Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Hakika TFF sidhani kama wana dhamira ya kuinua soka la Tanzania.TFF in kikundi cha watu wababaishaji waliojipanga kushusha soka la Tanzania kuanzia Timu ya Taifa mpaka Vilabu vyetu huku wakipiga...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Unaizungumziaje hii Dili
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Samir Nasri: Guardiola huwataka wachezaji kutofanya mapenzi baada ya saa 6 usiku - BBC Swahili Unadhani Makocha wetu wa Kibongo wakianza kutumia huu mfumo soka letu litaendelea?
0 Reactions
3 Replies
812 Views
Habari wanamichezo wenzangu Naangalia ufunguzi wa ligi ya mpira wa miguu kwa vijana chini ya miaka 20, mechi ni kati ya Yanga na Kagera Kwa mshangao naona wachezahi wa timu zote umri umezidi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
KOCHA mpya wa Yanga, George Lwandamina amependekeza wachezaji wawili wasajiliwe dirisha hili dogo, ambao ni kiungo wa ulinzi Mzambia Meshack Chaila na mshambuliaji Mkenya Jesse Were. Chaila na...
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Kuna Michezo kadhaa ya Kimataifa Kirafiki inachezwa kwa sasa England vs Spain dk 40 England 1 Spain 0 mfungaji Adam lalana(penalt) Italy vs Germany half time 0-0 France vs Code i voire half...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Read this and wondering if it's true, and it's true then is it right because i thought he was doing well Bafana Bafana coach has resigned
0 Reactions
0 Replies
378 Views
Watu wanajipigia USA na hasira zao zingine za trump,sio kipigo hicho hv bado Klinsmann ndio kocha wao...duuhh 4-0 USA hamna kitu tena,kina Altidore soon wataambiwa warudi kwao Ghana na Trump
1 Reactions
0 Replies
515 Views
Ligi kuu Tanzania Bara inaendelea leo kwa klabu ya Yanga kuwakaribisha maafande wa Ruvu JKT uwanja wa Uhuru. Mechi hii itaashiria kufungwa rasmi mzunguko wa kwanza, mechi hii ni muhimu kwa klabu...
2 Reactions
143 Replies
17K Views
Timu 3 za kwanza katika msimamo wa ligi. 1. Simba S.C - Pointi 17 2. Stand United - Pointi 16 3. Mtibwa Sugar - Pointi13 Timu iliyoshinda Mechi nyingi. 1. Simba S.C - Mechi 5 2. Stand United -...
11 Reactions
90 Replies
12K Views
Huyu jamaa wa kuitwa Shiza Kichuya ni hatari sana.. Shughuli yake ni pevu sana pindi anapokutana na mabeki wa timu pinzani. Nasikia mabeki wa timu pinzani wakipangiwa kazi ya kumdhibiti Kichuya...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
wanajf nawasalimu Naombeni kujuzwa. huu ni mchezo wa aina gani na unachezwaje? naombeni kwa anayeujua anijuze
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Watu masikini wanamuona MO ndo kila kitu Simba sababu ya akili fupi Lakini huyu Patrick Kahemera ni kichwa now na muhimu kuliko hata huyo Mo na iwapo atasikilizwa basi Simba itafika mbaali saana
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwanariadha mwenye ulemavu Oscar Pistorius amehamishiwa katika gereza lenye mazingira rafiki kwaajili ya Walemavu ambako atatumikia na kumalizia kifungo chake cha Miaka 6. Mwanaridha huyo...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Baadhi ya knockouts alizowahi kupiga.
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Mechi ya Zimbabwe vs Tanzania itakua saa ngapi? Na itarushwa mubashara na vituo gani vya runinga? ======== Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, jana ilikuwa na mechi ya Kirafiki na...
0 Reactions
150 Replies
13K Views
Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) inajipanga kuchunguza vitendo vya rushwa katika mechi za mpira wa miguu vinavyodaiwa kuendeshwa kupitia mitandao ya kijamii hususan ‘WhatsApp’...
0 Reactions
1 Replies
982 Views
Kipindi cha Nyuma kulikua na Mashindano ya Kombe la Muungano Mufindi yakiwa yanafanyika Mji wa Mufindi na kushirikisha timu nyingi kutoka Nyanda za Juu Kusini Ila baadaye yakaanza kushirikisha...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Rais naomba wafikirie vizuri hawa Stars,hizi pesa zingepelekwa kwa wanafunzi wa elimu ya juu wapate mkopo.
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu kama title inavojieleza hapo naomba Masada
1 Reactions
1 Replies
872 Views
Back
Top Bottom