Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Leo ngoja niibukie kivingine kidogo,nafikiri kwenye ukweli wacha tuongee ukweli,kuna kila dalili kuwa Watani zetu (Simba S.C) wamelamba dume kwa usajili wao walioufanya dakika za lala salama hasa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Andres Iniesta,kiungo mchezechaji wa FC Barcelona,ndiye mchezaji bora wa Ulaya kwa msimu wa 2011/2012. Amejizolea alama 18 huku Lionel Messi na Christiano Ronaldo wakijipatia alama 17 kila mmoja...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Nadhani mechi nyingi za hawa wapinzani Real anapigwa. Au sikosawa wajameni
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Ni aliyekuwa bingwa wa kimataifa kwa upande wa akina mama,amepatwa na mruko wa akili kutokana na ugumu wa maisha!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wafuatao wamehama timu zao za zamani Rafael Van Der Vaart Huyu ametoka Totternham kajiunga na Hamburg Fc ya German kwa miaka 3 Maicon huyu nae ameenda Mancity...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
yan hili jukwaa limetawaliw na football tu!!! mi naomba leo tucheze michezo mingine!! kama rede kwa girls!! tushindane kuvuta kamba!! kombolela! voolleyball, netball! na mingineyo!! msisahau kuvaa...
4 Reactions
53 Replies
4K Views
Mchezeji wa kimataifa wa Tanzania mbwana samata anayekipiga katika timu ya tp mazembe ameendelea kuwa mwiba mkali kataka ligi kuu ya demokrasoia ya kongo. Samata, akiingia kutokea benchi katika...
1 Reactions
13 Replies
7K Views
Tumeona watoto wa Catalunya(La Masia) wakipata ushindi wa goli moja dhidi ya Valencia kupitia Adriano kutoka kwa pasi ya Messi katika uwanja wa Nou Camp kufanya Barcelona kuwa mbele kwa pointi 9...
0 Reactions
0 Replies
849 Views
Ronaldinho is not dead or a very dead Ronaldhinho plays ball at Atletico Mineiro Internancional Brasil Seria A game. Ronaldhinho dead in car crash news is a hoax. The soccer star of Atlético...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
A Robin van Persie hat-trick saw Manchester United come from behind twice to beat a resilient Southampton side 3-2 in Sir Alex Ferguson’s 1000th league game in charge. Don't Miss...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Amefunga bao moja kati ya mawili walipoishinda Al Ahli ya Misri hivi punde. Bao lingine limefungwa na Canda. TP Mazembe imejihakikishia nafasi ya robo fainali ya Klabu Bingwa Barani Afrika. Ni...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Natafakari vyanzo mbalimbali ambavyo ikiwa vilabu vyetu vitavitumia vizuri huenda vikaondokana na ombaomba, Klabu ya Simba ilitangaza kukamata mtu yeyote anayeuza jezi za timu hiyo bila ya kibali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hajafa na binafsi yeye mwenyewe anazishangaa hizi taarifa.By the way he is not a dead man! Yeye ni mzima na sasa hivi yupo club anapata mvinyo na huku toto zimemzunguka kama kawaida yake. Baada...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Leo simba imeshuka dimbani kumenyana na City stars ya Nairobi. Mpambano huo unafanyikia jijini Arusha ktk uwanja wa Amri Abeid. Hii ni mechi ya pili kuwakutanisha Simba sc na City stars ambapo ktk...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hii, ni ktk buruni wale watoto wa Arsenali hatimae wamepata nafuu baada yakusumbuliwa nahomakali yakukosaushindi' nakocha wao kukosolewavikali navyombovya habari, kwingineko namashabiki wao...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Baada ya mateja nashauri TFF pia ishughulikie wazee wa miba vnginevyo Mbuyu Twite hatacheza Yanga....(ka-mfano tu)
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kiungo mkabaji wa chelsea mghana Michael Essien anatarajia kutua Emirates kwa mkopo saa chache zijazo kama mambo yatakwenda sawa
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Yanga wamejinga uwanjani coast hawapo
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa klabu ya Yanga amwemweleza Rais Kagame wa Rwanda kuwa mumewe alimwambia kuwa chimbuko lake na asili ya alikotokea ni nchi hiyo, Kagame alimjibu kwamba...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Live from Stade Louis II Monaco Sasa ni dakika ya 25 Chelsea 0-2 Atletico Madrid
0 Reactions
44 Replies
4K Views
Back
Top Bottom