How to Watch the World Cup Like a True Soccer NerdUnderstanding the brainy side of the beautiful game
BY MIKE L. GOODMAN ON JUNE 6, 2014PRINT
There is a point of view among some soccer fans that...
ikiwa ni round ya mtowano ikizidi kutimua vumbi katika fainali za 20 za kombe la dunia uko brazil shirikisho la mchezo uwo fifa limeonyesha mashaka kuhusu matumizi ya fedha zake ambazo huzitoa...
USAJILI: Beki wa Southampton Luke Shaw amesaini mkataba wa miaka minne kuitumikia Manchester United atakuwa akilipwa pauni 100,000 kwa wiki( milioni 230).
===
Manchester United have confirmed...
Maximo hatimaye amesaini mkataba mnono wa kuifundisha Yanga kwa miaka miwili. Hongera sana Maximo,
binafsi nakutambua vyema na una NIDHAMU kubwa sana ya mpira ambayo wachezaji wetu wengi hawana...
Who is the Funniest MAN AMONG THESE MEN?
1. A Kitui man who removed his shoes to enter a taxi.....
2. A Meru man who went to the bank with a spanner to open a bank account.
3.Mombasa man who...
Nimeangalia michezo hii na hususani huu mchezo ulioisha hivi punde kati ya Greece na Ivory Cost na hiki kilichofanyika ambacho kimejionyesha wazi kwa kugawa Penalt kwa mtu kuchimba chini yeye...
Mahakama Kuu Dar leo yatupilia mbali ombi la wanachama 3 wa Simba SC la kuzuia uchaguzi mkuu wa klabu hiyo. Wawili wazimia kwa mshtuko.
Chanzo:mwananchi
Kesi yakuzuia uchaguzi wa Simba inaendelea mahakamani muda huu, endelea kufuatana nasi na uwe wa kwanza kuhabarika na kesi hii inayosubiriwa kwa hamu na wanamichezo Tanzania
NDUMBARO AENDA KUMSHITAKI WAMBURA: Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba, Damas Ndumbaro, amepanda ndege kwenda Fifa kumshitaki Michael Wambura!
Luis Suarez was on Thursday handed a four-month ban from all football-related activity after being found guilty of biting Italy defender Giorgio Chiellini in Tuesday's World Cup clash in Natal...
KOCHA JKT RUVU AWAITA CHUJI, LUHENDE: Kocha wa JKT Ruvu, Fred Felix Minziro amewaita kiungo mkabaji, Athumani Idd na David Luhuende kwenye kikosi chake.
Hayawi hayawi...hatimayee leo yamekuwa , mida hii Marcio MAXIMO kawasili hapa Mwl.Nyerere Int. Airport (JNIA) kuitumikia klabu ya YANGA kwa mkataba wa miaka miwili.
Kaka ama unatumuka au hujui nini maana ya kuwa mwandishi wa habari, Katika watu walio enda mahakamani wote wamejiandika majina yao na kadi namba zao, je umeliona ama umesikia kesi waliyo pelaka...
LeBron James Reportedly Opts to Become Free Agent: Latest Details, Reaction
As a free agent, LeBron can put pressure on Heat ownership to commit to spending more to build roster. Opting in, he...
Putin bwana! Baada ya Russia kutolewa kwenye michuano ya world cup pale Brazil kwa kupitia sheria za FIFA, Rais Putin amepinga na amesema atatumia jeshi kuhakikisha Russia inabaki mashindanoni.
WACHEZAJI 11 waliochezea Yanga msimu uliopita wameondolewa kwenye kikosi cha timu hiyo siku moja kabla ya ujio wa Mbrazil Marcio Maximo.
Yanga inatarajia kumtangaza rasmi Maximo anayetua nchini...
A Norwegian football fan has scooped a cool £500 after betting on Luis Suarez to bite somebody at the World Cup in Brazil.
Suarez has twice been spotted biting opponents in recent years, so the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.