Kauli hiyo imeafikiwa na mahakama ya juu ya michezo ambayo imefutilia mbali rufaa iliyowasilishwa na kamati ya olimpiki ya Urusi ROC ya kuitaka ibatilishe uamuzi wa shirikisho la riadha duniani...
Robo Fainali ya mwisho leo
Hadi sasa Dk 55 BILA BILA
Kauzu ya Tandika ina majeshi kama vile Taita, Gumbo R, Jeba
majesh ya Kibada
namuona Hamad Kibopile tu
Habari wanajamvi,
Nauliza katika ile deal ya Neymar na Barcelona iliyogharimu euro 57 milioni mbona neymar alipata hela nyingi euro mil 34 kuliko klabu yake ya Santos waliochukua euro mil 17...
Klabu bingwa ya Tanzania Yanga pamoja Na kucheza Mpira kwenye magazeti zaidi Leo wameshindwa Kwa Mara nyingine tena kuutumia vena uwanja wa nyumbani.Yanga Wa kimataifa zaidi wamezidi kuwaonyesha...
Arsenal are to sign the Japan striker Takuma Asano from the J-League club Sanfrecce Hiroshima.
The 21-year-old made his international debut in August last year and has made five appearances. The...
Kama Liverpool wana jembe la kijerumani,Man United na City wana matingatinga yapo na Chelsea wana nondo yao mimi sijui jamaa zangu wa Asernal watafia wapi, hakika safari yao msimu huu majanga.
1. Simba ndiyo timu ya kwanza nchini kupanda ndege na hii ilikuwa mwaka 1963 tena wakati huo taifa la Tanzania halikuwa limeundwa, ilikwenda Ethiopia kwa mwaliko wa rais wa taifa hilo Haile...
Mashabuliaji wa zamani wa Klabu ya West Ham United ambaye kwa sasa anachezea klabu ya Shaghai Sheghua FC ya uchina amevunjika mguu akiwa katika moja ya mechi katika ligi ya uchina.
Michezo ni uhamasishaji, na michezo yaweza kuwa siasa.
Kati ya watu ambao wameonyesha commitment kwa nchi ya Tanzania, hadi duniani, watu wamepata Phd katika Management ni Mtanzania John Peter...
Nilikuwa naangalia tuzo za TFF leo, Sijui tukio hili limefanyika lini, lakini Masoudi ndiye aliyekuwa host. Aluvyokuwa amevaa na ukizingatia ni mbele ya waziri wa mambo ya ndani Kama mgeni rasmi...
Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Starts
Naomba tujadili wataalamu wa mpira..
Ni kwanini mpira wetu Tanzania umegubikwa na maneno maneno sana? Nini kifanyike tutoke hapa Tulipo...
Kumekuwa na taarifa ya kuwa Ikulu imefanya uteuzi wa Bw. Jerry Muro kukaimu nafasi ya Ukurugenzi wa Mawasiliano Ikulu.
-
Hii taarifa ambayo binafsi kwa mara ya kwanza kabisa niliikuta humu JF...
Karibuni kwa updates
KIKOSI 01. Deo Dida
02. Juma Abdul
03. Oscar Joshua
04. Kelvin Yondani
05. Vicent Bossou
06. Mbuyu Twite
07. Simon Msuva
08. Thabani Kamusoko
09. Donald Gnome
10. Amissi...
Tff ni baba wa soka tanzania na ndio yenye zamana kuendesha ligi hapa tanzania na timu zinapofanya vibaya haikwepi lawama,timu yetu ya taifa haifanyi vizuri yote haya kulingana na ligi yetu si...
Kocha wa Sunderland Sam Allardyce anatarajiwa kufanyiwa usaili wakati wowote kuanzia sasa ili kuifundisha timu ya Taifa ya England .
MyTake - Huyu ndiye mtu sahihi wa kufundisha timu ya taifa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.