Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
No reason for TFF liquidity problems By Editor 30th June 2014 Of late the Tanzania Football Federation has been reported to be hanging by deep financial cliff whose reason...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kocha wa Timu ya Taifa ya Nigeria Steven Keshi ametangaza kujiuzulu kuifundisha timu hyo kufuatia kufungwa na Ufaransa na kuondolewa kwenye kombe la dunia. Pia nahodha wa Timu hyo Joseph Yobo...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Baada ya timu za Afrika kutolewa Kombe la Dunia sasa bila shaka tutagawana timu za kushangilia! Wewe mwenzangu yako ipi?
0 Reactions
0 Replies
921 Views
Ivory coast ilipokua katika peak ilikua inapangwa katika makundi magumu sana world cup, the same happened to Ghana ambayo nayo imekuwa ikipangiwa makundi magumu sana tangia imekua katika peak...
2 Reactions
29 Replies
3K Views
Wawakilishi waliosalia katika world cup Algeria nao wameaga usiku huu kwa kufungwa 2-1 na Germany. Japo wamejitahidi ukizingatia wamefungwa katika dakika 30 za nyongeza. Hii inahitimisha...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Baada ya kubanwa na barcelona ili waingie nae mkataba ameamua kukili na kumuomba msamaha jamaa. hii ni tweet ambayo alimtumia chiellini. Source: www.dailymail.co.uk
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Forget his claims that he would be around to help his country qualify for, and play at, the next World Cup (he probably said so partly in jest, partly to spite Jose Mourinho); Samuel Eto'o's...
0 Reactions
0 Replies
915 Views
Baada ya kuondolewa timu karibu zote za Afrika huku tukisubiri Waalgeria nao wapigwe kibuti Waafrika tumepata stahili?
0 Reactions
1 Replies
939 Views
AZAM FC imelazimika kwenda kumfanyia matibabu ya nyama za paja kiungo Frank Domayo iliyemsajili miezi miwili iliyopita kutoka Yanga SC ya Dar es Salaam. Domayo amekuwa akicheza na majeruhi...
2 Reactions
11 Replies
4K Views
Wapendwa wanasport,najua mtanirushia mawe kuwa sina uzalendo,lakini hivo ndivo ninavotamani,Nigeria wafungwe hata goli mia bila majibu! Nimesikitishwa na kitendo chao cha kugomea kufanya mazoezi...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Admirable! Greece players ask for World Cup bonuses to be used to build new training centre Tunatumaini Cameroon, Ghana na Nigeria wamesikia wenzao wa Greece wanavyozipenda nchi zao... Greece...
0 Reactions
5 Replies
955 Views
kiungo mbrazil wa Yanga amewasili tayari habari zaidi zitafuatia
1 Reactions
41 Replies
7K Views
Wadau wa michezo, baada ya kukuru-kakara za kila aina za kugombania madaraka kwa njia zote. Hatimaye leo J2 uchaguzi wa Simba SC unafanyika. Twaomba mtujuze kinachoendelea
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Katika uchaguzi huo matokeo ya awali yalikuwa yakionyesha kuwa, Evans Elieza Aveva, alikuwa akiongoza kwa kujizolea jumla ya kura 1452 kati ya 1845 zilizopigwa na kutoa matumaini kwa wapiga...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kocha wa timu ya taifa ya Algeria ambayo inashiriki kombe la dunia nchini Brazil, Vahid Halilhodzic amekataa kufichua idadi ya wachezaji wake ambao wanafunga mfungo wa Ramadhan kabla ya mechi yake...
0 Reactions
0 Replies
947 Views
Ndugu mwans jf kauli hiyo ya kaburu unaitafsiri vp??? Huko nyuma ndugu kaburu amekuwa akishutumiwa kupaanga matokeo kwa kuwahonga wachezaji wa timu pinzani ili wafungishe...sasa nikiangalia...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Any fan? Marc Marquez has been overwhelming in this season. Got his 8th win in a row on Saturday at Iveco Daily TT Assen circuit. He's doing what VR46 used to do in late 90's and early 2000s...
0 Reactions
0 Replies
648 Views
Uchaguzi wa Simba S.C leo hii WANACHAMA hawakwenda kuchagua viongozi bali walikwenda KUTEUA VIONGOZI. NINA SABABU KUBWA KUSEMA MANENO HAYO. Uchaguzi ulikuwa umevurugika hali iliyopelekea Mzee...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamal Malinzi heshima kwako mkuu. Natatizwa sana na muongozo wa FIFA wa kukataza masuala ya soka (sio michezo) kupelekwa mahakamani. Mie naunga mkono FIFA kwa hilo kwa maana kuwa kama timu inaona...
0 Reactions
32 Replies
6K Views
SACRAMENTO, Calif. (AP) – Alysia Montano will have a heck of a story to tell her first child. Thirty-four weeks pregnant, Montano ran the 800 meters Thursday in the U.S. Track and Field...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom