Wapenzi wa soka walioshuhudia pambano la watani wa jadi hapo jana watakuwa ni mashahidi wa kiwango duni kabisa cha uchezeshaji kutoka kwa mwamuzi Martin Saanya. Hakuna haja ya kurudia rudia kutaja...
Nimeangalia mpira wa jana sijaona kitu kipya cha kiufundi kwenye mchezo wenyewe zaidi ya ushabiki tu uliotujaa. Wachezaji walikuwa wanafuata mpira kila unapokwenda wala walikuwa hawakai kwenye...
Katika somo la ujasiriamali, kuna dhana maarufu ya kugeuza changamoto kuwa fursa ya kujiletea maendeleo. Inashauriwa kuwa wakati wengine wakiendelea kulalamika na mazingira magumu au yanayowakwaza...
Leo ndiyo Leo Siku ya Kariakoo Derby timu zote zikitokea wilaya ya Ilala na Kata ya Kariakoo.
Match preview
Simba ikitafuta kufuta uteja wa miaka ya hivi karibuni na Yanga ikiendeleza Ubabe wake...
Mpaka sasa sioni tena umuhinu wa Sammata kwa timu ya FC Genk. Kwa mfano jana Genk walishinda bao tatu bila mchango wa Samatta ndani ya uwanja. Kuna jamaa alikuwa ana assit ile mbaya na kufunga...
Msimu uliopita tumeshuhudia Yanga akipata pointi zote 6 kutoka kwa mtani wake Simba ,ila katika game zote hizo kama kawaida game za watani huwa na maneno sana.
Simba akaja na visingizio kwamba...
kuelekea mechi ya simba na yanga jioni itakapo fika saa kumi jioni mechi baina ya watani hao wa jadi
#thread hii ni kujuana kwanza ushabiki wetu isije baada ya mechi tukashidwa hata kusalimiana...
Heshima kwenu wakuu,
Mimi sipendi hii Simba na Yanga. Hebu fikiria Baba na Mama, Baba ndo kichwa. Yaani jina linaloanza ndo lenye mashiko.
Nashauri tuanze kubadilishana Majina, sio kila siku...
Mamlaka ya michezo Tanzania inapenda kuwatahadharisha wakazi wa maeneo ya bunju na msimbazi wajiandae kukabiliana na maafa yanayotarajiwa kutokea hapo kesho yatakayosababishwa na kimbunga cha...
Nasema hivi kwa maana kuna vilabu vilikuwa vizuri sana Ligi kuu ya Uingereza ila viliposhuka tu daraja mpaka leo havijarudi Ligi kuu.
Leads United, unaikumbuka? Enzi akiwepo Mark Viduka, Will...
Mfanyabiashara maarufu nchini ambaye anashika nafasi ya 21 ya utajiri Afrika, Mohamed Dewji ameanza kulipa mishahara ya wachezaji wa klabu hiyo kutokana na klabu kutokuwa na mdhamini.
Taarifa...
Mtuhumiwa wa kesi ya mauaji ya padri Mushi Zanzibar ametinga mahakamani akiwa ameweka alama ya vidole viwili, whch is a political symbol of a certain political party. Hii ina maana gani? Check...
Salaam kwenu WanaJF.
Zimesalia siku chache kufikia mpambano mwingine wa watani wa jadi Simba na Yanga. Yapo mabishano mengi yanayojitokeza hasa katika kipindi hiki, kila upande ukijinasibu kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.