Ingawa Rais wa FIFA, Sepp Blatter kajiuzulu, lakini anauacha mfumo alioutengeneza kwa kipindi chake cha uongozi uliojaa rushwa mfano rushwa ya Quatar kuandaa kombe la dunia 2022, rushwa ya maafisa...
Rais wa FIFA amejiuzulu na maafisa wa FBI wamezingira ofisi yake na nyumbani kwake siku 4 tu baada ya Blater kuchaguliwa kuwa rais. Heko president Blatter ni fisadi.
Kupitia Twitter rais wa TFF, Jamal Malinzi amedai kuwa alikwenda Zurich kusimamia maslahi ya mpira ya taifa letu, si kuchagua imamu wala baba paroko.
Haya yalikuwa mawazo yake kuhusu Uchaguzi...
Hiyo saa ya RAFAEL NADAL ni aina ya RM27-02 iliyotengenezwa na co ya LUXURY SWISS na thamani yake ni £510,000=1.8Billion.
Na huyu ni RAMADHAN SINGANO "MESSI" wa Simba akiwa na familia yake...
Former Manchester United defender Rio Ferdinand has announced his retirement from playing football at the age of 36.
Ferdinand spent 12 years at Old Trafford where he became one of the most...
Habari wana JF! Naomba kufahamishwa lipi kömbe la thamani kubwa barani ulaya; baada ya timu ya arsenal kuchukua FA nimesikia wengi wakisema eti kachukua kikombe cha uji, naomba kuwasilisha
FIFA's presidential election will take place in Zurich on Friday with Sepp Blatter, who is bidding for a fifth term in office, going up against Prince Ali Bin Al Hussein of Jordan.
The pair will...
Kesho ni mpambano wa mchezaji tenis namba moja dhidi ya Rafael Nadal katika robo fainali ya French open championship. Je una maoni gani katika mchezo huo?
Nimekuja huku kuhamia rasmi sasa, tunakwenda kuangalia nyumba mimi na bibie (Radhia). Unajua mambo ya nyumba ni ya akina mama. Sasa yeye akisema ameipenda nyumba, nawaambia safi...
Kufuatia kashfa ya rushwa katika shirikisho la Kandanda Duniani (Fifa), Ijumaa wiki hii shirikisho hilo litamchagua rais mpya kati ya washindani wawili.
Sepp Blatter ambaye anawania muhula wa...
Wanabodi:
Kuna tetesi kwambaYanga wamempiga bei Pah Sherman
kwa dau la dollar 100,000.
Habari zinabainisha kwamba Sherman tayari yuko ndani ya Madagascar kwa sasa ktk kukamilisha baadhi ya...
kuna habari kuwa cecafa hupata dola laki mbili kila mwaka kutoka fifa pesa hizo zipo wapi hatuoni mashindano ya vijana na hata hayo mashindano ya kagame cup nchi inayoandaa mashindano hutafuta...
Ukiwa binadamu shukuru mungu amekujalia akili fikra busara na uvumilivu. Kama wewe binadamu tujifunze tabia kama watu hawakutaki kwenye uongozi ni bora ukachia madaraka, kwani waliokuchagua na hao...
Wale tuliokuwa tunawaita Vibonde wamechukua medali ya FEDHA kwa kushika nafasi ya tatu.
Kama ninavyosema,wenzetu wanafanya mikakati ya muda mrefu sie tunafanya Porojo za muda mrefu kwenye soka...
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) ambayo inadhaminiwa na kampuni ya bia ya Kilimanjaro, leo inaingia kambini katika hoteli ya Tansoma iliyopo eneo la Gerezani kujiandaa na mchezo dhidi ya...
Malimi Busungu akisaini miaka miwili kukipiga Jangwani.
====================
====================
Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM
YANGA SC imeipa pigo lingine Simba SC, baada ya kufanikiwa...
Zifuatazo ni silaha zilizotua Msimbazi;
1. Peter Mwalyanzi
Kiungo fundi toka Mbeya City, shughuli yake Kaseke anaifahamu, mana alimsihi sana wasiende timu moja kwa kuwa benchi lingemhusu.
2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.