Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Vipi kuhusu MAN CITY watatoka kwa BARCA
0 Reactions
7 Replies
1K Views
The line-up: Lindah de Gea Patricia Evra Joyce Evans Christine Smalling Norah Vidic Rose Ferdinand Felista Jones Trizah Cleverly Dorcas Fletcher Michelle Carrick Antonio Valerie Ashley...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
WATU WANGU WA NGUVU TUPIENI MAWILI MATATU HAPA KUTOKA KATIKA CHAMA LETU BARCA 1 MECHI KATI YA ATHLETICO VS BARCA TATA AMEBUGI KUTOWACHEZEZSHA MESSI NA NEYMAR KIPINDI CHA KWANZA 2 HEBU WEKA LINE...
0 Reactions
1 Replies
691 Views
HADHI YA ERNIE BRANDTS , SHOKA LA MANJI NA SARAKASI ZA SOKA LETU Hatimaye na kocha Ernie Brandts naye ameonekana hafai, mzigo kwa klabu kubwa nchini. Kama ilivyo wengi waliomtangulia naye...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
1)Yanga wamejitoa sababu hawakuwa na benchi la ufundi ni sawa, lakini ukifuatilia walifukuza benchi la ufundi bado siku moja mashindano yanaanza. sio hoja. 2)Simba wameenda Zanzibar na kocha...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
. "Hivi karibuni niliteuliwa na Mwenyekiti wa Klabu ya Simba Mhe Ismail Aden Rage kuwa mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba.Wanachama na wapenzi wengi wa Simba kutoka sehemu mbali nje na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Barcelona president Sandro Rosell could find himself in court after a criminal case investigating the signing of Neymar from Santos in the summer revealed the Brazilian's contract may be fake...
0 Reactions
1 Replies
723 Views
Barack Obama – West Ham United Hillary Clinton – Manchester United Nelson Mandela – Manchester United... Kobe Bryant – Ac Milan Steve Nash – Tottenham Hotspur Kevin Garnett – Chelsea Rafael...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wa ndugu naomba kujuzwa zaidi ya azam tv chanel gani nyingine huonesha haya mashindano ukizingatia leo ndo nusu fainali zinaanza
1 Reactions
109 Replies
17K Views
Mnyama apania kulibakisha kombe nyumbani, pole kwa azam kwa kupata kichapo, mnyama kukipiga fainali na kcc
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Vipi mashabiki, mambo, habari za leo, ni Siku nyingine murwa kabisa , natumai kila mmoja ni bukheri wa afya......Hivi nimesikia fununu na hata baadhi ya vyombo vya habari vikisema kuwa Manchester...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Jamani vipi Mnyama huko Matokeo mpaka mda huu?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Closed
Baada ya kumkosa Theo kwa msimu mzima, Babu kaamua kusajili jembe jipya!!
0 Reactions
9 Replies
1K Views
dogo kweli yupo poa na anaweza maana jana karudi na katupia 2. nampa big up.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Kibongobongo hali ilivyo sasa, Manchester ni sawa na CHADEMA, hizi timu nyingine Man City, Chelsea, Arsenal na Liverpool kwa kibongobongo ni CCM, NCCR,CUF na TLP. Kwa hiyo mambo yaendavyo sasa...
0 Reactions
5 Replies
923 Views
wakati mechi ya simba na yanga ikiendelea washabikiw a simba walikuwa wkaiwaita CCM mizigo,na baada ya mechii watu walikuwa kaipigiana simu na kusema wamewawajibisha mizogo kabla haijawawajibika ...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Tunaombeni matokeo wadau mchezo unaochezwa usiku huu kati ya wekundu wa msimbazi simba na kmkm hapo uwanja wa amani
0 Reactions
26 Replies
7K Views
KEVIN McBride alikuwa bondia wa mwisho kupigana na Mike Tyson katika zama zake za ngumi. Alishinda kirahisi. Kumpiga Tyson halisi ilikuwa ni sawa na kukipiga kifo. Lakini McBride hana chochote cha...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Mabingwa wa kihistoria wa soka Tanzania Dar young Africa usiku wa kuamkia kesho tar09.01.2014(03.15am)watakua ndani ya ndege ya shirika la ndege la TURKISH AIR kwa ajiri ya kuelekea Uturuki kwa...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa wapenzi wote wa man u jana usiku ilikuwa ni kilio na kusaga meno baada ya kupokea kipigo cha mbwa mwizi toka sunderland, poleni watani ndio soka
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom