Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

What's good y'all... Anyone watching the ESPYS on ABC?
0 Reactions
12 Replies
933 Views
Jerry Muro ni Jembe! Uwepo wake Yanga kama Msemaji wa Club, ulichangamsha mashabiki, uliongeza hamasa ya team, Sisi kama mashabiki wa Yanga we will miss you! Mashabiki wa Simba walikua wanatamani...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
leo asilimia 100 ya wachezaj wa yanga wanaenda kucheza vizuri ili waonekane nao waajiriwe tp mazembe.. ukicheza mazembe mshahara unaolipwa ni zaidi ya ceo wa magufuli... kila mchezaji ana ndoto...
4 Reactions
3 Replies
2K Views
Fainali nne haujachukua hata moja, huku ukiwa na best player s, Ona Portugal ya Ronaldo imechukua euro na kikosi kibovu, najua hiyo itakuwa point kwa team-Ronaldo kuprove wewe si lolote si...
5 Reactions
60 Replies
5K Views
Mchezaji mwingine afariki dunia Argentina Na whezron - May 24, 2016 BUENOS AIRES, Argentina MCHEZO wa soka umekumbwa na tukio jingine la kusikitisha ambapo mchezaji wa Kiargentina, Micael...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hii timu imezoea ushindi, haina wasiwasi na wala haitegemei uwezo wa mchezaji mmoja mmoja, wanacheza Total football, ukishangaa watakuadhiri kwa kiwango ambacho hutasahau! Hawana presha ya vyombo...
5 Reactions
39 Replies
3K Views
FT (after Extra Time) PORTUGAL 1, FRANCE 0. Eder's 1st international goal wins Portugal their 1st title. Incredible! ===== UPDATES Confirmed lineups 01min: POR 0 - 0 FRA 10min...
3 Reactions
599 Replies
48K Views
Wana-liverpool mpo bado mwez zianze mbwe mbwe za premier league mwaonaje usajili?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ili ndoa iweze kudumu na kuwa na amani na furaha muda wote unatakiwa kuwa na hekima ,busara ,uvumilivu na pesa na uaminifu .Ndoa ni pesa siku hizi na Pesa ni ndoa ukikosa pesa hauwezi pata ndoa...
4 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari gana wakuu naomba mnisaidie baada ya huyu kugawa Jezi yake alibaki kashika nini mkononi kwake kuwa makini sana na utujuze
0 Reactions
3 Replies
868 Views
Hongera sana mwanadada kwa kutoa ubingwa wa tennis Wimbledon
1 Reactions
2 Replies
758 Views
Baada ya UK kupiga kura na kuamua kujitoa kwenye umoja wa nchi za ulaya. Hii ina athari gani kwenye ligi yetu pendwa ya EPL? Ikumbukwe moja ya sababu kuu ya hawa waingireza kujitoa ni swala zima...
2 Reactions
0 Replies
784 Views
Habari kwa wapenzi wote wa video games za mpira, kama nilivyoweka kwenye tittle ya thread hii kuwa mchezaji nyota wa club ya Real Madrid na captain wa timu ya taifa ya Colombia, James Rodriguez...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wale wapenzi wa Rally... Kesho hapo Bagamoyo East Africa Rally inaanza.. Updates zote tunaweza kuzipata hapa.. Mashindano yataanza kesho Jumamosi na kumalizika Jumapili.. sensor saragossa...
2 Reactions
160 Replies
14K Views
Salary Madness: These So-So NBA Players Just Scored a Bigger Payday Than Nike’s CEO Thanks to the league’s new TV deal and a 35 percent jump in the salary cap, there are more lucrative...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), limeipiga faini ya dola 5,000 Klabu ya Young African kwa kosa la kuchelewesha mchezo baada ya wachezaji wake kumzonga mwamuzi wakati mchezo wa kuwania...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeshangazwa na kufurahishwa na juhudi za wachezaji wenye asili ya Afrika kuonekana wanapambana kwa nguvu zote na kuzipigania nchi "zao"za kuhamia katika michuano ya ulaya,ninachojiuliza mbona...
0 Reactions
0 Replies
456 Views
1: UFARANSA. Ukiachana na aina ya wachezaji walio nao, ile hali ya kuwa mwenyeji kwenye michuano hii itamfanya aanze kwa kushambulia ili apate goli la mapema. Kitu hiki alikikosa kwenye mechi ya...
3 Reactions
41 Replies
5K Views
Rekodi inaenda kuandikwa kwa kinda Paul Pogba kuvunja rekodi ya usajili duniani. Miezi miwili nyuma nani alieamini ili jambo linawezekana?. Pogba ndoto zake ilikua kucheza Real Madrid, lakini kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nina 1m hapa inaniwasha nataka niitoe kwa mtindo wa kubet Mimi naamin Portugal anabeba ubingwa leo hivyo aliyetayali kupinga kwa kubet basi aje na 1m yake tuweke mzigo mezani atakayeibuka kidedea...
1 Reactions
58 Replies
5K Views
Back
Top Bottom