Kwenye historia ya Simba kuna mtu aitwaye Abdallah Athuman Kibaden. Akichezea Simba 1971 mpaka 1978 aliiwezesha kubeba ubingwa wa Tanzania mwaka 1973 ambapo kabla ya hapo ubingwa huo ulimilikiwa...
Hahahaha.. This week kuna gazeti la Champion liliandika kichwa cha habari kwamba mtani umekuwa Mcharo.. Hii ni katika jitihada ya Shigongo kuwatoboa mifuko mafukara wa akili Yanga,wakaanza...
LAS VEGAS -- Promoter Bob Arum told Yahoo Sports on Tuesday that Manny Pacquiao has agreed to terms for a May 2 bout with Floyd Mayweather, and that the only thing in the way of the long-awaited...
KUNA baadhi ya maeneo nchini hayana hospitali yoyote na kama zipo basi ni umbali mrefu kutoka yalipo makazi yao. Hayana vituo vya tiba wala wataalamu wa afya. Licha ya jitihada za serikali...
Ni hivi punde kwenye Sports Extra ya Cloudz Fm..kijana anayefahamika kwa jina la Andrew ameaga maisha kwa mshtuko uliotokana na Shaban Kisiga kukosa penati.Tukio hilo limetokea katika Banda la...
Nasema hawana nidhamu kwa sababu baadhi ya wachezaji wa mtibwa walipovishwa medali zao wao waliamua kuzivua mbele ya mgeni rasmi ambaye ni rais wa znz Dr Shein. Punguzeni uhuni ninyi wachezaji wa...
inahuzunisha hizi timu zilizopo jiji lenye utapeli uwongo majungu na lenye mashabiki wasiojua mpira.
na hii ndio inasababisha hata timu ya taifa kuwa kama simba na yanga ila nawaombeni sana...
Picha na Faustine Ruta, Bukoba.
Baada ya malalamiko ya muda mrefu kuhusu uchakavu wa Uwanja wa Kaitaba unaotumiwa na Timu ya Kagera Sugar FC, sasa kilio kimesikika na sasa uwanja huo umeanza...
Jerry Tegete baada ya kusotea benchi kwa muda mrefu sasa ameamua kuja na visingizio vya kusumbuliwa na nyonga eti ndio maana hachezi
asituongopee wafuatiliaji wa soka maana anachofanya ni sawa...
Wakuu habarini za leo? Naombeni msada wa taarifa zinazohusu Mashindano
ya Kombe la Mataifa Huru ya Afrika 2015, hususan Ratiba! Natanguliza
shukrani zangu, na kuwatakieni nyote, wadau, Heri ya...
Leo ndio siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na wapenzi wa mpira wa miguu dunia nzima ambapo ndio siku rasmi ya kumpata mchezaji bora wa Dunia.
Tuzo zitakuwa live Zurich-Switzerland kuanzia saa...
Soka inapelekwa wapi? Sasa kufunga mabao ndiyo suala la hadhi kubwa na si kuzuia mabao yasifungwe, kuunganisha timu na kutoa pasi za mabao. Kukiwa na utaratibu wa kutoa tuzo, mindset zetu...
Kweli Fanya Kazi kama mtumwa uishi Kama mfalme, dah! The King Drogba ndiyo mchezaji pekee duniani mwenye Mjengo wenye thamani kubwa zaidi uliomgharimu paundi mil 14 point kadhaa. Maelezo zaidi.
Wadau wasoka hebu angalieni timu ya wiki kwenye ligi pendwa ya Uingeleza!! Je timu yako imetoa mchezaji hata mmoja?
Tujadili kwa Hoja si kuikandia au kuifagilia tu.
Binafsi naifagilia ingawa...
Simba na Mtibwa Sugar Leo zitacheza Fainali ya Mapinduzi Cup 2015 kwenye Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.
Hii itakuwa mara ya pili kwa Timu hizi kukutana kwenye Mashindano haya kwani walikuwa...
Habar wakuu,
me kwa ufup napenda sana michezo hasa mpira wa miguu npo maeneo ya mkoa wa kigoma, border ya burundi
napendwa kufahamishwa wap naweza kujfnza kozi fupi ya ukocha bila kuadhri...
Wadau, kwa mwenye contact za mmojawapo wa wakuu hapo juu naomba anisaidie. Natanguliza shukrani.
{Niko mkoani, kwa hiyo habari za kwenda ofisini kwao uwe ushauri wa mwisho}.
Nimepata Taarifa Kuwa Timu Zilizoingia Fainali Ya Kombe La Mapinduzi Ni Yanga Na Mtibwa Sugar Mara Baada Ya Yanga Kuibuka Na Ushindi Wa Magoli 7 Kwa Bila Jana Usiku Yakifungwa Na Simon Msuva...
Katika michuano iliyoshirikisha timu kubwa za Simba, Yanga, Azam, Mtibwa na mabingwa watetezi wa Kombe la Mapinduzi KCCA ya Uganda, usingetarajia kuziona timu za Zanzibar zikifurukuta.
Ni kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.