Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

I will be short list yangu ya matapeli since 2014 - 1. Vítor Salvador (Jul 2014 - Jun 2015) 2. Goran Kopunovic (Jan 2015 - Jun 2015) 3. Dylan Kerr (Jul 2015 - Jun 2016) 4. Pierre...
3 Reactions
28 Replies
1K Views
Inapaswa afungiwe. Huu ni udhalilishaji sana. Si sawa hata kidogo. Aache uhuni.
7 Reactions
24 Replies
1K Views
Nafasi walizopata wahabeshi Jana akipata Mzize basi Kongo wanakufa mapema sana kwa Mkapa Inonga bado anacheza na jukwaa akitaka labda Yanga imuone ila alifanya makosa mengi sana Nafasi kama zile...
5 Reactions
13 Replies
956 Views
Beki wa kati, Lameck Elias Lawi, ameanza rasmi leo katika kikosi cha Coastal Union kinachocheza dhidi ya Mashujaa FC, mechi ya ligi kwenye uwanja wa KMC Complex. Lawi amejiunga na Coastal Union...
1 Reactions
9 Replies
749 Views
Kagoma hakupaswa kucheza https://www.youtube.com/watch?v=rCEb85MDopM
8 Reactions
98 Replies
3K Views
Tusichoshane, moja Kwa moja kwenye mada. Huyo mwanasheria aliyeonyesha MIKATABA ya Kagoma kuna maswali hapa atusaidie, inaonekana HAJUI kuwa HAJUI! Inawezekana huyu mtu ni aina ya wale wasomi...
2 Reactions
17 Replies
762 Views
Klabu ya Young Africans iliyoko Ligi Kuu ya NBC imefungiwa kufanya usajili kwa kukiuka kanuni za Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA). Uamuzi huo umefanywa na FIFA baada ya klabu hiyo...
8 Reactions
91 Replies
9K Views
Angalia na sikiliza kwa makini katika video hii hapa kocha wa azam akihojiwa
0 Reactions
2 Replies
355 Views
Simon Patrick: Mwanasheria wa Klabu ya Michezo ya Vijana wa Yanga na mkurugenzi wa kisheria wa Klabu ya Michezo ya Yanga, maisha yake yanga. Kesi Ngumu Simon Patrick amekabiliana na kesi zenye...
8 Reactions
60 Replies
3K Views
Jonas Mkude na Mzamiru waongezwe kikosini. Wana uzoefu na mechi kubwa na ngumu, Wana nguvu na wanaweza bado. Ziko mechi zitawahitaji hasa zile zitakozohitaji kugongana na uzoefu,
3 Reactions
19 Replies
576 Views
Baada ya Sisco kushindikana katika madraft Tanzania nzima , leo saa 5 usiku Kuna pambano EXCLUSIVE Timu: Mkulima Vs Sisco(Confirmed ) Mdhamini: Boss Java Zawadi: 60,000 (Sisco anatakiwa azuie...
21 Reactions
689 Replies
41K Views
Kwa wale Wanye kumbukumbu nzuri kwenye Mpira wa Tanzania watakuwa wanawakumbuka awa jamaa vizuri sana; Rodgers gumbo Lucas mashauri Davis mosha Seif Ahmed magari Pelegrinus Rutayuga Hao jamaa...
5 Reactions
15 Replies
870 Views
Kweli Utopolo wenye akili ni wawili Tu! Kwa hili la Yusuph kugomea kwenda Yanga na jinsi Utopolo wanavyohaha kisa sio Mchezaji bali ni kutaka kutunishiana misuli na Semaji la CAF kweli aliyesema...
9 Reactions
55 Replies
2K Views
Real betis ni miongoni mwa klabu kongwr zinazoshiriki ligi kuu nchini Spain maarufu kama La liga. Kwa njia ya kipekee kabisa ili kuleta mabadiliko katika historia ya klabu hio hususani katika...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Wakuu tujadili kidogo huu udhamini upoje ndani ya timu inayoshiriki kwenye ligi nambari 6 kwa ubora Barani Africa, juu PUMA dhahabu chini NIKE kijani.
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Rais wa klabu, Mohammed Dewji ametajwa na jarida la Face2Face Africa lenye makao makuu yake jijini New York, Marekani kuwa mmoja kati ya mabilionea wawili ambao wamesaidia kukuza biashara ya...
0 Reactions
3 Replies
383 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Wachezaji wa Mpira wa Miguu (SPUTANZA), Mzee Musa Kisoki akizungumzia suala la Mchezaji Yusuph Kagoma kupitia Crown FM amesema suala hilo bado lipo kwenye Kamati ya Katiba...
4 Reactions
9 Replies
712 Views
Nimechunguza na kutambua kuwa watu wengi linapokuja swala la mechi ya watani wa jadi basi wengi wataanza kuitaja simba kisha Yanga. Yani leo ni mechi ya Simba na Yanga. Yani lazima Simba aanze...
5 Reactions
45 Replies
1K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameizawadia timu ya taifa ya wanawake chini ya umri wa miaka 17 ‘Serengeti Girls’ kiasi cha Sh30 milioni baada ya kutwaa ubingwa wa...
2 Reactions
1 Replies
271 Views
Kupangwa au kutopangwa kwa Samata na Msuva sio tatizo la Taifa Stars bali ni kocha mwenye weledi wa hali ya juu kufundishia timu ta Taifa Stars. Kumbuka timu ya Taifa Stars ndio timu pekee yenye...
1 Reactions
12 Replies
826 Views
Back
Top Bottom