Former Arsenal midfielder Mikel Arteta has taken up a coaching role at Manchester City under new manager Pep Guardiola.
Arteta, 34, retired from playing at the end of last season after five years...
Karibuni wakuu nadhani mko poa, naomba mnielimishe ni nani aliyetaka wanamasumbwi ( Boxers) wapigane wakiwa tumbo wazi hasa wale wa ngumi za uzito wa juu ???
Na sababu yake ni nini...
Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imetupilia mbali shauri la Msemaji wa Yanga, Jerry Muro kusikilizwa.
Kamati hiyo imesema hoja zilizotolewa ili kumuita Muro zilikuwa na...
(Reuters) - Hundreds of Argentines protested in the pouring rain on Saturday, demanding that soccer star Lionel Messi return to Argentina's national team after he unexpectedly quit following a...
Jana wakati tupo ukumbini tanaangalia game ya europa kati ya Italy na Germany ghafla ulianza mjadala wa kumsifia huyo dr. Rick kila mtu akitaka kujua alipo hivi sasa na kama bado anajihusisha na...
Manchester, Uingereza.
Mchezaji wa kimataifa wa Sweden, Zlatan Ibrahimovic amejiunga rasmi na klabu ya Manchester United ya Uingereza huku akitamba kuandika kumbukumbu mpya katika historia ya...
Wakuu, nimekuwa najiuliza TFF ni shirikisho au klabu kama Mtibwa, maana kama TFF ni shirikisho basi tungepewa majina ya wachezaji wa timu za Taifa na vilabu wanavovichezea lakini ni wachezaji wa...
mw/kiti wa Yanga Yusufu manji ameweka wazi TFF inavyoihujumu Yanga na amemwambia kama Tff wanasimamia tiketi za mechi za kimataifa ijiandae na kughalamikia kambi usafiri wa nje na ndani.
swali...
Jana Serikali imetangaza kutoiilipisha Klabu ya Yanga gharama za uharibifu uliofanywa Na mashabiki wa Klabu hiyo katika mchezo wao na Klabu ya TP Mazembe.Kitendo hicho kinashangaza kwani kinaweza...
Hatimaye ile kesi iliyokua ikimkabili Muro ambaye ni msemaji wa Yanga, imetupiliwa mbali na kamati ya maadili ya tff kwa kuwa barua ya vitisho aliyoandikiwa Muro ilikua na mapungufu.
Safi sana...
Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Vijana wenye umri wa chini ya miaka 17 ‘Serengeti Boys’, Bakari Nyundo Shime, amesema hatarajii kuwa na mabadiliko makubwa ya kikosi katika mchezo dhidi ya vijana...
Wana-jf habari zenu?
Kufuatia mzozo kati ya katibu wa tff mr. Mwesigwa na msemaji wa yanga mr. Muro, kuna tetesi zimevuja kuwa tff imeamua kuikomoa yanga kwa kumfungia Muro kuanzia kesho mara...
KOCHA Joseph Omog ametua jijini Dar es Salaam, jana Alhamisi saa 3usiku na amepanga kutumia mifumo mitatu tofauti ambayo itairejesha Simba katika ubora wake huku Mwanaspoti ikipenyezewa figisu...
Mwanariadha wa Jamaica Usain Bolt ajitoa katika fainali za mita 100, wakati Jamaica ikijiandaa kushiriki Olimpiki.
================
Usain Bolt’s Olympic quest is in doubt, after the sprint...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.