Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF limetangaza viingilio vya mchezo kati ya timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake (Twiga Stars) dhidi ya timu ya Taifa ya Zambia (She-Polopolo) kiingilio cha...
Hizi timu zimekuwa zikiliwa sana na viongozi na saa asasaaa yanga timu ya africa tumeamua kuwaletea mdeni wenu ..kwa wale waliokuwa wakihangaika kujua hizi hela zimeenda wapi hawa jamaa wanakuja...
Kusema ukweli nimeangalia hizi videos hadi chozi likanilengalenga, haswa ile ya kwanza...na tukio la yule dogo msauzi.
Soka ni mchezo wa furaha, amani, upendo na kuheshimiana...wacheza soka wengi...
Kwa mujibu wa sheria za tff,mechi inapoahiriahwa kwa sabb ya mvua au matatizo mengine ya hali ya hewa mechi hiyo inatakiwa kuahirishwa na itachezwa kesho yake asubuhi..lakini hapa mechi ya simba...
Ligi Kuu Uingereza Iliendelea Tena Hapo Jana Kati Ya Man City Na Crystal Palace, Ambapo Man City Imejikuta Ikipokea Kipigo Cha Goli 2 Kwa 1, Hadi Halftime Man City Ilikuwa Nyuma Kwa Goli, Na Mara...
Kuna wengine wanaofuatilia hii kitu?
Tayari Duke in, Michigan State out.
Tusubiri mtanange kati ya undefeated Kentucky Wildcats na Wisconsin Badgers.
Binafsi nadhani Badgers wana nafasi kubwa...
wamewaondoka BenfiSahelBenficangola kwa ya bao 2-1 jubao kukYangakimataifa kimasasakimataifaatch history:
Benfica de Luanda
Club
Angola
E.S. Sahel
Club
Tunisia
Saturday 14/3/2015
African...
Leo katika uwanja wa CCM Kambarage kulikuwa na pambano LA Ligi kuu ya Vodacom, baina ya Stand Utd na Mtibwa Sugar. Mechi Hii ilisimamishwa katika dakika ya 34 baada ya mvua kubwa na kuzuia...
Friday, 14 February 2014 10:10
Written by Jeff Omondi (Writer):
Back in the 60s up until early 90s Kenya was
the yardstick of Africa music. As an African
artist if you didn't record or release...
Wadau wa soka nimekuwa nikijiuliza kwani Taifa stars au vilabu vya Tanzania katika mashindano ya kimataifa Mara nyingi mechi ya kwanza tunaanzia Tanzania? Wadau kama mtu anafahamu sababu atujuze
Habari yako mwanaJF, natumai umzima.
Napenda tujikumbushe kwenye riadha, kwani Watanzania wengi tumepuuzia huu mchezo na kuwaachia majirani zetu Kenya. Ninapenda tuwekeze pia na hapa, kwa sababu...
kwa wale wachezaji mpira wa miguu mnaojiita wachezaji wa zamani kujifanya mlifanya vizuri kwa lipi.
mlilifikisha wapi taifa lenu sioni na sijasikia kwamba mlifika hata fainali kombe la afcon...
Ajali gari ya Simba UKAWA yapata ajali na kuua..
Habari zilizopatikana hivi punde ni kuwa wale wanachama wa Simba UKAWA wamepata ajali wakiwa wanaelekea Shinyanga. Inasadikika zaidi ya watu...
Mnyama leo anaingia uwanjani akiwa amenyong'onyea sana baada ya kupoteza wanachama wake kadhaa katika ajali ya basi iliyotokea jana jion. wachezaji na viongozi wa simba wanaingia uwanjani wakiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.