Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ni baada ya kutoka sare ya bao 1- 1 na timu ya Mauritius huku Angola ambao walikuwa wanafukuzana nao kwa karibu wakitoka sare ya bila kufungana na Malawi. Mechi ya Robo fainali watakutana na SOUTH...
7 Reactions
41 Replies
5K Views
Nilikuwa mmoja wa wadau wa soka tuliopambana kufa na kupona kuhakikisha kwamba Jamal Malinzi anashinda urais wa TFF , Tulipambana kwa udi na uvumba , Kwa hali na mali hadi tukafanikiwa . Lakini...
15 Reactions
157 Replies
10K Views
Wakuu poleni na majukumu ya kila siku, habari kutoka kisutu ni kuwa kaburu nyange pamoja na Aveva watakaa rumande mpaka July 13 baada ya mashtaka matatu kati ya matano kukosa sifa za kuwa na...
2 Reactions
64 Replies
6K Views
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini, Jamal Malinzi amekamatwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini(TAKUKURU) akiwa katika harakati za kutembeza Mlungula. Hatimae "Danganya...
25 Reactions
336 Replies
48K Views
Katika kile kinachoonyesha kwamba Watanzania hasa wapenda Soka / Kandanda wamechoka na Uongozi / Utawala wa sasa wa Rais wa TFF Jamal Malinzi hatimaye leo asubuhi mida ya Saa 5 Viongozi...
18 Reactions
158 Replies
13K Views
Huyu mtu hafai kuendelea kuwa Rais wa TFF. Uhuni aliofanya ni mwingi sana likiwepo suala la migogoro katika maamuzi ya mech za Ligi Kuu kwa team zote. Huyu jamaa ameamua kujijenga yeye na kundi...
18 Reactions
189 Replies
11K Views
Simba noma sana aisee TIMU YA MAGAZETI
3 Reactions
50 Replies
6K Views
Zimisileni moyo kiungo wa zanaco nadhani wengi mnamfahamu mechi kati ya yanga na zanaco alikichafua sana aliwapoteza vibaya mno wakina niyonzima,kamusoko pale kati Na mguu wake wa kushoto...
4 Reactions
43 Replies
7K Views
Yanga kwa kusajili namba 3 Gadiel Michael toka Azam, centre back Ninja, Buswita na Ajibu ime address mapungufu yao yaliyokuwa katika timu kwa msimu uliopita! Sasa simba inasajili Kapombe...
2 Reactions
52 Replies
12K Views
Well done Jamal Malinzi... Katibu mpya wa TFF ni Mhaya, Mkurugenzi wa sheria na utawala ni Mhaya, Mshauri wa masuala ya kiufundi ni Mhaya, Mwenyekiti mpya wa kamati ya maadili ni Mhaya...
14 Reactions
499 Replies
44K Views
Malinzi, Mwesigwa na Nsiana wamesomewa mashtaka 28. Kughushi waraka wa kamati ya utendaji ulioonyesha kuwa EXCOM imeridhia kubadilishwa kwa Signatories wa Bank, hii inamhusu Malinzi na Mwesigwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Bofya hapa: SuperSport.com Mobi
0 Reactions
43 Replies
7K Views
Huyu hapa.
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Zimezagaa tetesi za Takukuru kumfikisha mahakamani Rais wa TFF Jamal Malinzi na wakati huohuo Waziri wa Michezo amesikika akilonga na vyombo vya habari serikali imekusudia kuleta mabadiliko...
1 Reactions
67 Replies
7K Views
Yanga timu pekee yenye kufanya mambo yake kwa weledi mkubwa na akili nyingi imefanya kufuru kwa kusajiri wachezaji watatu wa kimataifa kutoka nchi Ghana. Wachezaji nao ni wachezaji tegemewa...
9 Reactions
50 Replies
6K Views
DAR: Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geoffrey Nyange 'Kaburu" ameonekana ofisi za Makao Makuu ya TAKUKURU kwa sababu ambazo bado hazijajulikana.
1 Reactions
23 Replies
5K Views
Timu za taifa za ulaya nyingi ni vibonde maji. Group la Portugal. 1.Switzerland 2.Portagal 3.Hungry 4.Faroe Islands 5.Andorra. 6.Letvia. CR 7 anawafunga sana hawa ndio maana ana goli nyingi sana...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari wanaJF, Ufisadi TFF, zaidi ya bil 1.1 zachotwa ndani ya wiki moja, Nani anamlinda Malinzi nyuma ya pazia? na PCCB wanaogopa kumpandisha kizimbani Bwana Malinzi kwasababu gani ikiwa...
9 Reactions
50 Replies
7K Views
Wachezaji wa timu ya Mbao FC wanaonekaba kugombewa na timu kubwa za Bongo hali ya kuwa hawa kufanya vizuri kwenye ligi nusura waishushe ligi timu yao..? Ni kweli wana kiwango au ni upepo na...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
UEFA Champions League Group C Monaco Barcelona Man City Hoffenheim UEFA Champions League Group B Chelsea PSG Atletico Madrid Napoli UEFA Champions League Group D Bayern Munich Man U Sevilla...
0 Reactions
8 Replies
874 Views
Back
Top Bottom