Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Tunaomba mtuletee chaneli mbadala wa TV1.
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Hili naomba kila mwanajukwaa akae nalo mm Mgombea wangu na ninae muombea Kura ni FREDRICK MASOLWA Lakini Rais wa Tff ni Wales Karia Makamu Mtemi RAMAZANI Katibu wa Tff ni Ally mayai Nimemaliza
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Ukweli usiopingika ndio huo na kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa kombe hili basi utakubaliana nami kwani UJERUMANI na Mexico wamekamilika kila idara sasa Mexico na Portugal wajiandae kufungasha...
4 Reactions
21 Replies
5K Views
Baada ya Tv 1 kukosekana kwa hewa KBC Wapo mubashara kutoka kwa Mzee Putin. Enjoy.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Jamali malinzi sa swahiba wake wapo lockup.ni kampeni za clouds za kupambana aly mayai awe president ?Jana humu JF kuna MTU Alisema clouds wakiamua jambo huwa hawashindwi!!!!
5 Reactions
45 Replies
4K Views
Mganda Okwi mwenye umri wa miaka 26 amesani Simba SC kandarasi ya miaka miwili jana, taarifa zinadokeza hivyo. Okwi ambaye yupo kwenye kikosi cha kwanza timu ya Taifa ya Uganda kama mshambuliaji...
4 Reactions
93 Replies
9K Views
Siku anazaliwa Mzanaki, Julius Nyerere, hakuna mtu yeyote duniani aliyetambua kuwa amezaliwa kiumbe wa aina gani! Si wazazi wake, majirani hata gavana wa Kiingereza wa wakati huo.. aliyedhani kuwa...
8 Reactions
11 Replies
6K Views
Kabla hujakubali kusajiliwa Simba au Yanga jiulize mtakuwa wangapi kwenye nafasi hivo unayoitiwa huko? Baadhi ya hasara za kuwa wengi kwenye nafasi moja ni uwanjani ni pamoja na 1. Huwezi kudai...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Heshima kwenu wana jukwaa! Mimi ni mpenda michezo karibu yote, na kama kawa football ni mchezo niupendao sana tangu utotoni, nina upenzi na timu mojawapo kati ya Simba na Yanga kwa hapa bongo, na...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Nasri 'agrees Arsenal contract' Arsenal have won the race to sign France midfielder Samir Nasri from Marseille. The 20-year-old, who has been dubbed the new Zinedine Zidane, has reportedly...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Rais Wa TFF Alisema Kuwa HAHUSIKI Na SUALA LA KASHFA YA UPANGAJI WA MATOKEO Huku AKIUKASHIFU Kabisa MTANDAO HUU WA JF ( Hasa AKINILENGA MIMI ) Ambaye Nimekuwa NIKIJITAHIDI KUIBUA UTENDAJI WAKE...
16 Reactions
131 Replies
16K Views
Ndugu wananchi.... Msimu ujao wa ligi ya mabingwa Ulaya tunaweza kuufuatilia moja kwa moja kupitia Facebook..... Hii ni kwamujibu wa Fox Sports kuungana na Facebook kurusha michuano hiyo moja...
1 Reactions
4 Replies
702 Views
Wadau habari za usiku. Mimi ni fanatic (mkereketwa) football fan na die hard Barcelona fan since 1993 enzi za Hristo Stoichkov na Romario De zouza. Jezi mpya za Barcelona ambazo "Blaugrana"...
4 Reactions
46 Replies
11K Views
KUNA kitu kinaendelea Dar es Salaam. Leo Jumanne kutakuwa na mchuano mkali baina ya vigogo wa Simba na Yanga kwenye Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam, kila mmoja akimwwania Donald Ngoma. Yanga...
1 Reactions
15 Replies
6K Views
Habari kubwa iliyonifikia hivi punde ni kwamba striker Donald Ngoma anatarajiwa kusaini mda wowote katika Club kubwa ya Simba. Inasemekana Ngoma yupo katika mazungumzo ya mwisho na tajiri kijana...
3 Reactions
83 Replies
13K Views
Nadal kaimudu sana game Wawrinka anaonekana kukata tamaa.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
KickOff.com can confirm that Polokwane City have completed the signing of Zimbabwean striker Donald Ngoma. The 27-year-old has penned a three-year deal with Rise and Shine after undergoing a...
0 Reactions
27 Replies
8K Views
Emanuel Anold Okwi awasili jijini Dar es Salaam jana usiku tayari kwa kusaini mkataba kuitumikia klabu ya Simba msimu ujao
2 Reactions
22 Replies
4K Views
Hatimaye ronaldo amepongeza mess happy birthdays baada ya kutoongea kwa mda mrefu Mashabiki acheni kugombana tena fahari wawili wamekaa zizi moja
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari za ndani kabisa kutoka kwa mmoja wa Marafiki wa karibu / mkubwa sana wa aliyekuwa Mchezaji wa Yanga FC Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima ( jina kapuni ) zinasema kwamba wana Simba SC '...
6 Reactions
39 Replies
6K Views
Back
Top Bottom