Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Jamani naombeni wana yanga mje kwa wingi mnitoe hofu yangu pengine yakawa ni mawazo mabaya tu ndo mana nataka wanaomfahamu vizuri Maximo waje watupe data sahihi. Naomba kujua baada ya Maximo...
2 Reactions
27 Replies
4K Views
White House petition begun to rename Reagan Airport after Tim Howard U.S...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuanzia Sol Campbel,Kevin Campbel,Fraizer Campbel, Joel Campbell hadi mwanamitindo maarufu Naomi Campbel. Wote ni weusi, kiukweli sijawahi kusikia jina hili kama ubini wa supastaa yoyote mzungu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
AVEVA KUFURU: Rais wa Simba SC, Evans Aveva, ameanza kuonyesha makali kwa vitendo baada ya kulipa mishahara ya wachezaji wote wa timu hiyo na benchi la ufundi! " KAZI imeanza babake ! Wakati...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Hii tabia haijawahi kutokea lakini limekuwa jambo la ajabu kwa mchezaji huyu kuonekana kavaa "Bikini"..
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Soma moja ya vituko vya kombe la dunia kutoka kwa mwnaume huyu wa India. Husband's Note for his Wife The Fifa World Cup is going on.. Let me give you a few rules that will preserve your...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Inawezekana ikawa timu pekee iliyobakiza wachezaji wengi kwenye Robo fainali katika Kombe la Dunia linaloendelea huko Brazil - Hii ni faraja kubwa na Club ya Chelsea, wapenzi na mashabiki kote...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Russia 2018 World Cup In this handout artists impression provided by the Russia 2018 Organizing Commitee, the Kaliningrad Stadium is shown as proposed and presented as part of the Russia 2018...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Msimu mpya unakaribia Kuanza,mchezaji anayefikiria kuhujumu timu Kama msimu uliopita ni bora aondoke zake mapema.hatuwezi kuvumilia kumfunga Simba goli tatu na zikarudi zote kipindi cha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wachezaji wa Ujerumani waugua mafua Wachezaji saba wa Ujerumani, wanaugua mafua , saa 24 kabla ya mechi yao ya robo fainali dhidi ya Ufaransa. Kocha Joachim Low anasema kuwa wengi wanaumwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa kile kinachoonekana gazeti la mwanaspoti kuongeza matoleo katika wiki na kua mara 4 kwa wiki, kitendo hicho kimezua hasira kwa mwandishi nguli na mhariri wa championi bw salehe ally ambaye...
0 Reactions
47 Replies
13K Views
Japo sijachelewa sana na wala pia sijawahi lakini ushauri huu wanaweza wakauchukua na kuutumia hata wakati ujao, kwa maoni yangu ya kuongeza ubunifu zaidi na mbwembwe na muonekano murua kabisa wa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa mnaofatilia kombe la dunia mtakuwa mnajua nini waholanzi wanakifanya chini ya kocha wake mahiri Van gaal, chini ya nahodha wake makini Van Perse, kwa mnaoweza kuunganisha dots mtajikuta...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
An amateur soccer referee who was punched in the head while refereeing an adult-league soccer match on Sunday has died. John Bieniewicz was refereeing an amateur match at a park in the Detroit...
0 Reactions
1 Replies
780 Views
Reality show kubwa zaidi Afrika iko karibuni na wakenya wameanza kutoa mawazo nani anayeonekana bora kwa mashindano hayo. Mwaka jana Kenya iliwakilishwa na Huddah Monroe na Annabel Mbaru ambayo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
:flame::flame::A S-eek:The most shocking world cup news ever in its history.....IT'S JUST SHOCKING
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cameroon are to investigate claims that seven of their players were involved in match-fixing at the World Cup, the country's football federation Fecafoot said on Monday. Fecafoot said it had...
0 Reactions
2 Replies
822 Views
Napenda kujua FIFA wanatumia vigezo gani kuchagua idadi ya timu kwa kila bara! Ukiangalia Africa kuna nchi zaidi ya 50 ila zinachaguliwa timu tano! Ulaya sina uhakika na idadi yao ila...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
Quarter final Brazil vs Colombia Winner brazil Netherland vs costarica Winner Netherland France vs Germany Winner germany Argentina vs USA Winner Argentina Semi final Brazil vs Germany...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa yeyote anayejua wanapoinstal FIFA14 kariakoo anijuze.. Nimeliona limenivutia
0 Reactions
0 Replies
832 Views
Back
Top Bottom