Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wakuu kwa anae jua Chanel itakayo oshesha mechi Kati ya Barcelona na juventus kwenye application ya MOBDRO anisaidie tafadhari Au application yoyote itakayo stream live Hiyo mechi
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ukurasa wa Twitter wa Shirikisho la Soka Barani Ulaya(UEFA) waweka picha ya Mtanzania, Mbwana Ally Samatta na kumtaja kuwa ni mchezaji wa kuangaliwa. - Mshambuliaji huyo hatari amefunga magoli...
13 Reactions
76 Replies
12K Views
Nakusogezea live updates kutoka Mwanza CCM Kirumba katika ya Mbao FC vs Simba SC ====== MWANZA: Mchezo umekwisha na Simba wameibuka na Ushindi wa bao 3-2 dhidi ya Mbao FC iliyokuwa inaongoza kwa...
4 Reactions
244 Replies
41K Views
Akili, mwili na mtizamo hufanya kazi kwa pamoja na ushirikiano ili kufanikisha jambo flani... akili na mtizamo vikiwa katika hali mbaya basi hata mwili utashindwa kutuonyesha kilicho bora, Ndivyo...
1 Reactions
0 Replies
667 Views
Abdi Banda wa Simba amesimamishwa - WILLYD HABARI Beki wa kati wa wekundu Msimbazi Simba leo Jumapili ya April 9 2017 taarifa zilizotolewa kutoka katika kamati ya saa 72 ni kuwa amesimamishwa...
2 Reactions
17 Replies
4K Views
Wadau labda kwa kuwa mimi si mpenzi wa mpira wa miguu kivile, nashangaa kuwakuta vijana wenzangu wakibishana kwa kauli kama hii, "nakufunga leo huniambii kitu mimi" huku timu anayoitetea hana hisa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Simba wamemkatia rufaa mchezaji muhamed fakhi wakidai alicheza akiwa na kadi tatu za njano baada ya kupigwa miwa miwili kule kagera hivyo wanataka wapewe point 3. Mechi imechezwa jumapili lkn...
8 Reactions
126 Replies
18K Views
Ngurumo zake ni zaidi ya Ngurumo zote uzijuazo wewe duniani swala kajipendekeza tumetafunaaaa
1 Reactions
6 Replies
818 Views
Salam wana JF. Kuna taarifa inasema Mtangazaji nguli wa michezo hapa nchini na aliyepata kuwa msemaji wa Club ya Simba Clifford Mario Ndimbo amefukuzwa Radio Times Fm ambapo ndio alikuwa...
4 Reactions
25 Replies
5K Views
Pamoja na kuwa na rangi ya bendera yetu lakini sehemu kumbwa ya jezi zao zingeonyesha utalii wa Serengeti ili kumaanisha jina la timu.
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kamati tendaji ya Tff imetangaza kuwa uchaguzi mkuu utafanyika jumapili tarehe 12/08/2017 ambapo uchaguzi huo utakuwa kuwachagua rais wa shiriko la mpira wa miguu Tanzania Tff na makamu rais wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
ANGALIZO KWA RAIS WA TFF JUU YA HAYA YANAYOENDELEA KUHUSU SIMBA. '''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''' Imeandikwa na Said Ngulipa Kwanza kabisa nakupa pole na majukum ya kuusogeza...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wanajamvi leo imetimia wiki tangu ni bet kupitia Mbet Multiple na Mbet Normal...kwenye simu yaani internet na pesa ndefu nilitumia kubet lakini cha ajabu mpaka leo sijalipwa kiasi nilichoshinda...
0 Reactions
9 Replies
11K Views
KATIKA Misimu minne ya ligi kuu Tanzania bara kuanzia 2012, Young African SC tumetwaa taji mara 3 na Azam FC 1, Msimu huu panapo majaaliwa itakuwa mara yetu ya tatu mfululizo . . Inasikitisha...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Wekundu wa Msimbazi na mabingwa watarajiwa wa msimu wa 2016/17 Simba wameitafuta timu ya Geita gold mining inayoshiriki ligi daraja la kwanza kwa jumla ya 7 katika mchezo wa kirafiki uliochezwa...
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Tukizungumzia jina La Jose Mourinho katika ulimwengu wa Soka Linaheshima yake ila kama vile kwa Sasa Limeanza kushuka Thamani. Mourinho wa Fc Porto Ya msimu wa 2003-2004 ni Tofauti kabisa na...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mimi ni mshabiki wa Simba lakini niseme ukweli kuwa Leo Raaaaaha sana, tumewakalisha waarabu. Mara oh waarabu
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Sijafatia mech leo
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Komaa ili utoke[emoji3]
0 Reactions
0 Replies
694 Views
Back
Top Bottom