Breaking news! Michael Richard Wambura aondolewa kwenye uchaguzi wa Simba.
stay tuned for more updates!
---------------------
Sababu ni kwamba alishawahi kuvuliwa uana chama na klabu hiyo na...
Akizungumza na clouds fm makamu mwenyekiti wa simba amesema kila mwanachama wa simba mwenye mundu panga shoka jembe ajitokeze kwenda kushirikiana katika ujenz wa uwanja huo kama walivyo wahi...
Ni jambo jema kwa timu ya Ligi Kuu, tena isiyo na chembe ya ubaabishaji kuingia mkataba mnono wa udhamini na kampuni kubwa kama Binslum. Hakika kila mdau wa soka amefurahishwa (au amebarikiwa...
Ndugu wanaJF,
Rais aliyependa michezo kwa dhati hapa Tanganyikai alikuwa ni Mwalimu Nyerere. Enzi zake aliruhusu mashirika ya umma yawe na timu za mpira,mfano wa mashirika hayo ni timu ya mpira...
Unakumbuka hili goli la Bebeto? Alishangilia kwa ajili ya Mtoto wake aliyekuwa ndiyo kazaliwa.
Leo hii, Dogo kawa Baba mzima. Kweli miaka inakwenda, lohhh.....
Mganga wa Jadi raia wa Ghana, amedai kwamba anahusika kikamilifu
kwa jeraha la nahodha wa Portugal, Cristiano Ronaldo linalotishia
ushiriki wake kwenye Kombe la Dunia.
Portugal wapo kundi moja...
Wakuu
Nachokoza tu hapa (rhetorically) maana naona huu mjadala ulianza kushika kasi tangu mechi ya fainali ya ATL na Real Madrid na jana imejitokeza katika mehi ya Starz na Zim zilipoongezwa dk 7...
Wachezaji wa timu ya Panone fc ya mkoani Kilimanjaro wakishangilia baada ya kuifunga tmu ya Town Small Boys na kufanikiwa kutinga ligi daraja la kwanza
Official: Kocha mpya wa Yanga ni Marcio Maximo - Yusuph Manji kathibitisha, ngoja tusubiri tuone huyu kocha aliyekosa timu ya kufundisha kwa takribani miaka kadhaa ataleta lipi jipya!
source...
Makala hii ilichapishwa katika Mwananchi, Jumatatu 2 Juni 2014...
Michezo ya Jumuia ya Madola inatarajia kuanza mwezi Julai mwaka huu huko Glasgow, Uskochi. Tanzania nasi tutashiriki michuano...
....Kampuni ya Binslum Tyres Co. Ltd....chini ya Mkurugenzi wake, Nassor Binslum.....imeingia mkataba wa miaka miwili wa shilingi 360 milioni na klabu ya Mbeya City ya jijini Mbeya....Katika...
Source: LA Times
Donald Sterling has agreed to go along with the $2-billion sale of the Clippers negotiated by his wife, Shelly, in an agreement that will also lead the NBA to drop its...
Kwa jinsi hali inavyoendelea na msukumo wa vyombo vya habari vya kimagharibi, Qatar inaweza kunyang'anywa hati ya kuandaa kombe la dunia 2022 na kupewa Marekani.
Sidhani kama ni fair ikiwa...
A fodder for the haters here.
Lupita's reign of victory is far from over. She has been named People Magazine's most beautiful person 2014! The Oscar winner was awarded the prestigious honor on...
Wanajamvi..
Kwa muda mrefu imekuwa nikitafakar tatizo has la timu yetu ya taifa kushindwa kufanya vzr ktk mechi zake mbalimbal,
nikagundua makocha tulionao sio wazur kwenye kutafuta...
Haya ni maneno yaliyosemwa na Damas Ndumbaro Mwenyekiti wa Kamati ya
Uchaguzi wa Simba. Akimaanisha kama unataka/unatarajia kugombea uongozi/nafasi
yeyote usiipeleke clabu yako au chama cha mpira...
Ilikuwa miaka ya 80, enzi hizo vijana, nilifunga jiwe nikatengeneza kama mpira, juu nikashona vizuri ile mipira ya madaso, ndani nimeweka jiwe tena kubwa, nikamwambia nakurushia mpira huo, jamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.