Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Shaffih Dauda in Sports.: PICHA ZA SIKU: MASHINDANO YA MAGARI YA GHARAMA YASIYO RASMI YA WACHEZAJI WA MAN UNITED: ANDERSON KIBOKO AINGIA MAZOEZINI NA GARI LA MILLION 286 kuna watu wanapata pesa za...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Huu no uongo na utapeli ulio kubuhu......Ni lini Rage ataacha utapeli huu?.....Inasikitisha sana EXCLUSIVE: UKWELI KUHUSU SHOMARI KAPOMBE KUTAKIWA NA FC TWENTE HUU HAPA! Kwa wiki kadhaa...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Je, ni mwanamuziki ama msanii yupi kutoka afrika mashariki unayempenda zaidi? Toa sababu.
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Kwa wale wapenzi wa mchezo wa tennis naomba tujumuike kubadilishana mawazo wakati huu the only grand slam inayochezwa kwenye majani ikiendelea.... tayari surprises zishaanza kwani Rafael Nadal kwa...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Kiungo mshambuliaji wa timu ya Taifa Tanzania (Taifa Stars) Mrisho Khalfani Ngassa ni miongoni mwa wachezaji walioanza mazoezi leo asubuhi katika uwanja wa shule ya sekondari Loyola kwa ajili ya...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kikosi kamili cha Brazil wakati wanatwaa Kombe la Dunia kwa mara ya mwisho 2002 Korea Kusini/Japan kilikuwa hivi: Brazil Nr. Name Date of Birth Position Clubs Height 1 MARCOS 04/08/1973 GK...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Sio jambo la kuficha lakini ukweli ni kwamba usajili unaofanywa na Yanga katika miaka ya karibuni lazima aangalie Simba kuna wachezaji gani wanaowafaa aidha mchezaji aliyekuwa/aliyepita Simba ana...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Usajili man u, cimuelewi kabisa, nani ambaye keshaeleweka..
0 Reactions
0 Replies
826 Views
Wapenzi na mashabiki wa footbal mambo ndivyo yalvyokua ucku huu wa leo, brzl kamuonesha spain uwezo kwa kumbugiza 3 mtungi mbele ya viungo wake xv na iniesta hi inafungua ukurasa mpya kwa soka...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
fainal ya kombe la kagame inafanyika usiku muda wa saa mbili na nusu kati ya vital'o ya burundi na apr ya rwanda . wasudani wameanda alaiki ya kufungia mashindano inapendeza kweli siwai kuona...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Roman Abramovich's 10 years as Chelsea's secretive Russian owner
0 Reactions
0 Replies
818 Views
Ndugu zangu Watanzania ni mda mrefu toka timu kubwa mbil Tanzania zimeanzishwa lakin mi naona hazina mipango endelevu zaidi ya kunga'anga'niana wachezaj na kuwasajir uwanja wa ndege! Hivi tutatoka...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa sasa Brazil wamerudi kwenye zama zao za soka na Hispania wamepotezwa leo. Brazil imekuwa bingwa wa kombe la mabara baada ya kuifunga Hispania kwa jumla ya magoli 3 yaliyofungwa na Fred (2) na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
= = Patashika : Kombe la Mabara litaitikisa Dunia leo, timu ya Brazil na Hispania, wanakutana katika mchezo wa fainali ya kombe la mabara. Brazil imetua kwenye michuano hiyo kwa tiketi ya...
0 Reactions
264 Replies
18K Views
Wakuu....wakati wabongo wana presha na ziara ya Jaluo hebu tune in the channel na tuburudike na BET Awards........
0 Reactions
3 Replies
986 Views
Hivi Shaffih Dauda huwa ana matatizo gani? Ijumaa tarehe 28/6/2013 nikisikiriza Sports extra nimemsikia akisema kuwa viongozi wa kilabu cha Simba wamemdhalilisha Kaseja ( wamemfanya kama tambala...
0 Reactions
30 Replies
7K Views
aly win 3-2 on penalt Italy beat Uruguay on penalties after an entertaining affair to claim third place in the Confederations Cup. Davide Astori put Italy ahead when he tapped home on the line...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kenya humiliate poor Phillipines Kenya's Felix Ayange in a past assignment. Ayange was in imperious form as Kenya crushed Phillipines 45-5 in their opening Sevens World...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Show kali inaendelea inayoshehen wasanii mastaa wa bongo inayodhaminiwa na TIGO.Wapo akina DIAMOND,RECHO,MADEE,ROMA na wengine kibao!Roma na Madee wamebamba kinoma! Uwanja umejaa kinoma.
0 Reactions
2 Replies
973 Views
Mwenye nafasi achek eng u 20 v egy u 20 now live.Egypt wako saf sn mpaka muda huu game wameitawala vzr. My take:Km egypt wana u 20 nzuri hivi baada ya miaka michache watarudisha timu ya taifa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom