Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
ATU WAZIMIA VIBAYA LEO TAIFA, NI MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA WOTE...ILIKUWA BALAA Home » Unlabelled » WATU WAZIMIA VIBAYA LEO TAIFA, NI MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA WOTE...ILIKUWA BALAA...
1 Reactions
23 Replies
8K Views
Ticket uwanja WA Taifa ni tatizo lisilo na mfano,Nilishindwa kununua. mapema jana so nikaenda mapema kwa lengo la kupata ticket lakini nimeshindwa kabisa kwan kwenye gari ni kuanzia 20,000/ na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kama ndugu yangu wa karibu lazima tuambizane ni wakati wa kujilinda kwa kila jambo..yapo yanaoendelea kuongelewa kuhusu mechi ya kesho ikiwemo utata wa kuwepo na hujuma kadhaa za...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Ndugu zangu mashabiki wa mpira wa miguu ni fahari iliyoje kwa tv ya kwanza kabisa nchini kwa kujizatiti kurusha mpira wa ligi kuu vodacom tanzania, kwa mara ya pili sasa nimekuwa nikishuhudia...
1 Reactions
28 Replies
6K Views
Hoffenheim demand replay after Leverkusen's 'ghost goal' Hoffenheim are set to protest against a freak goal awarded to Bayer Leverkusen when Stefan Kiessling headed the ball through a hole in...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Weekend hii ilikua na vituko sana katika sport watu wamevunja record za ajabu na watu wametoa kali za ajabu hebu angalia Steven Geral juzi alitimiza goli la 100 ndani ya EPL lakin hajawahi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
mechi ya simba na yanga ni kama vile mwindaji (yanga)alikuwa kamkamata kanga au swala porini kitoweo saafi ghafla kaponyoka amemwachia mwindaji manyoya mkononi.huku akimeza mate.duh
0 Reactions
2 Replies
921 Views
......Pamoja na sare ya kishujaa ya Simba sports Club kurudisha magoli matatu katika mechi dhidi ya Yanga kuna kauli ya Kocha Kibadeni kwamba kuna hujuma ya wazi wazi inayofanywa na wajinga...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Lango moja la Goli Limeingiza Jumla ya Mabao 8, wakati Upande ungine Wa Lango La Goli HALIJAINGIA hata Goli Moja... Ambapo Magoli Hayo Ni YANGA 3 na SIMBA 3 Na Timu 'B' za Vijana wa club hzo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kosi la Yanga FC: 1.A.Mustafa 2.Mbuyu Twite aka Eric Gasana. 3.D.Luhende 4.Nadir Cannavaro 5.K.Yondani 6.A.Idd Chuji 7.H.Niyonzima 8.F.Domayo 9.Kavumbagu 10.Tegete 11.M.Ngassa. Mfumo...
5 Reactions
98 Replies
7K Views
aisee jinsi gemu ya jana ilivyo chezwa niliipenda kwa haya mabepali yetu mawili (simba vs yanga) ila kinishangazacho wakuu hawa jamaa nyumbani huwa wanakamiana kishenzi yaani mpaka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiukweli AzamTv wamejitahidi angalau, ukilinganisha na Tv zingine hapa tz. Kwa upande wangu hawa jamaa wamethubutu hasa katika kuchukua picha uwanjani, picture mixing, uwekaji wa sijui niite...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Simba mmeroga, huo ndio ukweli. Manina zenu!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu kuna mechi inaendelea na hii ni dakika ya 4 Brazil na United Arabic Emirates, Sijui wanagombea nini maana inarushwa na TV M*Msumbiji Hivyo lugha inayotumika ni kireno, machache huwa naelewa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Ndio, kama garasa tambwe akiifunga yanga kesho nipewe ban. kila goli moja la tambwe atalofunga, kwangu ni ban ya wiki moja, kama garasa tambwe atafunga goli mbili, nipewe ban ya wiki mbili...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Baada ya kuahidi atachoma nyumba yake akitoka bila goli, Mrisho Ngasa amesalimisha nyumba yake kwa kupachika goli kama alivyoahidi!
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Hayo ni matokeo ya awali mpka usiku wa leo yanasomeka hivyo zimebaki dk 2 kupata matokeo kamili magoli ya yanga yatafungwa 1.mrisho ngasaa dk ya 8 2.hamis kiiza dk ya 42 3.dk ya 67 na...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Simba na Yanga zinakutana kesho katika pambano la watani wa jadi la msimu wa 50 wa ligi ya hadhi ya juu zaidi ya Bara, huku mazingira ya kisoka ndani ya timu hizo mbili yakiwapa mabingwa watetezi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ikiwa inaendelea kufanya vizuri, timu ngrni kwenye ligi ya tanzania mbeya city leo inawakalibisha jkt ruvu kwenye uwanja wake wake wa nyumbani wa sokoine mbeya,. Karibu wote wapenda kandanda
0 Reactions
105 Replies
8K Views
Back
Top Bottom