Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Misimu miwili imepita, mshambuliaji kinda wa Simba, Ibrahim Ajibu Migomba alianza kuonekana na baadaye akawa msaada kwenye kikosi cha Msimbazi. Ajibu ni mchezaji mwenye kipaji hasa, mchezaji...
2 Reactions
0 Replies
682 Views
Klabu ya Barcelona ilitimiza game yake ya 1500 katika beseni la Camp Nou kwa ushindi wa goli wa 1-0 dhidi ya Granada. Katika mechi hio ndipo ikakamilisha mechi ya 1500 tangu kujengwa kwa uwanja...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Kama kawaida ya watahiniwa kufanya vimbwanga kwenye booklets, tayari wameshamchora Pogba. #Haa haa haa! Ninyi watahiniwa Mungu anawaona
0 Reactions
3 Replies
808 Views
km una GTA IV na upo Dar naomba unisaidie km unahitaji malipo utalipwa
0 Reactions
0 Replies
778 Views
Tukimjua , huyo ndiye adui mkubwa wa timu yetu . Haiwezekani na wala haitawezekana kuvumilia jambo hili . Kumuacha mchezaji kama huyu na kuchukua galasa kama Kiongera na wengine wa aina hiyo...
4 Reactions
51 Replies
6K Views
BREAKING NEWS Hatimae mohamed dewji(mo) amekubali kuiacha simba ijiendeshe yenyewe ili kutimiza agizo la baraza la michezo.... Hata hivyo itawabidi ungozi wa simba kuitisha mkutano maalumu wa...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Kabla ya yote mimi ni simba damu. Ok, Baada ya Mwigulu kusaidi Kocha wa Yanga kurudi kwenye timu yake yamezuka maneno mengi sana kumtuhumu kwa namna moja ama nyingine. Leo nimemsikia Komredi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Daah deportivo la coruna kanichania mkeka 2milion nimeikosa hv hv
0 Reactions
1 Replies
583 Views
Hello fans! Naomba kujuzwa,Christian ronaldo Ana hotel anayomiliki U.S.A kwa sasa. Je hotel hiyo aliijenga au alinunua kwa mtu au kampuni na kuifanyia marekebisho?
0 Reactions
0 Replies
527 Views
Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa Chola amesema kwamba iwapo atapangwa katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya mahasimu, Simba Oktoba 1, mwaka huu atajenga heshima...
2 Reactions
26 Replies
8K Views
Wakuu wakati ligi ya VPL ikiendelea ni vyema kuweka kumbukumbu muhimu hasa kuhusu timu inayotajwa kuchukua ubingwa kabla ya ligi kwisha. Simba Sc Mnyama mkubwa Mwendo Kasi 4G amekuwa na rekodi...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika, Issa Hayatou ameteua Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi kuwa miongoni mwa wajumbe 11 wa Kamati maalumu ya mageuzi ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
FULL TIME | Yanga 3 - 0 Mbao FC 49' Vicent Boussou (Yanga) 55' Mbuyu Twite (Yanga) 75' Amisi Tambwe (Yanga) KADI Dk 88, Kipa Dida analambwa kadi ya njano kwa kuchelewesha mpira kwa makusudi Dk...
3 Reactions
99 Replies
14K Views
Mwishoni mwa wiki iliyopita zilienea habari katika mitandao ya kijamii kuwa Mkurugenzi Mtendaji na Rais wa MeTL Group, Mohammed Dewji na Yusuph Manji wote kwa pamoja wamesitisha mipango ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Leo nimecheza kamari lakini Manchester United lakini naanza kujutia pesa yangu
1 Reactions
16 Replies
2K Views
"Tatizo Simba mnamtegemea sana Mavugo, alishindwa kufunga huyo ndio basi tena, mpira haupo hivyo" ONE MONTH LATER "Simba pale ukimbana vizuri Tshabalala umekwisha, magoli yote anatengeneza...
7 Reactions
33 Replies
2K Views
Je unavifahamu vyema vigogo hivi vya soka barani, ulaya? 1. Real Madrid 2. Atletico Madrid 3. Tottenham 4. Villareal 5. Nice 6. Bayern Munich Kama jibu lako ni ndio.. jua kwa sasa vinashare...
5 Reactions
27 Replies
3K Views
Ni wazi kuwa soka letu haliwez kuendelea kama tutendelea na tabia za kudhan sisi ni watoto wa timu flan kubwa. Hivyo tunapocheza nazo tunapaswa kuziachia. Haya mambo yanaonekana sana katika timu...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom