekwa south africa kuendelea na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.