Vilabu vikongwe nchini Italia, Juventus Turin, AC Milan na Inter Milan vinategemea kupata upinzani mkali na wa kweli toka kwa club iliyowahi kuwa na mchezaji boro kabisa kupata kutokea dunia hapa...
=>He doesnt drink alcohol because it reminds him of the disease that killed his father.
=>He hasnt got any tattoos on his skin so he is able to donate blood twice every year.
=>Comes from a...
Wakuu Leo Taifa Stars ya Tanzania wanakipiga na Uganda The Cranes kwenye uwanja wa Mandela nchi Uganda.
The Cranes meet Taifa Stars today Saturday 27 at Mandela National Stadium. Tunaomba wale...
So is the Chelsea boss now using all his powers of soccers dark arts to unsettle new Manchester United manager David Moyes?
On the face of it, no. Instead he seems to be killing the Old...
Colts new acquisition Adongo learns NFL basics like how to put on a helmet
Colts Castonzo, Werner and Adongo: Indianapolis Colts Anthony Castonzo, Bjoern Werner and rugby player Daniel Adongo...
Ni baada ya kutandikwa 3 dhidi ya 1 na Uganda leo kwenye mashindano ya kuwania kufuzu CHAN huko Afrika Kusini mwakani, mambo ni yale yale ya tatizo la mabeki, washambuliaji kutokufunga na kuruhusu...
Katika harakati za kusaka nafasi ya kucheza CHAN,nchini Africa kusini timu yetu ya taifa stars kama kawaida yao kuwa ni kichwa cha mbuzi,punching bag,vibonde,imelaaniwa,tia maji tia maji,mchuzi...
Huwa nikiyatafakar maisha wakat mwmgne napata faraja sana ya kutokata tamaa kabisa. Mwaka 2004 nikiwa Pre form 5 pale Makongo Sekondary jamaa alikuwa pale pia, mara nying nilikuwa namkuta Kantini...
Match hii ya utangulizi wa Bundasliga inapigwa leo kati ya miamba miwili ya German, B.Dortmund Vs B.Munich.
Pep atapata mtihani wake wa kwanza na kuonja radha ya Bundasliga wakati Klopp akitaka...
Hakiyamungu haka katimu sikapendii! tena leo ndio kanazidi kuni karahisha yani kamewakamata wendawazimu muda huu kanawakandamiza tu. Yani mpaka muda huu wanaongoza goli nne (4) bila. kwasasa ni...
Hopefully watakainunua wataleta mabadiliko
tumechoka kusubiri vikombe
Liverpool say 'there is no truth' in reports the club is for sale | Football | guardian.co.uk
hadi kufikia sasa klabu ya Yanga imefanikiwa kukamilisha kusajili idadi ya washambuliaji 8 ambao ni jerry tegete, kavumbagu,saidi bahanuzi, shabani kondo, lusajo, husein javu, hamisi...
Hizi timu walikuwa waingie ligi kuu,wakahonga ili wapite kirahisi mana ilikuwa mechi za mwisho
Nigeria: 146 Goals Scandal - NFF Hands Life Ban for Police Players, Others
An investigative...
leo kunamtanange wa kukata na shoka pale wanapokutana barca na bayern....barca inaingia uwanjan ikiwa na kumbukumbu ya kuchapwa goli 7-0 kwenye nusu fainali ya UCL JE BARCA LEO ATACHOMOKA KWELI...
klabu ya soka ya atletico MG ya Brazil imeibuka na ushindi wa penati 4 dhidi ya 3 za klabu olympia katika fainali ya ligi ya Mabingwa huko America ya kusini...Huku Gaucho anaechezea Atletico...
Hakika nawaambieni yule mchawi wa soka karudi mtakatifu Gaucho anapiga vyanzu vya kutosha anapiga vyobo tani 800 anadrible umbali wa dar mwanza nawambieni 2014 mchezaji bora wa mwaka brazili 2013...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.