Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Kwa mwendo huu wa Mnyama ni wazi Ndoo la Mapinduzi linaelekea kutua Msimbazi! Na hiki ndicho kilichowaogopesha Yanga na kuchagua option pekee ni kukwepa janga lingine linaloweza kutokea ndani ya...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Ckuwa na redio karibu wala tv
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Sikumbuki Mwaka labda Baadhi ya Wachezaji na hicho kitoto nadhani ni cha Marehemu Gulamali kama Sikosei oi Bukta kama Chupi.... lol Cheupe Kule Kushoto ni Kenneth Mkapa Wachezaji wa Zamani...
2 Reactions
31 Replies
7K Views
Tujuzeni kinacho endelea jamani.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
simba itatisha ligi kuu mzunguko wa pili
0 Reactions
1 Replies
917 Views
Nini unafikiri ni dawa mahususi kwa chama letu Man U mpaka sasa maana du tunafulia hadi noma!?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa sasa hakuna partnership kama ya SUAREZ na STURIDGE cause 1.Suarez m:16g:22 2.Sturidge m:13g:10,haya wadau tiririken
0 Reactions
0 Replies
846 Views
LIST OF REFEREES FOR CHAN 2014 SOUTH AFRICA NO REFEREES COUNTRY 1 SIKAZWE JANNY ZAMBIA 2...
0 Reactions
1 Replies
883 Views
Jaman nipo hapa naangalia mechi ngumu na tamu kati ya newcastle na man city,supersport commentators wameshindwa kuwafikiana kulingana na sheria flan inayowiana na that incidence kurekebishwa 2012...
0 Reactions
6 Replies
979 Views
Kumekuwa na mkanganyiko juu ya ligi ipo bora.By fifa president "La liga is the best league",mdau zamu yako by evidence.
0 Reactions
1 Replies
804 Views
Hivi Dr Mwakyembe ulikuwepo airport wakat Yanga inaenda Uturuk?kwa nin hukupenda kwenda kuwaaga wachezaji wetu? Nimekumbuka mbal sana miaka ile pia akina A. Gulamal wakisafirisha team kwenda nchi...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Young Africans imeanza vizuri katika kambi yake ya mafunzo nchini Uturuki baada ya kuifunga timu ya Ankara Sekerspor kwa mabao 3-0 katika mchezo wa kirafiki uliofanyika pembeni kidogo ya eneo...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Cristiano Ronaldo, Ribery na Lionel Messi ndio wamebaki katika list ya wachezaji 23 waliokuwa wamechaguliwa kugombea. Mchezaji bora atatangazwa 13 Jan 2014. Utabiri wangu ni Cristiano Ronaldo...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Vp matokeo ya simba na kcc
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Katika mashindano ya Mapinduzi Cup ya mwaka huu nimeshangazwa na timu ngeni za Spice na Clove United. Haya ni majina ya timu kombaini ya visiwa vya Unguja na Pemba kila kimoja, je ZFA wangeziita...
0 Reactions
2 Replies
885 Views
Maoni yenu wana ANFIELD kuhusu mechi ya leo.Top 4 ipo kweli?
0 Reactions
5 Replies
946 Views
Je ziara ya uturuki itawasaidia YANGA SC kwenye VPL na CCL?
0 Reactions
0 Replies
851 Views
Chek super sport
1 Reactions
1 Replies
699 Views
Wana JF! Taarifa nilizozipata hivi punde kutoka kwa mtoto wa Boniface Njohole ni kuwa Boni amefariki leo kutokana na maradhi ya figo. Marehemu alikuwa Moshi kwa matibabu kabla ya kurudishwa kwao...
1 Reactions
34 Replies
7K Views
Who is best?
0 Reactions
0 Replies
533 Views
Back
Top Bottom