Mlinda mlango wa Azam FC na timu ya taifa ya Tanzania Aishi Salum Manula, amekanusha kusaini na Klabu ya Simba huku akiongeza kuwa vipo vilabu vingi vya hapa nchini alivyofanya navyo mazungumzo na...
Manchester hoi kwa Liverpool
LONDON, Uingereza
KOCHA wa Liverpool, Rafael Benitez amepata ushindi wake wa kwanza kwenye Ligi Kuu dhidi ya Manchester United, kwa bao la dakika za mwisho...
Msimu wa ligi barani Ulaya unaisha wiki hii,na mabingwa wamepatikana
England-Man United
France-Lyon
Spain-Real Madrid
Germany-Bayern Munich
Portugal-Porto
Holland-PSV
Imebaki Italy kati ya...
Kipindi hiki cha Usajili VPL....
Kuna watu wameingizwa sana mkenge. Pongezi zimfikie mwenye jicho hili.
Mchezaji akimaliza mkataba na timu yake, hili linafanyika. Tunakupa 50/- wale wanasema 70...
Leo, June 25 2017 timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars ambao ni wageni waalikwa katika michuano ya COSAFA 2017 inayoendelea nchini Afrika Kusini, walicheza game yao ya kwanza ya michuano hiyo...
Sio siri samata yuko juu ki mpira,lkn sio kweli kuwa samata ni bora kwa kuwa mchezaji bora wa afrika kuliko wanyama,ukweli ni huu, SAMATA ni mchezaji bora wa afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi...
Nimeshangazwa sana na uwezo wa mchezaji huyu mkongwe na beki wa kati wa Timu ya Mexico.
Baada ya kumuona tena jana akiwa na uwezo ule ule wa miaka yote kwenye game ya Confederation cup dhidi ya...
Baada ya shabiki mmoja wa Yanga kuonekana akiichoma moto jezi ya kiungo Haruna Niyonzima.
Niyonzima raia wa Rwanda, ameamua kuondoka Yanga baada ya mkataba wake kwisha na klabu ya Yanga ikawa...
Wote mnakumbuka miaka ile ya 90 jinsi komandoo Muhidini Ndolanga alivyokuwa anashinda chaguzi za FAT against all odds!
Licha ya nchi nzima kumpinga pamoja na Serikali Chini ya waziri Juma...
Hizi kampuni za Betting(M.bet na MKEKA BET)kama sio Matapeli basi ni wezi wanatumia Number za simu sawa na 300300 namba ya kampuni ila ukipiga simu wanasema sio wao 0762768500/0758833333.Mwenye...
Tufike wakati tutofautishe soka na uongozi
Unaweza kusa mchezaji mzuri tu sana ukifika kuongoza watu nshidaaaaaaaa
Ndugu zanguwote mnaoshiriki uchaguzi kwanza naaapongeza kaa uthubutu pili...
Habari za weekend wandugu!
Kumekuwa na maneno mengi kuhusu simba kusajili baadhi ya wachezaji na wengi wao wakidaiwa ni wale mastar kutoka timu pinzani ya yanga.
Viongozi wa simba wamewaaminisha...
Hongera Malinzi na timu yako kuamua kuendelea na mchakato wa kumtangaza mshindi wa ligi, vinginevyo tungekuwa tunasubiri mshidi kutoka FIFA hadi leo.
Simba tangulizeni maslahi ya Taifa kwanza...
Waamuzi wana mchango mkubwa katika kuinua kiwango cha mpira nchini. Waamuzi pia ni wanachama na mashabiki wa timu fulani nchini tangu utotoni, hivyo ni rahisi kuisaidia timu yake inapokuwa...
Magoli yote mawili yamefungwa na Yahaya ramadhani
* kipindi cha kwanza dakika ya 23
* dakika 45 za kipindi cha kwanza zimeisha Tanzania 2 Malawi 0
Update
Dakika ya 82 bado tunaongoza 2-0
* dakika...
Hii picha imenifurahisha kusema kweli ,.
Haruna moshi Boban jina la Boban ni nickname kutoka kwa kiungo wa Croatia Boban.Haruna alipata nafasi kwenda Sweden kucheza kama sijakosea na...
fifa imeanzisha rasmi matumizi ya video assistant referees kwenye michuano ya mabara
utaratibu huu umezua maoni tofauti kwa wadau
cha ajabu timu inaweza funga goli na kushangia alafu linakataliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.