Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Jana vijana wa Ultrasound waliwatoa ulimi kweli kweli vyura wakongwe bado kidogo watapike nyonga. Baada ya mechi tuliwaona kina Mzee Aucho viungo vyote havifanyi kazi hata kutembea kwenda vyumbani...
7 Reactions
45 Replies
1K Views
Kumekuwa na mgongano wa maslahi binafsi ya wachezaji na maslahi ya kitimu ndio yanasababisha hizi kelele, Wachezaji wanaogopa sana kuanzia benchi au / na kupewa muda kidogo sababu mikataba ikiisha...
6 Reactions
21 Replies
863 Views
Mara baada ya tajiri Mo dewji kupost katika mtandao wa X kuwa Simba itasajili Mshambuliaji mwingine kabla ya dirisha kubwa kumalizika. Habari zimevuja kuwa tayari Simba sc imeinasa mshambuliaji...
6 Reactions
46 Replies
2K Views
Kwa UPUMBAVU niliouona nina uhakika Alama zangu zote 6 naziacha kwa Yanga SC ( nikimaanisha Nakandwa ndani nje ) na Alama zangu 4 ( nikimaanisha Azam watanifunga Mechi moja na nyingine...
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Kwa kweli mmekamilika kweli sio utani, ila yapo mambo yanatufanya tuwe na wasiwasi wazee wa Jangwani. Timu mnayo na mnaonyesha kweli mnataka bao, ile move ya Boka hadi mtu akajifunga sio...
2 Reactions
13 Replies
735 Views
Letsile Tebogo (21) kutoka Botswana amekuwa Mwafrika wa kwanza kushinda medali ya dhahabu mbio za mita 200 kwa wanaume kwenye Michezo ya Olimpiki Agosti 8, 2024. Amefanikiwa kuvunja rekodi ya...
5 Reactions
17 Replies
1K Views
Na baada ya kujua kuwa wana Simba SC wa jamiiforums wanapenda kusikia unafiki basi nae pia amekuwa mnafiki tu.
5 Reactions
37 Replies
901 Views
Aiseh , UnaKuta wadada wamevaa vichupi, nusu sema full uchi . Sijui kwa mantinki ipi wakuu? Soma Pia: Olympic 2024 France: Maonesho ya Ufunguzi yashutumiwa kuonesha viashiria vya ushetani na...
12 Reactions
125 Replies
4K Views
“Napenda kucheza aina hii ya mechi, tumecheza na Simba sasa Azam ni kipimo sahihi kuelekea msimu mpya, tumekuwa na mwendelezo mzuri tokea tumecheza fainali Zanzibar, napocheza na wapinzani wagumu...
4 Reactions
35 Replies
2K Views
Leo aubuhi nimefuatilia shindano la Olympic kule Paris la mbio ndefu ya kilomita 42 na mwanariadha Ndugu Simbu akiwa mshiriki toka Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa kweli matokeo yake hayakuwa...
12 Reactions
73 Replies
3K Views
Ufuatao ni mpango wa ushindi baada ya kuona Watanzania hatuna lengo la kufanya vizuri na tumekuwa wasindikizaji kila olympiki na tumebakia kukumbukia ushindi wa 1980. NADHARIA INAAYOONGOZA: Kwa...
2 Reactions
72 Replies
9K Views
SIAMINI kabisa kama mpango wa Clatous Chota Chama kutoka Simba kwenda Young Africans una baraka za kocha Miguel Gamondi. Naamini hii ni mipango ya siasa zetu za kuoneshana ubabe, kuoneshana uwezo...
8 Reactions
21 Replies
1K Views
FAHAMU THAMANI YA MEDALI ZA MICHEZO YA OLYMPICS 2024 1. Medali ya Dhahabu Thamani: Tshs. Mil 2.56 Uzito: Gramu 529 2. Medali ya Chuma Thamani: Tshs. Mil 1.3 Uzito: Gramu 525 3.Medali ya Shaba...
6 Reactions
61 Replies
2K Views
that's the thread. ⚡⚡BOKA BOLT ⚡⚡ Big signing. He had a slow start in the team. We thought Kibabage would keep the number. He proved us wrong. I had doubted him, not anymore.
9 Reactions
15 Replies
1K Views
Kiukweli inafurahisha sana kuona subs zinafanyika haraka haraka bila kupoteza muda. Niwaombe tu mjitahidi mlete na poda za kuchorea sehemu ya wachezaji kusimama wakati wa fouls na mpira...
2 Reactions
9 Replies
603 Views
Today I just watched the worst match among top teams in Tanzania. Coastal Union can't coordinate 5 passes, and today it's going to CAF. And do what? Singida or KMC could have done a better job...
4 Reactions
11 Replies
644 Views
Beki wa kati na nahodha wa Liverpool, Virgil van Dijk (33) amesema licha ya kuwa mkataba wake umesaliwa na Mwaka mmoja, hajapata mkataba mpya hali ambayo inaonesha dalili kuwa inawezekana maisha...
1 Reactions
1 Replies
480 Views
Ofisa mtendaji wa Azam FC, Abdulkarim Amin 'Popat' alishindwa kuvumilia hadi dakika ya mwisho ya mchezo wa fainali Ngao ya Jamii, na badala yake aliamua kuondoka uwanjani. Soma Pia: Full Time...
7 Reactions
12 Replies
2K Views
Ukiichukia hii timu Awana habari na wewe,,na Wala sio shida zao itakulazimu uukubali ukweli tu maana Amna namna yoyote Ile utaitumia kujifariji, Wao wanachokifanya ni kuacha miguu yao iongee na...
6 Reactions
4 Replies
546 Views
Kesho ni fainali baina ya Yanga vs Azam, mchezo utakuwa mgumu lakini mwepesi sana kwa Azam, kinachonipa matumaini ni kuwa wachezaji watano wa Yanga wanaowategemea yaani Aucho, Aziz Ki, Max...
12 Reactions
79 Replies
5K Views
Back
Top Bottom