MTAZAMO WANGU
Nimesoma hoja za wadau tangu juzi na jana, nimeona na kujifunza mengi sana kutoka kwa waliokuwa viongozi wa yanga na wadau wa yanga kuwepo kwa tofauti ya mitazamo ni jambo la afya...
Habari wanaJF,
Sasa kumekucha wapenda michezo wenzangu hii ni kufuatia Baraza la Michezo Tanzania (BMT) leo limetangaza rasmi kutotambua ukodishwaji wa Klabu ya soka ya Yanga
Baraza la BMT...
jamani nawaomben kwa wadau w mchezo wa darts ali aarufu kama mchezo wa vishale nataka kuwa wanachama napatikan dar es salaam nikipata viongozii nitafurahi sana!
Asanteni!!!!!!!!!
Katika mchezo uliochezwa jana katika uwanja wa karume wa ligi daraja la kwanza kati ya Friends Ranger imeibuka na ushindi wa goli moja,Hongereni sana Friends Ranger kwa ushindi wenu
Leo nilikuwa nasikiliza kipindi cha michezo hapo clouds,fatma likwata ameandaa makala ya kumponda manji na kuwadharau wanachama wa yanga,hv anajua gharama za kuendesha timu?au wanaropokaropoka...
Ushindi wa kuhakikisha wamefagia kila kitu mtawalia na hakaribii yeyote, yaani namba moja, mbili, tatu na nne zimenyakuliwa na Wakenya. Mtakoma aisei....
Florence Kiplagat (Kenya) 2:21:32 2. Edna...
Yanga kwa historia haiwezi fananishwa na timu nyibgine yoyote katika ukanda wa Afrika Mashariki. Ni timu ambayo historia yake inaonesha ni sehemu ya uhuru wananchi yetu. Licha ya kuwa Yanga ina...
Ndugu zangu wapenda Mpira wanachama hai Hasa wa Yanga sina maneno mengi ya kuwachosha niko hapa kuomba tushirikiane lengo liwazi ninahitaji kuwapeleka mahakamani viongozi wote wa Yanga kwa...
Taarifa zinasema eneo ambalo Yusuf Manji ametoa kwa timu ya Yanga kujenga uwanja wa kisasa linadaiwa kuwa katika mgogoro wa umiliki.
Chanzo: Bin Zubeiry
============================
Kuna haja...
Habari za kuaminika zinadai kua kumbe refa anasema kua alimuonyesha Mkude kadi nyekundu sio kwakumsukuma bali alimtolea lugha ya matusi, ambayo ni Kadi nyekundu moja kwa moja. Je kwa kufuta hio...
Nmeangalia ofisin kwangu nikauliza kwa jamaa yetu wa manunuzi zile office chair ambazo bado ni nzuri kabisa na comfortable tsh ngap. Akanambia tsh 150,000. Nikajiuliza vile viti vya uwanja wa...
Wamewasilisha Barua Ya Maombi Ofisini Kwa Waziri Wa Habari, Utamaduni, Utalii Na Michezo
Wa Serikali Ya Mapinduzi Ya Zanzibar, Kuomba Ridhaa Ya Kuutumia Uwanja Wa Aman Uliopo Mjini Unguja...
Kwema wajameni?
Nimeweka sheria za soka humu jamvini @https://www.jamiiforums.com/jf-store-enjoy-this/232848-laws-of-the-game.htmlili ziwe mwongozo kwa wapenzi wote wa soka kabla ya kujadili suala...
Na. M. M. Mwanakijiji
Mojawapo ya mambo ambayo yanaudhi wakati mwingine ni watu kutolea maoni jambo ambalo hawalijui au hata kuchukua muda kulijua hasa kama liko ndani ya uwezo wao. Katika mechi...
Akitoa maoni yake jana katika kipindi cha sports extra, alitilia shaka maamuzi ya kamati iliyoamua kuwajadili waamuzi na kuwalaumu kwa kushindwa kuumudu mchezo wa Simba na Yanga.
Akienda mbali...
Goli la Amis Tambwe kwenye mchezo wa Yanga vs Simba lililalamikiwa uhalali wake kwasababu Tambwe aliushika mpira kabla ya kufunga (Picha na Francis Dande)
Mshambuliaji wa Yanga Amis Tambwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.