Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Naona jamaa wabarca wako ikulu yetu wanakunywa chaîne na raisi mh unajua kunamadadawa taifa nao wameingia all africa game vipi ukawapongeze kwakuwaita ikulu hawa hata kashata tu pu wtashukurumkuu...
0 Reactions
2 Replies
884 Views
UPDATES: FT : Ndanda FC 0 - 0 Tanzania Prisons FT : Mtibwa Sugar FC 1 - 1 Azam FC ( Mussa Mgosi for Mtibwa | Himid Mao for Azam) FT : JKT Ruvu FC 0 - 2 Coastal Union ( Ike Obbina, Rama Salim)...
1 Reactions
68 Replies
7K Views
Miaka yote kombe lenu ni Top4! Safari hii kulikoni mbona hatuwaeleni? Kuweni wastaarabu basi kwenye mechi zilizosalia muonyeshe uprofeshenolizm! Yaan mtuovertek kwel mwishon kabisa wakat msimu...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Ivi wakuu hii mechi leo ipo kweli maana sisikii shamra shamra zozote kama ilivyokuwa kwa R. Madrid legends. Na kama ipo ni saa ngapi.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kama kawaida msimu wa ligi unapoelekea kwisha Simba inapokutana na Azam ,inakuwa imepoteza dira, na mbio za ubingwa zinabakia kwa timu kubwa TZ, Yanga na Azam. Msimu huu tena tutaishangilia...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Nilikua niki tegemea tbc wataonyesha mchezo wa twiga stars na zambia lakini awakuonyesha wala kutangaza kwenye radio. Kumbukeni kua twiga stars inakua ikifanya vizuli kuliko timu yetu ya wanaume...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wakuu baada ya kufanya kaz na mbet sasa naitaji kuanza kubet kupitia meridianbet online naomba msaada maana website yao ukifungua haineshi kitu naomba msaada anayejua zaidi
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau Shumaramuuu!!!! Naombeni Mlioko Dar es Salaam mtupe updates za kinachoendelea Uwanja wa Taifa maana naambiwa mechi ni leo. Nimesubiria sana mlioko mjini walau muanzishe update lakini naona...
0 Reactions
61 Replies
6K Views
Kwa kipigo cha 8-0 walichopokea Coastal Union toka kwa Yanga,Julio hatawasahau Yanga. Ni kipigo chake pekee cha paka mwizi akiwa mchezaji na hata kocha. Ni kama Mourinho alivyopigwa 5 na Barcelona...
7 Reactions
116 Replies
15K Views
Timu ya soka ya Tanzania-Taifa Stars imepangwa kundi G na Nigeria,Misri na Chad katika kufuzu AFCON mwaka 2017 nchini Gabon. Draw imefanyika leo jijini Cairo,Misri. Kila la kheri Taifa Stars...
0 Reactions
35 Replies
6K Views
Kama ilivyo kwa Voda na M-bet,nauliza Tigo nao wanatoa hiyo huduma ya betting???
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Huu ni msimamo wa Ligi Kuu Bara, baada ya mechi za jana Jumatano Welcome on board Mkuu! Msimamo huu hapa: (Kuna mparaganyiko kidogo wa columns, kong'oli kwenye source) Rnk Team MP W D L GF...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
hivi ni kweli msimu ujao wa klabu bingwa ulaya uingereza itaingiza timu tatu tu? Manake liverpool alitoka kwenye makundi, arsenal, chelsea na man city walitolewa hatua ya kumi na sita bora.
0 Reactions
2 Replies
829 Views
Kwa mwenendo wa ligi Simba mwaka huu inaelekea kuaga Ligi Kuu na kucheza ligi Daraja la Kwanza. Llakini hii inatokea kama utani vile japo ni swala la muda na wengi hawataamini
2 Reactions
61 Replies
11K Views
Leo ndiyo leo mtoto hatumwi dukani. Baada ya vijana wa jangwani kufanya mambo makubwa na mazuri kwenye Kombe la Shirikisho leo watakuwa Uwanja wa Taifa kukipiga na timu dhaifu kabisa Coast Union...
2 Reactions
426 Replies
42K Views
Baada ya jana kufunga mabao matatu katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Levante kwenye La Liga,mshambuliaji wa Barcelona Lionel Messi aka Andunje amebakiza mabao mawili kumfikia Christiano Ronaldo wa...
2 Reactions
143 Replies
25K Views
Wakuu habari za uhakika nilizozipata ni kwamba kocha msaidizi wa timu ya simba, SELEMANI MATOLA anafunga ndoa kesho mchana. Wote mnakaribishwa ubeche.
1 Reactions
41 Replies
8K Views
Full Time: Yanga imesonga mbele licha ya kufungwa goli moja na FC PLATNUM ya Zimbabwe kwenye Kombe la shirikisho ikijivunia mtaji wa bao 5-1 mechi ya awali hapa Tanzania
1 Reactions
214 Replies
22K Views
Kwa hapa bongo zimeanza kuuzwa? Au zinapatikana wapi!!? Nahitaji 2 tu
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Kama heading ilivyo naomba uongozi wa TFF na wadau wote wa soka wachunguze mechi ya Simba na Kagera iliyopigwa Shinyanga. Binafsi nimechukizwa na mwamuzi wa mchezo huo kwa kuonesha upendeleo wa...
2 Reactions
51 Replies
5K Views
Back
Top Bottom