Soka/kandanda/kabumbu ni mchezo unaopendwa na kuwa na mashabiki sana sehemu nyingi duniani na hata hapa Tanzania.
Hufuatilia sana mpira wa bongo hivi karibuni yamkini kuna mashabiki wengi ila...
Hello wapendwa.
Sijui km hii kitu ipo?
Nilikua napendekeza kila timu iwe na fans club,ili kujiongezea kipato......
Nimeona teams zikiuza,T-shirt,mashuka, saa hadi mugs na sahani..zenye nembo ya...
Wana jf salamu kwenu
Najua kila mtu atakuwa na kipaji cha mchezo flani hata mmoja taja ni mchezo gani ambao huwa unawaonea wenzako mkiwa mnacheza namaanisha huwa unawazidi ujanja wenzako...
Wakuu habari za huoni,
Nimeshangaa sana Leo kusikia kuna chama cha magolikipa Tanzania..si kuna chama cha wachezaji mpira Kwa ujumla...sijui kama vyama vya mabeki na viungo pia vipi..
wapendwa JF wa michezo ya kuchapana, toa shaka, kuanzia end of January 2011
muda ukiruhusu kuanzia saa 11 jioni hapa Dar, tunaweza ku organize na nikajitolea bure
to train you free, Kung fu +...
Huyu mtangazaji wa mpira wa azam anaendeshwa na ushabiki.
Mabeki wa azam wanacheza rafu anasema eti haja kusudia... Mchezaji wa yanga huyu namba saba amechezewa rafu mara mbili na huyu beki wa...
Kagera Sugar leo ni wageni wa Simba...
MATOKEO:
Magoli ya Mzamiru Yassin na Shiza Kichuya yaipa Simba ushindi wa 2-0 dhidi ya Kagera Sugar jioni hii katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar.
Achana na Barcelona na MSN yao inayoundwa na Messi, Suarez na Neymar au Real Madrid na BBC yake inayosukwa na Balle, Benzema na Cristiano.
Ndani ya ukanda wetu wa CECAFA, kuna kombinesheni...
Jana nimeshuhudia watu wengi wakichelewa kuingai mpirani Taifa huku wakiwa na kadi zao za kieletroniki na kulaumu utaratibu mpya wa manunuzi ya tiketi
Nina wasiwasi hilo litajitokeza tena leo...
Nlipokuwa naangalia mpira wa jana nikakumbuka huu wimbo. Kiukwel simba ya leo ina mabadiliko kiasi kikubwa kuliko ile ya jana. Wachezaj wanajituma na wanaonekana wana nia ya kushinda. Ni simba...
Muda wote mwanasiasa wa Tanzania huwa anafikiria uchaguguzi, kura na wapiga kura kiasi cha kuwafanya watafute hata kura haramu kwa njia haramu. Miongoni mwa kura haramu hizo ni kama zile za...
Hatimae yule Mnyama mkali, mwenye nguvu na makucha makali pengine kuliko wanyama wote mwituni.. Simba kamaliza nusu ya raundi ya kwanza ya VPL kwa kishindo kikuu.
Kamaliza hii duru kwa staili ya...
Kutokana na mwenye nyumba kuamua kuwafukuza wapangaji wake,hii inaashiria kumfanya mh. Manji aanze haraka kuanza ujenzi wa uwanja kabla ya muda alioupanga na kuonyesha jeuri kwa huyo mwenye nyumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.