Msemaji wa klabu ya soka ya Simba,Haji Manara,amesema kuwa Simba haikuwahi kuwa na mazungumzo na Emmanuel Okwi wala mchezaji mwingine yeyote.
Akihojiwa leo asubuhi na kituo cha redio cha Magic...
Klabu ya Yanga imethibitisha kuwa Hans Van der Pluijm amekubali kuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa klabu hiyo huku nafasi ya Kocha Mkuu ikichukuliwa na George Lwandamina kutoka Zesco ya Zambia...
Imepita miaka karibia Mitatu tangu mkoa wa Arusha kukosa timu ya Mpira wa Miguu ligi kuu,Tangu JKT OLJORO ishuke daraja Jiji limekua halina tena timu ligi kuu
Kipindi cha Nyuma Soka la mkoa wa...
Mshambuliaji mahiri Raia wa Uganda, Emanuel Gabriel Okwi muda mfupi uliopita amesaini mkataba wa kuichezea Klabu yake ya zamani, Simba Sports Club.
Amesaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuichezea...
angalia Lwandamina amekaa na zesco karibu miaka miwili zesco kwenye renk ya caf ya 49 puljini yupo na yanga miaka miwili na nusu yanga ya 349 wapi kazi babuu babu babuuu babu
Mchezaji wa kiungo wa kutegemewa wa Arsenal Fc ya London ambaye kwa sasa anaandamwa na majeraha ya achilles anategemewa kwenda mjini barcelona - Cataluna kwenda muona daktari bingwa ili aweze...
West Brom players Cyrille Regis (left) and Len Cantello (right) at kick-off.
In 1979, an innocently novel football match was played in England that would now never be allowed. West Bromwich...
Uwanja tayari umefurika hapa.
Washabiki ni wengi kutoka kila pembe ya Dunia wamekuja kujumuika ili kushuhudia moja kati ya mitanange mitamu wikiendi hii.
Kila upande ninao uangalia uwanjani hapa...
Moja kati ya michezo ya soka unao subiriwa na watu wengi ni mchezo kati ya Man United dhidi ya Arsenal utakaochezwa leo katika uwanja wa Old Trafford, huu ni mchezo unaomkutanisha Jose Mourinho...
Hawa clouds kipindi cha sports wanatumika kuichafua simba na kuidhoofisha eti tunachinja paka.......ndo tushinde. walete udhibitisho!!!! Watu wengine bhnana
Nimemuona Mwenyekiti wa usajili wa simba Mzee wetu Pop akilalamika juu ya wachezaji kucheza chini ya kiwango kiukweli ukiangalia kiufundi wa mpira wachezaji wamejitahidi mpaka kufikia lakina...
Beki wa kutumainiwa wa club ya simba mohamed hussein "Zimbabwe jr ataendelea kusalia katika kikosi icho kwa miaka miwili zaidi: Source meneja wake... mzozo.!!
Kocha Mkuu wa Chelsea FC, Antonio Conte atangazwa kuwa Kocha Bora kwa Mwezi Oktaba na Kiungo Mshambuliaji Eden Hazard atangazwa kuwa Mchezaji bora wa mwezi Oktoba.
Mafanikio hayo yametokana na...
Wanasayansi wabobezi katika chuo kimoja huko mashariki ya mbali ambacho kinaheshima kubwa sana duniani.. wameibuka na utafiti uliowashangaza wengi.. kua timu ya Simba S.C ya msimu huu ni tiba ya...
Nadiriki kuwaambia Yanga kuwa imethibitika pasipo shaka kuwa Klabu ya Yanga haina uwezo kabisa ya kufanya vizuri kwenye Mashindano ya Kimataifa.Klabu ya Yangu imeshiriki miaka 2 mfululizo bila...
MO please ichukue timu kimya kimya kuna viongozi wanatuhujumu kabisa. Kuna viongozi wanatuhujumu. Kuna baadhi ya viiongozi wanauza mechi sio kawaida kufungwa na African Lyon na Prison na tushinde...
Mchezaji bora wa soka duniani, Lionel Messi amewaongoza Argenina kuwasambaratisha Colombia kwa mabao 3-0 katika michuano ya kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2018 kwa nchi za Amerika ya Kusini. Katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.