Kwanza tuwapongeze wachezaji , viongozi na benchi lote la ufundi , na mashabiki wote wa city ambao mnatuwakilisha mashabiki wenzenu tuliopo Mbeya.
Niseme tu kwa mechi hz mbili mbeya city mmefanya...
MOYES SIO KOCHA SAHIHI WA MAN UNITED
by Mndengereko
Kwanza ni declare interest mimi ni shabiki wa man u na haya ninayoongea hapa ni kwa mtizamo wangu sio lazima ufanane na wa kila mtu...
The top four sides in the Premier League will fight it out against each other in two mouthwatering clashes.
"No problem - if you want to be the best, you have to play the best," said Chelsea...
Niliona jana kipindi kimoja cha michezo kinachorushwa na ITV mzee mmoja akidai club hii ni mali yake bahati mbaya sikuona mwanzo wa mahojiano ulikuwaje!Hii imekaaje huyu mzee kudai Yanga ni mali...
Cranes striker Emmanuel Okwis saga has taken a new twist as FIFA, the international football governing body has given his former club Etoile du Sahel of Tunisia an ultimatum to declare whether...
Wakati usajili wa Emmanuel Okwi Yanga ukizuiwa na Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF), Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) limeitaka klabu ya Etoile du Sahel (ESS) ya Tunisia kuhakikisha...
King of rap a.k.a the Prezident Prezzo ameendelea kutisha haswa baada ya kujinunulia gari jipya la mamilioni aina ya Crystler.
Tukio lake la mwisho ni pale alipokuwa akishoot video yake mpya...
Habari za leo wanamichezo wenzangu...
Leo naomba nije na kisa hiki cha kusikitisha kuhusu mchezo niupendao sana, mpira wa kikapu..
...kuna kocha mmarekani alijitolea kuja Tanzania kwa ajili ya...
Hatimae mchezaji nambali wani wa Tennis kwa wanaume Rafael Nadal anapambana na kinda Stanslas Wawrinka ambaye ni namba nane kwa rank za tennis. Mda ni sa 7:30pm (Sydney time) au sa 11:30 am (East...
Kenya's Lupita Nyong'o has been nominated for best supporting actress title in the movie 12 Years A Slave.
On Thursday, the movie was also nominated for Best Director, Best Adapted Screenplay and...
Haya wadau wa kabumbu,heshima kwenu,leo kama kawa mabingwa watetezi YANGA wanashuka dimbani uwanja wa taifa kukipiga na watoto wa jiji ASHANT UNITED. Nani zaidi leo.je wazee wa uturuki wataendelea...
Wenger anahisi uhamisho wa Mata kwenda ManU una walakini hasa ukizingatia Chelsea tayari amecheza mechi mbili na ManU.. Morinho amesema transfer jambo la kawaida tu. BBC Sport - Juan Mata: Wenger...
Barcelona president Sandro Rosell said he had resigned in the aftermath of a Spanish court's decision to investigate last year's signing of Brazil forward Neymar
"The success the club has had...
Jina la mchezaji Emmanuel Okwi kutoka Uganda halijaorodheshwa katika majina watakaoichezea klabu ya Yanga kwenye mzunguko wa ligi kuu ya Tanzania bara mzunguko wa pili.hii ni kutokana na sakata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.