Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Mechi imechezwa jioni hii uwanja wa amani na simba imekubali kipigo cha kwanza katika mechi za maandalizi ya msimu mpya
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Timu ya taifa ya Tanzania ilipoteza mchezo wake wa kirafiki dhidi ya Libya kwa magoli 2-1, mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Kartepe1 nchini Uturuki. Goli pekee la Tanzania lilifungwa na John...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kano Pillars ni timu ya mpira wa miguu huko Nigeria ina rekodi ya miaka 12 bila kufungwa nyumbani kwao sasa ndio imefungwa 2-1 na Nasarawa United. Je kuna timu nyengine ambazo mnazijua...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mashindano ya Kombe la FA yanarejea tena, baada ya kupotea kwa miaka 13.. na sasa yatajulikana kama Kombe la Shirikisho. Zifuatazo ni dondoo kadhaa kuhusu michuano hii. 1. Ni timu zipi...
2 Reactions
18 Replies
6K Views
Mshambuliaji mpya wa Simba, Papaa Niang jana alicheza dakika 45 mechi dhidi ya Mwadui FC na kuweka record ya aina yake, mchezaji huyo alifanikiwa kupiga cross moja tu, hakupiga shuti hata moja iwe...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Kenyan rapper Octopizzo has been exposed as a liar for claiming that he recorded his new hit song This Could Be Us with American R&B star August Alsina. Alsina disowned the alleged collabo on...
0 Reactions
0 Replies
942 Views
Matokeo ya leo: Simba 0-0 Mwadui FC. Hakuna cha Niang wala mikia wengine! Julio: Simba bado sana, mashabiki wasitegemee jipya watabaki vile vile tu kama msimu uliopita na misimu mingine...
1 Reactions
36 Replies
4K Views
KOCHA mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro, Charles Boniface Mkwasa ametoa orodha ya wachezaji 22 watakaosafiri usiku wa jumapili kuelekea nchini...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Mashindano ya World Championship yanayoendelea nchi China yamedhihirisha kwa mara nyingine tena kwamba Mjamaika Usain Bolt bado hana mpinzani baada ya kushinda mbio za mita 200 wanaume Ikumbukwe...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
It's no surprise that the English Premier League dominates the Top 10 Most Valuable Kits. Total Revenues Generated by European clubs (excluding Premier League). 2015-16 European...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuhusu game za football, nasikia unaweza kubet kupitia mpesa au airtel money. Mwenye ufahamu anipe shule.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Sijui kama wanazi wenzangu wa Msimbazi mnaliona hili naloliona. Baada ya Simba SC kufunga goli 38 katika msimu uliopita, ambayo ni chini ya goli 2 kwa kila mechi, huku washambuliaji tegemeo...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Sister slays! Stella Mwangi drops Kisii soul on Raj "Obe Baba" remix1 Stella Mwangi - easily the leading Norwegian hip-hop artist of Kenyan descent - features in the high-octane remix of "Obe...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kenya is really hotbed of Medals in Beijing?
0 Reactions
0 Replies
657 Views
Ninakumbuka, mshambuliaji wa zamani wa kimataifa nchini, Makumbi Juma ‘Homa ya Jiji' au ‘Bonga Bonga' alisema maneno ambayo yalikaribia kunitoa machozi.Ilikuwa ni katikati ya mjadala...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Viongozi wa Simba hawana mpango wa kusajili wachezaji wa kimataifa ila wanacheza dili ya kupata hela wanafanya hivi; Wanatangaza wanaleta bonge la mchezaji wanaandaa mechi ya kirafiki washabiki...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ezekiel Kemboi underlined his status as one of the great Kenyan athletes by capturing the world championship 3,000 metres steeplechase crown for a record fourth time on Monday. The 33-year-old...
1 Reactions
23 Replies
6K Views
Baada ya kupata taarifa kwamba Simba wanamleta straika kutoka Senegal aitwaye PAPA NIANG (mdogo wake Mamadou Niang), nilimwangalia kwenye Youtube na kugundua kwamba ni mkali. Jamaa anapiga mashuti...
3 Reactions
35 Replies
7K Views
SonderjyskE ndio timu anayochezea, mchezaji bora kabisa kuwahi kushuhudiwa katika ukanda wa CECAFA, Emanuel Anord Okwi. Timu hii inazidi kuchanja mbuga katika mbio za kuchukua ubingwa wa Superliga...
0 Reactions
18 Replies
8K Views
Back
Top Bottom