Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Kazi kubwa inayofanywa vizuri zaidi na uongozi mpya wa shirikisho la soka nchini mpaka sasa inaelekea kuwa ni kufuta yale yote yaliyofanywa na uongozi wa awamu ya kwanza ya TFF ya rais aliyepita...
3 Reactions
70 Replies
16K Views
Wanajamvi juzi kati nilikuwa nipo naperuzi tu net nikaona picha ya jezi mpya ya taifa stars yenye logo ya Adidas tofauti na ile ya Uhlsport. Tafadhari mwenye picha ya hiyo jezi ikionekana vizuri...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
SUAREZ AUMIA GOTI Mshambuliaji wa Uruguay Luis Suarez ameumia goti akiwa mazoezini na ushiriki wake kwenye Kombe la Dunia uko mashakani. Striker huyo wa Liverpool atafanyiwa upasuaji mdogo leo...
0 Reactions
39 Replies
2K Views
IMAGINE NIKO NACHEKI GEMU YA FINALI YA FA CUP, HALAFU NDANI YA DK 10 ARSENO ISHAPIGWA MBILI, NINA PRESURE NA HASIRA, KISHA...... Wife: Leo bora usingeangalia maana mtafungwa nyingi. Me: Ah...
0 Reactions
3 Replies
969 Views
KUTOKANA NA WENYEJI WAKOMBE LA DUNIA 2014 BRAZIL,,WAMEPENDEZA JINA LA MPIRA UTAKAO TUMIKA KATIKA KOMBE LA DUNIA INCHINI BRAZIL KUITWA BRAZUCA - used by Brazilians to describe national pride in the...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Mm ni kjana wa umri wa miaka 22 nina tafuta timuvya kuchezea yenye malengo pia yenye wachezaji wazur mm nina uwezo wa kucheza winga au midi filda plz naombeni mnisaidie wana jamvi
0 Reactions
38 Replies
11K Views
Jamani tupeane habari lipi linaendelea katika Club yetu pendwa ya Simba, kuanzia nani unampa ushindi wa makisio na kwa sababu ipi? Tafadhali sitaki kusikia uchulo wa mpinzaninyoyote kuanzia...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hii swala limenishangaza, watu walishabikia wakijua jamaa atasajiliwa kumbe alienda kufanya tangazo la Utalii, Ni kwenye ile mechi ya Man Utd v Seatle,,source Bin Zubeir
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ujumbe wa watangazaji 24 wa TBC utaondoka wiki ijayo kuelekea Brazili kwa ajili ya kurusha hewani maashindano ya Kombe la soka la Dunia
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Mgombea wa nafasi ya Rais ya Klabu ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam,Michael Wambura amewekewa pingamizi dhidi ya ugombea wake.Pingamizi hilo limewekwa na aliyewahi kuwa Naibu Katibu Mkuu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kenya kuchuana dhidi ya Inter Milan Kenya kuchuana dhidi ya Inter Milan Nairobi Kwa mara ya kwanza klabu mashuhuri duniani Inter Milan ya Italia inazuru bara la Afrika. Inter inatarajiwa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
MWENYEKITI wa Friends Of Simba (F.O.S.), Zacharia Hans Poppe amewaambia wanachama wa Simba SC wahakikishe wanachagua viongozi wazuri katika uchaguzi wa klabu hiyo Juni 29, mwaka huu, vinginevyo...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Hakika mimi sio mgeni na wala sio mwenyeji sana humu jamvini ila leo nimeamua kutoka vichakani kueleza kero yangu. Kuna kitu nimegundua kuna thread nyingi ambazo ni kama sticky kwa ajili ya timu...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Manchester United leo imemtangaza Mholanzi Van Gaal Kuwa Kocha wao mpya. Van Gaal Amesaini mkataba wa kuifundisha Man Utd Kwa Miaka 3. Ataanza kazi mara baada ya kumalizika kwa kombe la Dunia...
2 Reactions
52 Replies
4K Views
Nilikuwa naperuzi CNN leo kwenye michezo nikakutana na hii habari ya "Tanzanias forgotten marathon runne Tanzania's most decorated Olympian Running champion chases eduction dream Dar es...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Rais wa Bolivia Ivo Morales, amesajiliwa na club ya daraja la kwanza kuchezea klabu hiyo. Kwa mujibu wa bbc dira ya dunia, Morales mwenye maiaka 52 atakuwa akicheza kwa dk 20 na kulipwa zaidi ya...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Baada ya timu barcelona kutofanya vizuri la liga, champions league na kukosa kikombe msimu huu kocha wa barcelona ameamua kuresign. Source: supersport
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Shomari Kapombe beki wa kushoto wa zamani wa simba ya Dar amepangwa leo kwenye mechi ya stars na Zimbabwe. Kitaalam naamini kocha mpya wwa stars amechemsha sana kwani kapombe takribani mwaka...
3 Reactions
39 Replies
6K Views
Najiuliza sana kuhusu hizi tiketi na mapato kiduchu katika mechi zetu, Mfano hai ni mechi ya juzi na wengine walidiriki hata kussitaki kusema TFF ijichunguze katika hilihusha bei iliyopangwa ili...
0 Reactions
0 Replies
736 Views
Ninakuja na mada kali sana hapa, can you guess?
0 Reactions
0 Replies
901 Views
Back
Top Bottom