Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Dar es Salaam: Bia ya Kilimanjaro Premium Lager imeleta msisimko mpya katika utani wa jadi kati ya mashabiki wa Simba na Yanga nchi nzima kupitia kampeni yake mpya ijulikanayo kama NANI MTANI...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
#‎NaniMtaniJembe‬ Matokeo mpaka kufikia leo saa 6 mchana ni: Yanga SC TZS 93,562,500 Simba SC TZS 6,437,500 Bado siku 4 kufikia tamati ya shindano ya hili ambapo Disemba 21...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Lile sakata la mwenyekiti wa simba na pesa za mchezaji okwi limeendelea na jana nimeipenda kauli ya mh rage kwamba nikoona amani inatoweka simba basi nitaitisha mkutano wachague viongozi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa Mara nyingine tena ile timu ya watoto Au km wajulikanavyo wapotezaji Leo tena watakua uwanjani Etihad kukamirisha ratiba Yao ya upotezaji chini ya Kiongozi wao Wa uchumi! Mashabiki Wa Watoto...
2 Reactions
193 Replies
14K Views
mwenyekiti wa simba Ismaili Aden rage anadai wanao mtuhumu kama amechukua fedha za mauzo ya okw wapeleke ushahid,kama ikidhibitika ni kweli anajiuzuru ubunge. Mm binafsi naona hapo amepepesa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
FC Barcelona and Manchester City, statistics overview Fotomuntatge entre Navas, Silva, Alexis i Neymar...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Imebainika kuwa Okwi yuko Yanga kwa mkopo kutoka E. Du Sahel na sio kwamba amesaini kandarasi kama mchezaji halali wa Yanga. Inaelezwa kuwa viongozi wa Yanga walimuomba kwa mkopo Okwi then E.Du...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
UEFA....25 Feb 2014 (22:45)- Olympiakos Vs Manchester United ( Karaiskaki Stadium, Athens), 19 March 2014 (22:45)- Manchester United Vs Olympiakos ( Old Trafford).......match ya ligi kati ya...
0 Reactions
0 Replies
596 Views
Hata kama amuoni jamani basi hata picha inayoendelea amwoni kama simba aijamaliziwa deni iweje kaingia yanga na malipo kufanyika sc villa haya mashabiki ongezeni akilizenu kila l kheri
1 Reactions
6 Replies
2K Views
KIPA namba moja wa Tanzania, Ivo Philip Mapunda, usiku huu amesaini Mkataba wa mwaka mmoja na nusu kujiunga na klabu ya Simba SC ya Dar es Salaam, akitokea Gor Mahia ya Kenya. Ivo anasaini...
1 Reactions
41 Replies
13K Views
Baada ya kichapo cha jana Arsenal Six wamepoteza mwelekeo kuongoza ligi. Poleni sana Arsenal.
0 Reactions
1 Replies
675 Views
Ndio! hao ndio waandishi wetu wa mpira bongo!wanaijaza misifa mijitu isiyostahili!Kama tulivyopingwa na Kenya 1 - 0 wakaandika Stars yafa kiume'.Sasa wataripoti 'tumefungwa kishujaa' na Zambia...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Dec 11, 2013 10:37:00 AM The Kenyan Premier League (KPL) champions have made it clear that they will not let the Tanzania custodian leave the club in January transfer window Kenya Premier...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
JF Salaam, Wanachama wa Simba Sports Club (SSC) leo jumatano walisema watakwenda Bungeni Dodoma kumshitaki M/Kiti wao Mh Ismail Aden Rage kwa Spika wa Bunge. Hawa wanachama wamekwenda au bado...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Klabu ya AC Milan jana ilidhihirisha umwamba wake katika soka ya ulaya ( Klabu Bingwa barani humo) baada ya kuwa timu pekee ya Italia kusonga mbele katika hatua ya mtoano wa michuano hiyo.Milan...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ng'ombe hazeeki maini!!kwa sasa kaka na ronaldinho wanafanya vizur kwenye club zao,yote kwa ajili ya kumshawishi scolari waitwe kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Brazil.na big phil alisema kwamba...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Tusker beat Kenyan Premier League champions Gor Mahia 5-3 on penalties to lift the DSTV/SuperSport Cup at Nyayo Stadium on Saturday after both sides had tied 1-1 in regular time. Solomon Nasio...
0 Reactions
0 Replies
820 Views
Patashika ya mashindano ya CECAFA Senior Challege Cup kwa mwaka 2013 inatarajiwa kuanza tarehe 27 ya mwezi Novemba na kumalizika 12 mwezi Desemba. Mashindano ya mwaka huu yanatarajiwa...
4 Reactions
1K Replies
72K Views
Ni kama record fulani hivi ya kuibomoa Yanga kisaikorojia. Baada ya Yanga kumnyakua kipa wa zamani wa Simba Juma K Juma,Simba wao wamewasajiri makipa wawili wa zamani wa Yanga Yaw Berko na Ivo...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Man city hawana utu kabisa.we mwenzako anaongoza ligi hata humtunzii heshima.halaa sio mambo hayo.
0 Reactions
0 Replies
787 Views
Back
Top Bottom