Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Awali ya yote napenda nisieleweke kama namlaumu mtu yeyote bali natoa maoni ya kitaalamu kwa baadhi mambo ambayo yangestahili kuzingatiwa wakati wa ujenzi wa uwanja huu. Ambao kwa sura ni mzuri...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Mechi itachezwa kuanzia saa 15:30 GMT leo 02.10.2016 kwenye uwanja wa Aliphonse Massamba Debat jijini Brazzaville, Congo. Marefa wanatoka Burund...
0 Reactions
187 Replies
27K Views
Haya ndo malalamiko ya Simba SC..
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limepokea barua kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Ethiopia (EFF), ikielezea juu ya kufutwa kwa mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliokuwa ufanyike...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hakika wanasimba wanazidi kuumia kuona goli la mkono kutoka ulaya kwa clabu kubwa kama arsenal aise inazidi kuboa[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limepokea barua kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Ethiopia (EFF), ikielezea juu ya kufutwa kwa mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliokuwa ufanyike...
0 Reactions
0 Replies
664 Views
Nimekuwa msomaji wa habari za michezo katika blogs mbalimbali kama vile ya Shaffih Dauda, Bin Zubeiry, Saleh Jembe, Sports in Bongo nk. Wamiliki wa blogs hii ni wachambuzi na wapiga picha wazuri...
1 Reactions
23 Replies
8K Views
SIMBA na Yanga zitakutana katika mechi ya mwisho ya kufunga msimu huu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, mapema mwezi ujao. Mchezo wa kwanza, Yanga iliifunga Simba 1-0, bao pekee la Mzambia...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mengi yamezungumzwa na wachambuzi wa soka kuhusiana na matukio na matokeo ya mchezo wa Simba na Yanga Jumamosi iliyopita. Mojawapo ya tukio lililovuta hisia ni utovu wa nidhamu aliouonyesha...
3 Reactions
2 Replies
3K Views
Nyota wa zamani wa Liverpool na West Ham Rigobert Song amekimbizwa hospitalini akiwa katika hali mahututi baada ya kuugua kiharusi. Ujumbe wa Samuel Etoo katika ukurasa wake wa Instagram...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwanza niseme wazi wazi kabisa huwa sikubaliana na njia za matumizi ya nguvu kwenye maamuzi yoyote yale. Lakini pia wanasema binadamu ukimnyima haki yake mwishowe huamua kuchukua kwa nguvu. Na...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Nilikuwa namsikiliza Mchezaji Wa Zamani Steven Nemes hapa E FM,ktk maongezi yake amewataja pia na baadhi ya wachezaji Wa zama zile kweli nimejihisi kusisimka kama zamani,wakati ule mchezaji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waziri Nape Nnauye amezifungia timu za Simba na Yanga kutumia uwanja wa taifa mpaka pale zitakaporuhusiwa tena na serikali. Hii ni kufuatia baadhi ya mashabiki kuvunja viti jana. ---------...
2 Reactions
348 Replies
42K Views
Klabu ya Swansea ya nchini Uingereza imemfukuza kazi kocha wake Francesco Guidolin na nafasi yake inachukuliwa na aliyewahi kuwa kocha wa timu ya taifa ya Marekani Bob Bradley. Swansea...
0 Reactions
3 Replies
904 Views
By Jermaine Jenas MOTD pundit and former Tottenham midfielder Jermaine Jenas will join Gary Lineker and Alan Shearer on Match of the Day at 22:25 BST on Saturday and is also on Match of the...
0 Reactions
1 Replies
795 Views
Tangu jana kumezagaa tetesi kua, kocha mwenye heshima kubwa nchini Tanzania na katika klabu ya Simba S.C, Jamhuri Kihwelo 'Julio' ametangaza kujiuzulu ukocha, na kuapa kutofundisha tena mpira...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Manchester City lost Manchester United drew Bayern drew Dortmund lost Real Madrid drew Barcelona lost LIVERPOOL WIN
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wamemfunga Burnley katika ligi kuu EPL tena dakika za majeruhi kabisa.goli la mikono miwili waziwazi.refa kaweka mpira kati kocha wenger kashangilia mikono juu kama vile ameokota almasi.lakini...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Kitu gani kifanyike ili tuweze kuulinda uwanja wetu wa taifa usiharibiwe na watu wachache wasio na elimu.Binafsi naamini mtu alio elimika hawezi ng'oa kiti au akojolee kwenye sinki la...
0 Reactions
0 Replies
748 Views
Back
Top Bottom