Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
First Eleven 1.Dhaira 2.Chollo 3.Baba ubaya'issa rashid' 4.Kapombe 5.Hatibu 6.Mkude 7.Kazimoto 8.Kiemba 9.Messi 10.Edo 11.Chanongo Head coach:Abdalah kibadeni'king mputa' Manager:Jamhuri...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Rais huyu ndugu Ravina amesema kwamba Zanzibar tayari wana ZFA na au Tanganyika waunde chama chao na kuiacha TFF ishughulike na timu ya taifa, pamoja na kurudisha ligi ya Muungano ili iweze...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
The midfielder believes is expecting a titanic tussle on Sunday but remains confident his nation can emerge victorious
0 Reactions
0 Replies
759 Views
naomba wana jamvi mnisaidie kombe la mabara linaanza tarehe ngapi?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
N mchezo uliosubiriwa kwa mda mrefu sana na hatimaye yametia.je nan unampa ubingwa kat yao siku ya jumapili?
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Kukiwa na mchakato wa kumnasa mshambuliaji mganda 'MOSES OLOYA'wa uganda na HUSENI JAVU wa mtibwa,tayari Yanga imemnasa golikipa kutoka club ya AZAM DEO MUNISHI 'DIDA'na kumsainisha mkataba wa...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Naona huyu binti amekuwa gumzo mpaka The Sun wamemkubali..... http://www.thesun.co.uk/sol/homepage/sport/football/4980702/Tanzanian-ladys-football-skills-are-an-online-hit.html
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Na Mahmoud Zubeiry, IMEWEKWA JUNI 26, 2013 SAA 1:00 ASUBUHI MLINDA mlango nambari moja Tanzania, Juma Kaseja Juma amehitimisha miaka yake tisa ya kuitumikia klabu ya Simba SC baada ya klabu hiyo...
2 Reactions
41 Replies
18K Views
Pamekuwa na IMANI kuwa kikosi cha soka cha Brasil kikiwa bora msimu wa fainali za kombe la dunia basi hakifiki nusu fainali kwa kutolewa. Kwa muonekano huu wa kutupa raha na burdani shabiki wake...
0 Reactions
1 Replies
852 Views
"Wadau wengi wanataka Simba ibadilishe uamuzi wa kumtema Juma Kaseja kwa vile bado ana uwezo mkubwa na ndiyo maana ninahodha wa Taifa Stars." Dar es Salaam.Baadhi ya wadau wa soka, wamekosoa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mabondia hao ni Case Ramadhani Fills, Nathanael Elia Charles, Ally Rajabu Msengwa na Petro Charles Mtagwa. Wakati kesi hiyo ilipoanza kusikilizwa, wote walikiri makosa ya kuingiza...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF Mwenzenu nina safiri away of my home na soccer ni ugonjwa hebu naomba msaada ni link gani naweza ona live hizi game za confederation cup kwa stage hii ya robo fainal? nisingependa kukosa...
0 Reactions
2 Replies
946 Views
mi nasema hivi Messi na Ronaldo si wanajishaua kuwa ni wafungaji wazuri??.... sasa Ramadhan hiyo hapo inakuja...ntawaona. Wafungaji wa ukweli ni akina Samir Nasri, Yaya Toure, Demba Cisse...
7 Reactions
36 Replies
3K Views
Miongoni mwa wachezaji ambao wameonekana kuwa tishio sana kikosini Simba pale Kinesi kwa sasa ni pamoja na; Sino Augustino kutoka Prison ya Mbeya, huyu ana wajihi kama wa Ngassa ilala yeye ana...
1 Reactions
76 Replies
9K Views
Wadau tangu wiki mbili zimepita nimeshuhudia vipaji vizuri sana kutoka kwa wanafunzi wa secondary zetu Tanzania, kiukweli kama vijana hawa wataendelezwa watafila mbali sana kimichezo. Binafsi...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Mbona mourinho yupo kimya sana kwenye usajili amemsajili Andre shchurrle tu.
0 Reactions
4 Replies
914 Views
Wameanza kwa kumsajili Higuan,na wanamtaka Rooney,ni swala la muda na kusubili league ianze.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Khadija Mngwai na Joan Lema SHAUKU ya mashabiki wa Yanga ya kumuona kiungo mshambuliaji Mrisho Ngassa akivaa tena uzi wa Jangwani huenda ikapotea baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Huyu jamaa Madrid wamemuingiza mkenge? alikuwa na uhakika wa kazi Madrid akatagaza kuacha PSG sasa Madrid wanamchukua kocha wa Beyern naona najiuliza huyu mzee ndo atakuwa kaingizwa mjini?
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Back
Top Bottom