Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Yanga imekuwa gumzo huko duniani ambapo vyombo vingi vya habari pamoja na wachambuzi wanalipongeza benchi la ufundi la yanga Baada ya nchi nyingi kushinda ....huku wachezaji wa Yanga / waliowahi...
9 Reactions
34 Replies
2K Views
Taifa stars ifundishwe na walimu wenye ubora na uzoefu mkubwa kuliko wachezaji wanakotoka kwenye timu zao. Hii itachechemua fikra za wachezaji kuhusu timu yao ya Taifa. Mwanafunzi wa chuo kikuu...
9 Reactions
50 Replies
1K Views
Struggling star is Man United's highest earner as transfer flop makes the top five - but key midfielder is the LOWEST-paid player in Erik ten Hag's squad Manchester United's wages for the 2024-25...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Game ya Kwa Mkapa hii VIKOSI VINAVYOANZA LEO
2 Reactions
110 Replies
4K Views
Ndugu Wilhelm Francis Gidabuday atazikwa jumamosi 14:00:2024 katika kijiji cha Endamang, Nangwa , Hanang Mkoani Manyara. Gidabuday amefariki akiwa na miaka 50, siku chache kabla ya kumkumbu ya...
1 Reactions
5 Replies
517 Views
#Repost @officialfelixtz Wachezaji [emoji2389][emoji2392] kutoka Young Africans [emoji1241] watapambania mataifa yao kufuzu AFCON 2025 Morocco [emoji1173] Unambiwa haijawahi tokea Kwa club hapa...
11 Reactions
37 Replies
2K Views
Hongereni shirikisho la soka la Zanzibar kwa kuzalisha vipaji vinavyokuja kulikomboa taifa la kichwa cha mwenda wazimu (hayati Ali Hassan Mwinyi). Uzi tayari. Guinea 1-2 Kizimkazi FT
1 Reactions
9 Replies
410 Views
Pamoja na wazo jema la ujenzi wa uwanja wa KMC Complex, naomba nijikite kutoa kasoro kadhaa nilizoziona katika mradi huu. Kasoro zangu zitajikita katika maeneo yafuatayo: 1. Design 2. Gharama za...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Habari za jioni wakuu? Kwa jinsi wachezaji wa Taiga Stars wanavyocheza ni kana kwamba wamelazimishwa kushiriki mashindano haya,wanamgomo wa chini kwa chini dhidi ya uongozi. Team haina...
3 Reactions
9 Replies
300 Views
Klabu ya Simba imeachana na Kocha Juma Ramadhani Mgunda ambaye alikuwa akiinoa Timu ya Wanawake ya Simba Queens huku mara kadhaa akipewa jukumu la kufundisha timu ya wakubwa ya klabu hiyo. Soma...
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Ninaomba hawa yanga waweke wazi ni lini walimsainisha Kagoma halafu watu waone muhuni ni nani. Hawa viongozi wanahisi FIFA ni bodi ya ligi ya Tanzania
3 Reactions
35 Replies
1K Views
Taifa limekuwa la kutekana kuuwana huku tukijinasibu kuwa ss ni kisiwa cha amani, amani ipi? watu wanatekwa wanauwawa na kisha bado viongozi wanaongea porojo alfu wanakimbilia kwenye mipira...
5 Reactions
36 Replies
614 Views
Kuelekea derby ya Jumamosi ya Yanga Vs Simba, tuwataje wachezaji watatu mahiri na bora kuwahi kuvaa jezi nyekundu na nyeupe za Simba Sc.
2 Reactions
21 Replies
5K Views
Natamani Tufikie Siku Moja Tuziishi Siasa za Tanzania Kama Tulivyoweza Kuishi Ushabiki wa Simba na Yanga Mtaani Wote Tukikaa Pamoja Tukitambiana bila kuumizana. Tuishi kama Democratic na...
0 Reactions
0 Replies
235 Views
BABA YETU NA MUNGU WETU TUNAKUSHUKURU KWA UHAI WA WATOTO WETU AHSANTE KWA KUWAWWZESHA KUSOMA NA SASAA WANAENDA KUMALIZALA SABA TUNAOMBA UWAKUMBUSHE KILA KITU WALICHOSOMA WAFANIKIWE NA WAFAULU...
4 Reactions
10 Replies
316 Views
Tujuzane wachezaji watatu bora kuwahi kuvaa jezi za Njano na Kijani yaani Yanga Sc. Mimi naanza na hawa. Edibily Jonas Lunyamila Nadir Haroub Ally Kanavaro Nonda Shaban Papii Tupe list yako...
14 Reactions
186 Replies
30K Views
Magoma hawezi kulipia wakili bali kapewa wakili na wale jamaa zake kwa gharama zao. Aliyepeleka Yanga mahakamani ni Magoma, viongozi wa Yanga wanajibu mashitaka yake tu mahakamani. Kwahiyo akina...
2 Reactions
12 Replies
522 Views
Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imetupilia mbali rufaa ya Juma Ally Magoma na mwenzake Geofrey Mwaipopo waliyokuwa wameikata dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa Klabu ya Dar es Salaam, Young...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Kwa tunaofatilia haya mashindano utaona team ndogo zimekuja na mkakati wa kuzikamia team kubwa Hii ilianzia kwenye AFCON pale Ivory coast na naona inaendelea hivyo hivyo ambapo team Giants Afrika...
0 Reactions
9 Replies
362 Views
Hawa ndio wachezaji kumi bora kabisa wa kigeni kuwahi kucheza ligi kuu ya Tanzania. Vigezo mbalimbali vilivyotumika ni kama kuwa MVP, kuwa mfungaji bora, idadi ya makombe na hata transfer fee...
7 Reactions
59 Replies
4K Views
Back
Top Bottom