Habari iliyovunjikavunjika ninayoweza kuwapeni kwa sasa.
Haruna Niyonzima amesaini mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia Simba. Yanga wameshindwa kumshawishi Niyonzima abaki kwa kuwa fedha...
Wakuu, ninasangaa sana hasa wapenzi wa timu hizi wanapomlilia mtu mmoja hasa katika masuala ya usajiri wa wachezaji. Najiuliza vilabu hivi huwa wanasajiri wachezaji kutokana na mahitaji ya kocha...
Wadau, nampenda sana huyu jamaa Abdul Kipenga ambaye huwa anashiriki kwenye Sports kizaazaa ya ITV. Anaongea kwa kujiamini na anatoa points za maana sana kuhusu michezo. Mwenye taarifa zake...
Wakuu, leo mechi za kombe la mabara zinaanza rasmi nchini Urusi. Nimeangaza hapa sijaona ratiba ya mashindano hayo, yawezekana wana soka wenzangu hapa JF wamesahau hivo kwenye uelewa wa ratiba ya...
Haya mambo ya usajili bhana. Huyu Jamaa ameshajiona ndio Mkubwa kuliko klabu ya wale wapigaji.
Na ameshajua kuwa huku bongo akikohoa tu, watu wanachanganyikiwa juu yake!
Ndio ubaya wa mchezaji...
Uchaguzi TFF unakaribia.
Ally Mayai Tembele na Jamal Malinzi wanaonekana washindani wenye nguvu zaidi wa nafasi ya Urais.
Ila napenda turudi nyuma,twende mbele. Miaka 4 haijawahi kumtosha na...
Hutaki angalia muda na saa naandika sijawahi kosea ninachoandika saa sita mpaka saba usiku
Najua wengine wanajua wanashiriki kupambana na Malinzi na lengo haswa wawepo kwenye zile kamati zao...
FIFA yapendekeza dakika 60 za mechi
Shirikisho la soka duniani (FIFA) lina mpango wa kupunguza muda wa mchezo wa mpira wa miguu kuwa dakika 30 kila kipindi. Bodi ya kimataifa ya soka duniani...
Na :Haji S Manara
Shafih Daud ni mmoja ktk watu wa soka hapa nchini,ni rafiki yangu tunaoongea muda mrefu hususan masuala ya mchezo huu murua,uliyobeba maisha yangu,pia ni kijana mwenzangu...
wote tunajua jinsi watanzania tulivyo inapofika wakati wa uchaguzi...
Tanzania imeshuka katika viwango vya FIFA kipindi cha malinzi,
kesi ya pointi tatu tu imechukua miezi kuisha kipindi cha...
Beki wa upande wa kulia wa Juventus Dani Alves kuelekea Manchester City
Juventus imethibitisha kwamba itamwachilia huru beki wa kulia Dani Alves katika mwaka wa mwisho wa kandarasi yake...
Hii inaweza kuwa kikosi nora kuwah tokea endapo watawanasa wachezaji kama inavotajwa na mitandao mbalimbali.
Utakumbuka kile kikosi cha akina Kaseja, Pawasa,Costa ,Christopha alex "masawe"...
Habari ya Niyonzima kuachana na Yanga imeniumiza sana bora hata angesaini timu nyingine tofauti na mtani wetu. Hii ni sawa na kumuuacha mwanamke aolewe na rafiki yako huku ukimpenda but sio mbaya...
Taarifa zilizo tufikia hivi punde zinasema kuwa mshambuliaji hatari wa YANGA AMISI TAMBWE ameutaka uongozi umpatie kiasi cha sh. Mil 80 ili asini mkataba mwingine. Vile vile kuna timu hapa...
Mpira wa Miguu, pia uitwao Soka au Kandanda ni aina ya mchezo wa mpira ambapo timu mbili za wachezaji kumi na mmoja hushindana kwa kupigania umiliki wa mpira na kuingiza mpira katika wavu wa...
Arusha. Mchezaji wa Taekwondo, Athuman Omary ameondoka nchini leo kuelekea Korea Kusini kushiriki mashindano ya dunia’ World Taekwondo Championship’ yanayotarajiwa kuanza Juni 23 hadi Juni 30...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.