Nashangaa sana huyu mchambuzi wa mpira kutokuwa TBC2 ambao ndio wenye haki ya kurusha kombe la dunia? yeye namuona channel ten katika kipindi kipya wakati channel ten hawana haki ya kurusha kombe...
Top 10 Songs of the year...so far:
10. Wyre Nakupenda Pia (feat. Alaine)
First he had Cecile on his song, and now Alaine! This has to go down as the most enviable collaborations of the...
LUGAZIYA ANA HOJA JUU YA KURUDISHWA KWA WAMBURA, LAKINI WANACHAMA WA SIMBA NA VIONGOZI WAO WATAJILAUMU KWA UZEMBEKitaifa, Makala
Mwenyekiti wa kamati ya Rufani ya TFF, Wakili Julius Mutabazi...
Rais wa Kenya ameingia mifukoni mwake na kugharimia safari ya wachezaj wa kwanza kwenda nchin Brazil kutazama michuano hiyo ili wajifunze mbinu mbal mbal za mchezo huo.
Jambo hili linategemea...
Michael Jordan is now a billionaire.
In February, my colleague and the Dean of athlete earnings, Kurt Badenhausen, pegged Jordans annual earnings at $90 million and his net worth at $750...
Naomba mnijuze kama kuna channel AZAM TV itaonyesha mpira, au ndio tujiaandae kununua ving'amuzi vya Star Times.
===========================================================
Kutoka Ukurasa wa...
Hivi ndugu yangu wewe unashabikia timu gani? Au nibadilishe Swali kwa nini unashabikia nchi uanyoishabikia? Labda niulize kwa ndani Zaidi, hiyo nchi unayoishabikia inakusaidia nini? Inawezekana...
World Cup 2014: Cristiano Ronaldo makes Portugal sweat after limping off
Concern grows after Real Madrid forward cuts short training
Tendinitis in left knee thought to be cause of his...
Mambo yanaendelea kuiva taratibu tayari kuelekea Brazil from 12 June to 13 July 2014. Hiyo itakuwa mara ya pili kwa Brazil kuandaa Fainali za Kombe la Dunia. Jumla ya nchi 32 zitashiriki. Jumla ya...
WORLD CUP RULES AND REGULATIONS
Dear Wifey,
1. Between 12 June and 12 July 2014, you should read the sports section of the newspaper so that you are aware of what is going on regarding the...
HAYA NDIO YA TBC1 TELEVISION YA TAIFA INAYO ENDESHWA KWA KODI ZA WANANCHI.
Dar es Salaam. Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Utangazaji (TBC), Clement Mshana amesema kuwa wameamua kuonyesha mechi...
Wana jamvi ktk siku Tatu zilizopita tumeshuhudia wanachama Wa Yanga na Simba wakilumbana juu ya nani awekiongozi Wa timu hizi.Kutokana na ushahidi tuliokwisha ushuhudia kwa timu kuongozwa na...
Kocha Mbrazil Marcio Maximo anatarajiwa kutua ktk klabu ya yanga na kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo wakati wowote kuanzia sasa...watu wanaonekana kumkubali sana huyu mbrazil kwa kipindi alipokuwa...
Kitu pekee tushichokitarajia tena msimu ujao pale Old Traford ni yalotufika msimu uliopita, Man U tumechoka na ile hali.
Kocha wetu mpya naona na yeye kaja na kamchezo ka Wenger, anaorodhesha tu...
Hivi kwa nini "sure boy"hayupo kwenye Timu ya Taifa?nimeshangazwa na kuachwa kwa Sure boy ,nionavyo Mimi ni mmoja wa holding midfielders wazuri sana kwenye ukanda wetu.wadau wa soka mbona...
5 DAYS AGO
Road trip to Dar es Salaam
At 1,000 kilometres apart, it sure is a long way from Nairobi to Dar es Salaam.
The Dar es Salaam skyline as seen from the from harbour from where ferries...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.