Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wakuu, pana michuano ya FIFA U20 inayofanyika huko Korea Kusini. Michuano hii ni mizuri mno ila ratiba yake inanichanganya kwani hata watangazaji wetu wa radio na TV wamejikita kwenye timu za EPL...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Binafsi nimefuatilia (ingawa sio kwa kina) soka la bongo na ligi yote inayoishia hivi karibuni (maana haijaisha kwa sisi wengine) napenda kutoa mapendekezo yafuatayo kwa TFF kama wanasikia...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Kama mwanajangwani, ningependa kutoa shukrani na pongezi zangu binafsi kwa Mwenyekiti aliyefanikiwa kuiko mwenyekiti yeyote tuliyepaya kuwa naye Jangwani Bw Yusuph MANJI. Mnamo jana jioni Bw...
8 Reactions
46 Replies
5K Views
Manchester United aka Mashetani Wekundu ya Uingereza wakicheza nyumbani OT jana wameweka miadi na Ajax Amsterdam ya Uholanzi kwa fainali ya kombe la Europa. Man U ilitoa sare ya 1-1 na Celta Vigo...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Leo Zacharia Hans Pope kasema malalamiko ya Simba yapo FIFA hivyo wao ndiyo watajua kama tunastahili point 3 na mabao 3 au lah kwani wasimamizi wa ligi walikwisha sema kuwa mchezaji wa Kagera...
7 Reactions
100 Replies
13K Views
WATCH LIVE MATCH | Ajax vs Manchester United (The UEFA Europa League) 24-05-2017 21:45 - 00:45 | FULL MATCH WHATCH FREE HERE WATCH LIVE MATCH | Ajax vs Manchester United (The UEFA Europa League)...
1 Reactions
1 Replies
993 Views
Nakumbuka tuliambiwa leo jumanne tutakuwa tushapta majibu ya rufaa.... Labda nimepitwa na hizo taarifa. Kuna yeyote kazidaka hizo taarifa?
4 Reactions
13 Replies
3K Views
Naomba mwenye kujua app ya kuangalizia mpira kwe simu
0 Reactions
1 Replies
898 Views
Salaam wanabodi, Ligi imemalizika weekend iliyopita na YANGA kukabidhiwa kombe lake. Wana simba wamefungwa Mawazo yao na kauli za Manara na aveva kuhusu kukata rufaa FIFA ili wasipate Muda wa...
2 Reactions
17 Replies
4K Views
  • Closed
Kwa habari za chini ya Kapeti ambazo bado naendelea kuzihakiki zinasema kwamba hatimaye tayari FIFA wameshafanya maamuzi juu ya Rufaa ya Simba SC na kwamba kuna barua imeshatumwa tena kwa DHL...
13 Reactions
109 Replies
17K Views
Wiki hii nimegundua. Hakuna jambo rahisi kama kuwa kiongozi wa klabu ya Simba. Uwezo wako wa kucheza na akili ya mashabiki wa Simba unaweza kuwa kiongozi wao milele na milele. We kuwa muongo tu...
5 Reactions
6 Replies
1K Views
Ni raha sana kuingia kwenye mashindano haya ya magari. Ukiwa na control nzuri na ukijua namna ya kuchezea gari katika njia zote utashinda sana mithili ya kina Michael Schumacher. Lakini nadhani...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Washambuliaji Abdulrahman Mussa wa Ruvu Shooting na Simon Msuva wa Yanga wameibuka wafungaji bora kwenye Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2016/2017 iliyomalizika Mei 20 mwaka huu. Kutokana na...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kama report ya Refa wa mchezo kati ya Kagera vs Afrikan Lyon aikufojia either iwe ya ukweli au uongo basi Yanga fc watarudisha ubingwa Sheria ya Fifa kuhusu report ya Mchezo 3. If there is any...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Manji kujiuzulu uenyekiti wa Klabu ya Yanga, nini hatima ya Yanga? #manjiniyanga #yanganimanji
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hawategemei point za mezani
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa habari za hivi punde zinasema kwamba Mwenyekiti wa Yanga Yusuph Mehboob Manji amejiuzulu rasmi nafasi yake hiyo. Nawasilisha.
4 Reactions
89 Replies
14K Views
Aliyekuwa rais wa klabu ya Barcelona akamatwa Aliyekuwa rais wa klabu ya Barcelona Sandro Rosell Aliyekuwa rais wa klabu ya Barcelona Sandro Rosell amekamatwa kufuatia uchunguzi wa ulanguzi wa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Viongozi mnajua dhahir kua mnacheza na akili zetu kwa hamjali hisia zetu.Ukweli hakuna barua ya rufaa iloenda fifa ila tu ni siasa ya kutufanya tusahau mlio tufanyia msimu kwa kusubiri point 3 za...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…