Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

kwa wale wenye timu za volleyball itakuwa poa kaama tukialikana kwa ajili ya mashindano itakuwa poa sana maana tutakuza mchezo.mimi nachezea timu moja ipo tegeta dar. sio mbaya tukiorganise mechi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
inashangaza timu ya yanga haitakiwi kushinda katika ligi hapa nchini tayari maneno yameanza wachezaji wawili kagera wamesimamishwa lakini nilimfatilia kocha wao akiwa dar kabla mechi na simba...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Baada ya mbwana samata kuhoji kuhusu uwepo wa winga huyu hapa nchini, ilihali alifuzu majaribio huko Spain. Hatimaye leo azam fc wathibitisha kupokea work permit yake. Maswali tuliyonayo wadau...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
"Kevin-Prince Boateng has described Ronaldinho as the best footballer he ever played with, hailing the Brazilian as even better than Zinedine Zidane, Diego Maradona and Pele" - Ronaldinho better...
10 Reactions
111 Replies
10K Views
Wachezaji wafuatao wakijituma wanaweza kutoa ufalme wa messi na ronaldo kwenye hii tuzo 1.Paulo Pogba 2.Eden Hazard 3.Antonio Griezman 4.Martial 5.Balle 6.Neymar 7.Suarez 8.Sanchez Taja wengine
1 Reactions
8 Replies
813 Views
Nimefurahia sana Serikali kuwapiga 'stop' wafanyabiashara wanaonyemelea kuwekeza kwenye vilabu vikubwa vya soka Tz, Yanga na Simba. Ushauri wangu kwa hili ni kuwataka wafanyabiashara hawa...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Tushirikiane mawazo tu mchinje kanj leo katika hii perfect12.Kama kuna matokeo unaamini possible share hapa tupige mzigo huu..41.2M Ipo kwa ajili yetu hivyo tushirikishane katika hizi mechi 12...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Kufuatia taarifa kuwa timu ya yanga imemsajili kocha mpya kutoka zambia kocha mholanzi anayekinoa kikosi hicho cha wana jangwani amejiuzuru baada ya kupata taarifa hiyo more to follow my...
1 Reactions
56 Replies
6K Views
Nlikua mmoja wa mashabiki wa timu ya Taifa ya Czech Republic kipindi cha nyuma kidogo enzi izo ikiundwa na Wakali kama Pavel Nevded uyu mtu alikua fundi sana anzia timu ya Taifa mpaka Juventus...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Wapendwa habari za masiku leo napenda tupitie huu uzi mdogo hapa wenye kufurahisha nimeutoa mahali..... Bila mawazo ya Dj Jooh kusaga labda Clouds Fm isingekuwepo hapa ilipo mara nyingi...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Kiukweli miaka hiyo kulikuwa na ushindani mkubwa sana kati ya Matajiri hawa wawil na Simba na Yanga. Sijui ni nini kiliwatoa kwenye Ule Ushindani. Mechi zao zilikuwa zikitabiria na watabiri...
6 Reactions
64 Replies
12K Views
Kila muda wanaisifia Liverpool na Daniel Sturridge "kuwa kafunga magoli mawili Jana na Liverpool haijapoteza mechi 10. Mbona Arsenal hajapoteza mechi 14 mpaka sasa na Jana Oxlade Chamberlain nae...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Azam TV yazindua full dozi Kituo cha Azam TV kimezindua promosheni ya Full Dozi Kutwa Mara Tatu ambapo ni fursa kwa mteja mpya atapewa king’amuzi bure, dishi bure na vifaa vingine ikiwa ni...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
  • Closed
UPDATE Kwa mujibu wa kituo cha redio E-FM mtangazaji Maulid Kitenge ametangaza kocha wa klabu ya Zesco United, George Lwandamina amesaini mkataba wa miaka miwili wa kuinoa klabu ya Jangwani...
2 Reactions
41 Replies
12K Views
Good evening .Naombeni kama kuna mtu mwenye Link ya hii mechi please aiweka hapa wakuu wangu :)
1 Reactions
2 Replies
914 Views
EXCLUSIVE LEO USIKU KATIKA MICHEZO NA BURUDANI. Wana- Nkurukumbi Kagera Sugar yawasimamisha Mlinda Mlango Husein Shariff pamoja na Beki wa kati Erick Charles wakiwahusisha na upangaji wa Matokeo...
0 Reactions
3 Replies
906 Views
Klabu ya yanga imemuajiri CEO mpya mfaransa kwa mkatana mpya wa miaka 3. Mfaransa huyo atasimamia masuala ya fedha na usimamizi wa maendeleo ya academy ya klabu Mtandao wa Supersport umereport...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Kwaheri Hans hii ndio Tanzania, Kichwa cha mwendawazimu, wamekuletea kocha bila kuvunja mkataba na wewe, ni dharau kubwa, ukienda kwenu ulaya kawaambie kwanini mpira wetu haukui, kocha...
6 Reactions
35 Replies
4K Views
Back
Top Bottom