Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Zimb 3~Tza 0
0 Reactions
1 Replies
990 Views
Niko naangalia mechi ya zimbabwe na Tanzania kwakweli magoli tunayofungwa sijui hata nisemeje poor team poor defence poor everything
1 Reactions
3 Replies
799 Views
Najiuliza tu hawa wachezaji wote wangekua wanachezea timu moja, sipati picha watangazaji ambavyo wangekua wanajing'ata ng'ata[emoji23] [emoji23] [emoji23]
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Leo imechezwa michezo kadhaa ya Ligi kuu ya Vodacom Tanzania ila macho na masikio ya wengi yalikua kule Mbeya kwenye uwanja wa Sokoine mtanange Kati ya Wenyeji Tanzania Prison na Wageni wao Timu...
3 Reactions
37 Replies
3K Views
Usiku wa leo umechezwa mchezo wa kuwania kufuzu kwa kombe la dunia kati ya wababe wawili wa Amerika Ya Kusini(South America derby),Brazil vs Argentina Brazil wakiwa nyumbani wamefanikiwa...
4 Reactions
30 Replies
3K Views
Mwalimu wa Simba amekosea sana kuwataka wachezaji wake wacheze kufa na kupona ili kushinda kila mechi hata zile zilizochezwa ugenini kwenye viwanja vibovu sana. Baadhi ya viwanja vya mikoani ni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kocha wa Simba, Joseph Omog ametangaza kuifumua timu hiyo ni baada ya kuchapwa na Prisons, kuanza na mabeki na kipa
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Natak nmle kanji so mwenye mkeka wa leo autupie humu ili kanji alud kwao nataka kuwek 100k
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kiungo wa kati wa Manchester City amesalimu amri na kumuomba msamaha wasimamizi wa klabu hiyo baada ya kutochezeshwa kwa muda na meneja wa klabu hiyo Pep Guardiola. Kupitia taarifa kwenye ukurasa...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Ndg zangu, watani zangu wale wazee wa Msimbazi a.k.a Mikia,.. Nilizoea kuziona na kuzisoma post zenu kila niamkapo nakutana na post kibaaaao.. Mara TANAPA wametangaza mnyama mkali Simba ametoroka...
1 Reactions
5 Replies
749 Views
Kuna jamaa wanadai eti.. narudi tena eti.. hii kasi aliyonayo Simba S.C [4G] ni nguvu ya soda tu.. Mzunguko wa pili wachezaji watakua wamechoka, pia majeruhi yatawaandama.. Hivyo lazma waanze...
0 Reactions
45 Replies
5K Views
Wasaalam wanajamvi! Leo ninapenda kuwaletea 'Unabii' mwanana kabisa kuhusu vijana hawa wanaochezea klabu ya Simba SC. Kama ilivyo desturi ya soka la Tanzania na pia hali halisi ya Vilabu hivi...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Hebu sasa ya Trump tuwaachie BBC na CNN turudi dimbani leo yule mnyama asiyefugwa kupambana na askari wa magereza kaeni mkao kwa update. ========== Klabu za Tanzania Prisons na Simba leo...
1 Reactions
290 Replies
39K Views
WanaYanga African tukutane hapa na kusema IMOOOOOOO!!! kama ilivo kwa fiesta Dar kisa ushindi wa moja bila dhidi ya Prisons mbeya!!!
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Mi naangalia mechi ya Tanzania na Burundi na kuna mtu anatajwa sana kwa jina la sure boy,je ndo yule yule Abuubakar Salumu au mwingine?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom