Nimeudhishwa sana na kitendo cha kitapeli na kisichokuwa cha kiuanamichezo kilichofanywa na mchezaji MBUYU TWITE wa APR ya Rwanda. Mchezaji huyu alisajiliwa na Simba SC kutoka APR, lakini katika...
Nangalia kipimajoto africa Bida Bidai na LEonad tadeu. Mheshimiwa tadeo kabanwa na dida bidai hadi amepaniki anataka kukimbia kipindi. Wanazungumzia ishu ya tanzania kufanya vibaya olimpiki
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa bado ni dhamira ya Serikali yake kuileta moja ya timu za Ligi Kuu ya Soka ya Hispania La Liga kutembelea...
WAKATI KIPROTICH AKIIBUKA NA SHILINGI MILION 200 UGANDA KWA KUSHINDA MEDALI OLIMPIKI, WASHIRIKI WA TANZANIA WAREJEA NA VISINGIZIO.
16 August 2012
Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameiagiza...
Mr Fergie alex tayari kaangusha jiwe jipya kabisa ndani ya mashetani wekundu kwa kiasi cha kama £24 M hivi,bado tujiulize kama RVP ni mtu atayeleta changamoto na mafanikio ndani ya old trafford au...
Wana-JF,
Baada ya majuzi tu kuwa na makala iliyoandikwa zaidi ikimdhalilisha mwenyekiti wa Simba S.C, ndugu Aden Rage, na pia kuwa na mifululizo ya habari za kuikashfu Simba hasa Viongozi wake...
Amedadavua hivyo leo kwenye show ya Big Brother Stargame kwa kuonesha ubunifu wake wa kisanaa.
Kama haitoshi aliweka noti ya Elfu kumi ya kiTanzania (Msimbazi) kwenye presentation yake kutambua...
Jioni hii kwenye Michezo na Times Fm nimejulishwa kauli ya Wekundu wa msmbz juu ya pesa za M. Twite, kwaujumla zimethibitisha nilichokuwa nakifikiria juu ya Watani wa jadi, Yng SC. Hapa...
United agree van Persie deal
Manchester United is pleased to announce it has reached agreement with Arsenal Football Club for the transfer of Robin Van Persie.
The deal is subject to a...
Mechi ya kirafiki kati ya Tanzania(Taifa stars) na Botswana iliyochezwa leo usiku jijini Gaborone imeisha kwa sare ya mabao 3 kwa 3. kila timu ilifunga magoli mawili kipindi cha kwanza.kipindi...
Miezi kadhaa nilileta thread hapa kuwaulikiza wanachama na wapenzi wa simba, nani kaona eneo au kiwanja Rage na uongozi wa simba wanasema watajenga uwanja. sikupata jibu. Uongozi wa Rage umebakiza...
Jamani kuna ndugu yangu(Simba damu) anakaribia kuchanganyikiwa huku.
Hebu nisaidieni habari za uhakika, Okwi ka-sign Yanga kweli? au kama ni uzushi, ukweli ni upi?
Heshima kwenu.
Wakati niliposoma tambo za Msemaji(ovyo) wa team ya Simba kuhusiana na usajili wa Ngassa na Twite Simba na baadaye kusikia kashfa alizozitoa Mwenyekiti wa Club hiyo dhidi ya Mjumbe wa Kamati ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.