Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

CAF wamekiita kijeba cha Congo Brazzaville wakipime umri By: Shaffih Dauda / Posted: Saturday 5th November 2016 Shirikisho la soka barani Africa (Confederation of African Football) lipo mbioni...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
habari wadau.. binafsi na mshabiki mkubwa wa b ball duniani... na mfatiliaji mkubwa wa nba.. college ball usa na euroleague.. my favaurite team kwa nba ni cavaliers.. I love lebron sana na...
0 Reactions
1 Replies
737 Views
Nilipokuwa mdogo nilikuwa nikisikia visa na vituko mbalimbali vya golikipa maarufu wa yanga na taifa stars Juma Pondamali. Nasikia amewahi kuudaka mpira na kuuficha watu wakabaki wanashindwa...
0 Reactions
38 Replies
12K Views
Kama bado unaamini kuwa Manchester United bado ni timu kubwa Barani Ulaya basi umepotoka. Man UTD si klabu kubwa tena na wala sio Man UTD ya kipindi kile iliokuwa inavitisha vilabu pinzani kabla...
1 Reactions
3 Replies
734 Views
Baada ya serengeti boys kutolewa hatujamslkia tena mheshimiwa nape hivi karibuni baada ya timu ya taifa ya vijana kubakisha mechi moja ili kufuzu michuano ya mataifa ya afrika kwa...
0 Reactions
0 Replies
822 Views
MKWASA ATANGAZA STARS, YANGA AMUITA MSUVA TU, MUZAMIRU, MNYATE NAO WACHUKUA SHAVU Sio kweli Yanga Msuva tuu,Vicent Andrew,Haji Mwinyi nao wanatoka Yanga Lengo la Mwandishi ni nini au ndo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Rais kasikika leo akijitapa kushabikia ndondo Cup kuliko ligi kuu kwa kigezo cha wang'oa Viti, basi Tanzania kushiriki kombe la Dunia itakuwa ndoto. Haiwezakani Kiongozi Mkuu ukalialia matatizo...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Uongozi wa Klabu ya Simba umesema utamburuza mahakamani beki wa Yanga Hassan Kessy kwa madai ya kuwatuhumu kumpa rushwa katika mojawapo ya mechi zilizopita baina ya Simba na Mtibwa Sugar...
0 Reactions
52 Replies
7K Views
The frustruated one    
1 Reactions
1 Replies
597 Views
LIGI KUU BARA: YANGA YAANGAMIZWA NA MBEYA CITY, SIMBA YATAFUNA CHAMA LA WANA. | MAHENGA BLOG
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Kuna taarifa imekuwa ikipita ktk Mitandao hasa Whtsapp ikimnukuu Dr LIAKEY. akiwashutumu AZAMTV kuihujumu YANGA na kuibeba Simba. Je ina ukweli wowote. SOMA MADAI YAKE HAPA CHINI " Mchambuzi wa...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
OZIL NOMA...anazidi kuwa complete player kila kukicha.ni nomaa yani anasumbua ile mbaya kabisa...England kwa sasa hakuna tishio kwa yeye
5 Reactions
20 Replies
2K Views
ulikuwa unahojiwa muda si mrefu na sports extra. cha ajabu afisa habari mzima wa timu unajisifu, nukuu isiyo rasmi "mimi sipendi kutumia mitandao ya kijamii, situmii twitter, situmii instragram...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Walioingia 10 bora ni pamoja na 1.Claudio Ranieri 2.Luis enrique 3.Pep Guardiola 4.Zinedine Zidane 5.Diego Simeone 6.Fernando Santos 7.Didier Deschamp 8.Chriss Coreman 9.Jurgen Klopp 10.Mauricio...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Simba kama kawa kama dawa ni mwendo wa kuteleza tu. Mwenye nguvu aje atutoe pale juu.
7 Reactions
36 Replies
5K Views
Refa aliychezesha mech ya Stand utd na Simba afarik akpelekwa hospital baada ya kuanguka ghafla akiwa nyumba ya wagen.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Siku ya saba sasa mji wa shinyanga umekuwa mtupu baada ya lile tishio la Simba mla watu na vitu kuvamia mkoa huo. Inasemekana wananchi walisha tahadharishwa ujio wa Simba huyo na wengine waliamua...
7 Reactions
12 Replies
1K Views
Wanajamvi habari za wakati. Naomba kuuliza, hivi Haji Manara na kituo cha radio E-fm wana ugomvi? Haji Manara ndiye msemaji rasmi wa Klabu ya Simba. Binafsi sijawahi kumsikia Malidi Kitenge...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom