Happy birthday my lovely club..80 yrs anniversary
Na Haji S Manara
Watanzania wenzangu hususan wana Simba.tarehe kama ya leo 8-8-1936,wazee wetu ambao wengi wao tayari wapo mbele ya...
Jose Mourinho has named the three footballers who he thinks are the greatest of all time. ‘The special one’ was asked to name his picks for the three greatest players in football history, to which...
Mm ni shabiki wa Arsenal lakini naona season ijayo itakua na machungu kama ya sesion zilizopita na sababu kubwa ni ubahili wa Wenger. Kwa kikosi kilichopo sina uhakika kama kuna uwezekano wa...
Yanga inabadilishiwa mfumo wa umiliki na uendeshwaji tu sio kuuzwa au kukodishwa . Mfumo uliopo ni wanachama kupitia uongozi waliouchagua kuimiliki na kuiendesha klabu kwa asilimia 100.
Sasa...
Hili ni jambo ambalo nmekuwa nikijiiuliza sana.bwana yusufu manji pesa anazo na sasa yanga anaiendesha vile atakavyo.yeye ndiye msemaji wa kwanza na wa mwisho. Tunamshukuru kwa kweli.
Leo kwenye...
Habari wana jamvi,
Naomba niwape angalizo watani wangu Yanga kuhusu huyu bwana Yusuph Manji. Kama mnakumbuka aligombea Kata ya Mbagala Kuu kwa tiketi ya CCM.
Kweli alikuja na staili yake ya...
Mchezaji bora kabisa toka nchini Burundi, aliye daraja moja na kina Messi, CR7 na Suarez [hii ni kutokana na rekodi yake ya kufunga goli 29 katika mechi 28], Laudit Mavugo.. baada ya kusaini...
List ya wachezaji watatu wanaowania tuzo ya mchezaji bora Europe imetolewa leo huku Messi alieshinda tuzo hiyo mwaka jana akiachwa.
Ronaldo,Bale,Griezman ndio wanaowania tuzo hiyo.
Ronaldo...
Habari ya town ni kuwa kesho katika mkutano wa Yanga wanachama wana mpango wa kufanya mabadiliko ya kuwa kampuni na kumnyanganya timu mfadhili wao Manji na kumpa timu tajiri mwingine ambaye yupo...
Wakuu hivi kwa mini huwa vigumu kwa club zetu kualikana katika siku zao muhimu mfano SIMBA DAY, club ya SIMBA iwaalike YANGA au AZAM ili kujiongezea mapato, kuliko kualika timu za nje kila mara...
Kwa wale waliozani ukimya wa Jerry Muro umetokana na kutii adhabu ya TFF imekula kwao. Jerry alipewa likizo na YANGA ya mwezi 1, na imeisha jana... Leo karudi kazini rasmi na kesho atakuepo kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.