Hawa Taifa Stars wanatuchafulia sana wanatumia pesa za bure za Wananchi kwa iyo ni bora tuwafungulie kesi ya matumizi mabaya ya pesa zetu ivyo tuwauunganishe tu na boss wao maana huu ni uzembe...
Manchester United wamekubaliana ada ya uhamisho ya takriban pauni milioni 75 na Everton ya kumsajili mshambuliaji Romelu Lukaku, 24.
Taarifa zinasema United sasa hawatoendelea kumfuatilia Alvaro...
Nimekuwa nikifuatilia michezo ya kombe la COSAFA inayoendelea mpaka sasa katika nchi ya Africa Kusini hasa kwenye michezo ambayo timu yetu imekuwa ikicheza.Mungu jalia timu yetu imeweza...
Huku kikosi cha Simba kikianza maandalizi yake ya kujiandaa na msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, juzi Jumatano, kocha mkuu wa timu hiyo Mcameroon, Joseph Omog anatarajia kutua nchini kesho Jumamosi...
Kikosi cha Taifa Stars kinatarajiwa kushuka dimbani leo kutupa karata yake ya mwisho dhidi ya Lesotho kwa ajili ya kutafuta nafasi ya mshindi wa tatu ya michuano ya COSAFA mchezo utakaochezwa...
Ni nani hasa anayeruhusu uhujumu uchumu wa Klabu ya Yanga SC kwenye suala zima la jezi.?
Ni kiongozi yupi wa Yanga SC asiyejua kuwa suala la jezi lina maslahi mapana kwa klabu.?
Nimekuwa...
Tanzania inanipa shida kuielewa hasa unapokutana na viongozi maofisini kwa sura zao ni wapole,wakarimu,waungwana,wacheshi na maneno na ahadi za asali.
Kwa kinachoendelea Sasa kwa viongozi wetu...
Taifa Stars ipo uwanjani kuivaa Zambia katika nusu fainali ya COSAFA, inayoendelea nchini Afrika Kusini, ikiwa imefika hatua hiyo baada ya kuwatoa wenyeji ambao pia walikuwa mabingwa watetezi...
Jana kwenye mechi ya nusu fainali kati ya Taifa stars na Zambia kulikuwa na mashabiki wengi wa stars wakishangilia na kuwapa sapoti vijana mpaka watangazaji wa super sport walishangaa na kusema...
Uchaguzi wa Chama cha Mpira wa Miguu kwa Wanawake (TWFA), sasa utafanyika Dar es Salaam badala ya Dodoma na Morogoro - mikoa iliyotangazwa awali.
Mwenyekiti Kamati ya Uchaguzi ya TWFA, Msomi...
1.Wa kwanza ataiongoza timu hiyo kwenye mashindano ya 2019 CAF Africa Cup of Nations Qualifiers.
2.Wa pili atahudumu timu hiyo hiyo kwenye mashindano ya 2018 CAF Africa Championship, na (CHAN)...
Ngekewa na bahati na sibu za timu ya Taifa ya Tanzania inatarajiwa kufika kikomo hapo leo nchini South Africa.
Timu hiyo inayojinasibu kutokupokea kichapo tangu kuanza kwa Michuano hiyo ya...
Yusuph Manji achukua fomu
04/06/2012
Taarifa rasmi na za uhakika alizozipata Shaffi Dauda kutoka makao makuu ya klabu ya Dar Young Africans almaaruf Yanga Sports Club, zinasema...
Nikiwa na akili zangu timamu kabisa wala sijashawishiwa na mtu yoyote yule, kwa aibu hii tuliyoipata leo toka kwa Algeria, naacha kushabikia timu ya taifa, kutiana presha sipendi tena, japo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.